agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Mdogo wangu kazaliwa 2000 amemaliza 4 lakini hata ukikaa nae maongezi yake tu hajajitambua alafu kuna janaume linammendea ovyo kabisa.kesho linalizwa linakuja kujaza seva hapa2000? Vitoto vinanuka mikojo.
Hahaha mchina used tena ya gerezani Kariakoo..chuchu Kama kanda mbili ya umoja iliyochakaaUsed genuine or new mchina!!???[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kuna ambao bado wanavizia wanaume.Hahahahahah sisi tupo busy na kulea sasa hivi bwana,huko kwenye kuattract mabwana hatupo tena.Tushaolewa sasa wanetu wapo class 3.Na bado tunanyonyesha.Kila jambo na wakati wake.Nakushangaa sana kutucompare na wa miaka ya tisini.
Wamepanga mafungu sh. ngapi ngapi?Sa hivi watotot waliopo sokoni nikauanzia 1995-2000
We mwenyewe una mingapiUmenikumbusha juzi kuna mtoto nimekutana nae nilidhani anaweza kuwa wa mwaka 1990-1993 mtoto kumbe wa mwaka 2000 kapanda hewani afu bonge la mshepu ndio katoka kumaliza form 4 da nipo kwenye mchakato sasa wa kupata kitu kibichi
Spare parts shauri moyo au gerezaniUsed ya mchina
Yeah ana kumi na nane sa hvMtu wa 2000 anaweza kua kamaliza form 4?
Wengi tu wamemaliza mkuuMtu wa 2000 anaweza kua kamaliza form 4?
Suka taratibu usiangushe gariKuna mtoto wa jirani hapa ni wa 2000 halafu ana mkia kama wa masogange yani ni sheedah.