Jinsia yake hutegemeana na uzi na mada husika.Hivi sexless ni Ke au Me?
#YNWA
Wanaangalia na hali yako. Money talkMdada anayekataa kuingia kwenye ndoa kwa kisingizio cha "bado sijakamilisha mambo yangu". Huwa ana maana gani? Anajenga au anafungua biashara? Au nn?
Kwani mambo hayo hawezi kuyakamilisha akiwa kwenye ndoa?
Na unakuta anatoa kauli hii baada ya kupiga danadana kama mwaka ama miaka 2.
Kwenye kauli hii binafsi napata hisia kwamba mdada huyu hampendi mwanaume husika, hivyo anasogeza muda huku akiendelea kusubiri chaguo la moyo wake lijitokeze.
Kwa kifupi hapa mkaka anakuwa kapigwa.
Sexless unit hivi Sasa Ina kesi nyingi za aina hii.
Mwisho wa mjadala wa mada hii nitakujibuHivi sexless ni Ke au Me?
#YNWA
UnsexHivi sexless ni Ke au Me?
#YNWA
Ndoa ni kipimo cha akiliAchaneni ku promote vijana kuingia kweny vitu vya kipuuzi na Vya kuwapoteza mda wao Ndoa Ndoa kijana kataa Ndoa Ndoa ni utumwa Jali afya Yako ya akili
Kosheee mr 💰Mdada anayekataa kuingia kwenye ndoa kwa kisingizio cha "bado sijakamilisha mambo yangu". Huwa ana maana gani? Anajenga au anafungua biashara? Au nn?
Kwani mambo hayo hawezi kuyakamilisha akiwa kwenye ndoa?
Na unakuta anatoa kauli hii baada ya kupiga danadana kama mwaka ama miaka 2.
Kwenye kauli hii binafsi napata hisia kwamba mdada huyu hampendi mwanaume husika, hivyo anasogeza muda huku akiendelea kusubiri chaguo la moyo wake lijitokeze.
Kwa kifupi hapa mkaka anakuwa kapigwa.
Sexless unit hivi Sasa Ina kesi nyingi za aina hii.
Mimi hapa nipo na mdada ni ndugu ana 31 this year hana ata dalili na ni childless boyfriendless mapenzilesss ni aibu asee na kwa jinsi alivyo sioni kituNDIO MAANA WANAZIDI KUZEEKEA NYUMBANI
Amevaaa kimasihara kama anataka kuliwa kimasihara 🤣
Wanaume wanaochukia ndoa wanaongezeka mpaka raha yaaniAchaneni ku promote vijana kuingia kweny vitu vya kipuuzi na Vya kuwapoteza mda wao Ndoa Ndoa kijana kataa Ndoa Ndoa ni utumwa Jali afya Yako ya akili
Na wakishaanza kuzeeka wanaanza kuzunguka kwa waganga wa kienyeji ili waolewe; wakija kwetu "Wapemba" na sisi tunawala pia - ingawa inakuwa sio "kimasihala" - wanaendelea kuzeeka tu...NDIO MAANA WANAZIDI KUZEEKEA NYUMBANI
dronedrake mwaba huyu hapaAchaneni ku promote vijana kuingia kweny vitu vya kipuuzi na Vya kuwapoteza mda wao Ndoa Ndoa kijana kataa Ndoa Ndoa ni utumwa Jali afya Yako ya akili
Ndo anaomba apate mume sio??
5.Bado anapima urefu ,upana na shape tofauti tofauti .......za matofali ya kujengea ili aweze kujenga nyumba ya ndoto zake.1.Bado hayupo tayari kuwa chini ya sheria za ndoa.
2.Hajampenda mwanaume.
3.Au sio mwanaume sahihi anayetaka kuingia naye kwenye ndoa ( unaweza kumpenda mtu kweli ila usitamani kuingia naye ndoani kwa ustawi wa maisha yako)