Kina Dada ni ya kweli haya....?

Afadhali maana ungeondoka na mlenda kwenye nguo...lolz!Hehehe kama ndo hivyo simtaki maana hapa nilipo nna presha tayari!Embu nitafutie wakunifaa basi na mi niringe kama nyie!
Ngoja ngoja kwanza sitaki kukutafutia haraka maana masharobaro wengi wasije wakaanza kukuomba vocha bure lol
 


hivi hapo katika umalaya uliopitiliza hata kamaukija kuachana naye utatoka bila virusi kweli?
 
ndoa ni zaidi ya tuijuavyo,wanaozijua hawapendi kuzungumzia sana,ila ndoa za sasa ni utata,hata mimi dada angu kaachika,ila hua anafurai na husema amesha SAFISHA NYOTA.
Kusafisha nyota kivipi hebu weka wazi!!
 
Mi ndo maana nimejiapia, sitaoe mke wa pili kama nilivyopanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…