Kina dada mna maana gani ktk hii kauli?

Kina dada mna maana gani ktk hii kauli?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mdada anayekataa kuingia kwenye ndoa kwa kisingizio cha "bado sijakamilisha mambo yangu". Huwa ana maana gani? Anajenga au anafungua biashara? Au nn?
Kwani mambo hayo hawezi kuyakamilisha akiwa kwenye ndoa?

Na unakuta anatoa kauli hii baada ya kupiga danadana kama mwaka ama miaka 2.

Kwenye kauli hii binafsi napata hisia kwamba mdada huyu hampendi mwanaume husika, hivyo anasogeza muda huku akiendelea kusubiri chaguo la moyo wake lijitokeze.

Kwa kifupi hapa mkaka anakuwa kapigwa.

Sexless unit hivi Sasa Ina kesi nyingi za aina hii.
 
IMG_4084.jpg
 
Mdada anayekataa kuingia kwenye ndoa kwa kisingizio cha "bado sijakamilisha mambo yangu". Huwa ana maana gani? Anajenga au anafungua biashara? Au nn?
Kwani mambo hayo hawezi kuyakamilisha akiwa kwenye ndoa?

Na unakuta anatoa kauli hii baada ya kupiga danadana kama mwaka ama miaka 2.

Kwenye kauli hii binafsi napata hisia kwamba mdada huyu hampendi mwanaume husika, hivyo anasogeza muda huku akiendelea kusubiri chaguo la moyo wake lijitokeze.

Kwa kifupi hapa mkaka anakuwa kapigwa.

Sexless unit hivi Sasa Ina kesi nyingi za aina hii.
Wanaangalia na hali yako. Money talk
 
1.Bado hayupo tayari kuwa chini ya sheria za ndoa.
2.Hajampenda mwanaume.
3.Au sio mwanaume sahihi anayetaka kuingia naye kwenye ndoa ( unaweza kumpenda mtu kweli ila usitamani kuingia naye ndoani kwa ustawi wa maisha yako)
 
Mdada anayekataa kuingia kwenye ndoa kwa kisingizio cha "bado sijakamilisha mambo yangu". Huwa ana maana gani? Anajenga au anafungua biashara? Au nn?
Kwani mambo hayo hawezi kuyakamilisha akiwa kwenye ndoa?

Na unakuta anatoa kauli hii baada ya kupiga danadana kama mwaka ama miaka 2.

Kwenye kauli hii binafsi napata hisia kwamba mdada huyu hampendi mwanaume husika, hivyo anasogeza muda huku akiendelea kusubiri chaguo la moyo wake lijitokeze.

Kwa kifupi hapa mkaka anakuwa kapigwa.

Sexless unit hivi Sasa Ina kesi nyingi za aina hii.
Kosheee mr 💰
 
1.Bado hayupo tayari kuwa chini ya sheria za ndoa.
2.Hajampenda mwanaume.
3.Au sio mwanaume sahihi anayetaka kuingia naye kwenye ndoa ( unaweza kumpenda mtu kweli ila usitamani kuingia naye ndoani kwa ustawi wa maisha yako)
5.Bado anapima urefu ,upana na shape tofauti tofauti .......za matofali ya kujengea ili aweze kujenga nyumba ya ndoto zake.
 
Back
Top Bottom