Kina Dada mwatuaibisha!

Kina Dada mwatuaibisha!

chiko

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2010
Posts
590
Reaction score
271
Ndugu wanajamvi, nimeingia uwanjani kuzungumza mada ikiwa, hawa madada zetu wa kileo wanavyo jiachilia kwenye mahusiano. Nazugumzia wadada walio kwenye macho yetu kila mara, yaani mtu anae onekana kwenye runinga, kwenye mitandao ya ki jamii, wengi ni 'ma celeb' , wanavyo jiita wengi haswa wasanii. Kina Dada hawa hawajioni kama ni kioo kwa jamii, kwani wanao enukia wanajiinganisha nao. Dada kapata nafasi ya ku act kwenye tamthilia flani ama kaitwa kuonekana kwenye video ya msanii basi amepata umaarufu.

Sasa tatizo linatokea kwenye mahusiano, mara unaona dada flani anatoka na flani mwengine kaachwa na huyu sasa ana huyu, isistoshe mara kazaa na huyu na huyu nae kazaa na yule, ili mradi mtu anaonekane kwenye mitandao na kutrend...huu ni usanii gani?

Cha kuudhi kabisa, katika karne hii, unapata binti katiwa mimba na kupewa mtoto na jamaa ambae ni celebrity, akijua hataolewa na hata kaa na huyo bwana kwa sababu kuna foleni, na yeye ashatolewa kwenye orodha...

Inakuaje mtu umesoma na umee ilimika, lakini wampanulia miguu jamaa amwage mbegu zake, hujui wangapi amepitia, unamwachia mpaka mtoto anaingia..., alafu jamaa anasepa. Hutaki hata mtoto aje apate heshima ya kujua babake alikua flani.... Kwani hamjui kingaaa???
 
Ndugu wanajamvi, nimeingia uwanjani kuzungumza mada ikiwa, hawa madada zetu wa kileo wanavyo jiachilia kwenye mahusiano. Nazugumzia wadada walio kwenye macho yetu kila mara, yaani mtu anae onekana kwenye runinga, kwenye mitandao ya ki jamii, wengi ni 'ma celeb' , wanavyo jiita wengi haswa wasanii. Kina Dada hawa hawajioni kama ni kioo kwa jamii, kwani wanao enukia wanajiinganisha nao. Dada kapata nafasi ya ku act kwenye tamthilia flani ama kaitwa kuonekana kwenye video ya msanii basi amepata umaarufu.

Sasa tatizo linatokea kwenye mahusiano, mara unaona dada flani anatoka na flani mwengine kaachwa na huyu sasa ana huyu, isistoshe mara kazaa na huyu na huyu nae kazaa na yule, ili mradi mtu anaonekane kwenye mitandao na kutrend...huu ni usanii gani?

Cha kuudhi kabisa, katika karne hii, unapata binti katiwa mimba na kupewa mtoto na jamaa ambae ni celebrity, akijua hataolewa na hata kaa na huyo bwana kwa sababu kuna foleni, na yeye ashatolewa kwenye orodha...

Inakuaje mtu umesoma na umee ilimika, lakini wampanulia miguu jamaa amwage mbegu zake, hujui wangapi amepitia, unamwachia mpaka mtoto anaingia..., alafu jamaa anasepa. Hutaki hata mtoto aje apate heshima ya kujua babake alikua flani.... Kwani hamjui kingaaa???
Maisha ya watu wanakuhusu nini wewe ..huwezi fanya watu waishi maisha unayotaka wewe waishi..
Muhimu hawavunji sheria za nchi basi.
 
Maisha ya watu wanakuhusu nini wewe ..huwezi fanya watu waishi maisha unayotaka wewe waishi..
Muhimu hawavunji sheria za nchi basi.
Ndivyo mlivyo, hamtaki kuambiwa, lakini mkumbuke mnaishi na binadamu wenzenu.......unaenda uchi ama una haribu mambo na usimbiwee.............!!!!
 
Huu si udaku, ni kusahisha jamii............kujenga utu na ustaaarabu!
Kwa jamii yetu jinsi ilivyoharibika, ifikie wakati kila mtu aanze yeye kujilinda na kizazi chake, sio kama unavyodhani kama utaweza kurekebisha hii jamii tuliyonayo kwa sasa.
 
Sijui kwa Nini mda wote nasoma napata picha ya yule jamaa alikuwa dstv(kama sikosei) mtu wa kujichubua flani anapenda kuongea masuala ya kike kike aliitwa hadi bungeni
Anyway au juma wa wasafi
 
Back
Top Bottom