Hv wewe humuogopi Mungu?Haya mapombe mamushka we acha tu. Nisingestukiwa kama si mama mmoja alikuja kuungama akanikuta nakoroma ndani. Imagine niko darasa la nne nikakata karibu nusu chupa ya damu ya Yesu!
Hv wewe humuogopi Mungu?
Inaelekea humu ndani watu wengi hatujui kupenda na wala hatujawahi kupenda ila tunaigiza tu kupenda...Binti kampenda jamaa,jamaa katoa nje kiaina,binti kajilengesha,mnamlaumu,daa..Jamani acheni,kupenda sio mchezo unaweza kufanya lolote..Tuulizeni wenzenu tuliopenda halafu tunaowapenda wanatuletea longo longo..Ni full kuringa,inauma!
Uzuri wa wanaume ni kwamba hawajui kupenda, wao wanachojua ni kutaka tu basi!.Inaelekea humu ndani watu wengi hatujui kupenda na wala hatujawahi kupenda ila tunaigiza tu kupenda...Binti kampenda jamaa,jamaa katoa nje kiaina,binti kajilengesha,mnamlaumu,daa..Jamani acheni,kupenda sio mchezo unaweza kufanya lolote..Tuulizeni wenzenu tuliopenda halafu tunaowapenda wanatuletea longo longo..Ni full kuringa,inauma!
Uzuri wa wanaume ni kwamba hawajui kupenda, wao wanachojua ni kutaka tu basi!.
Very good!
Ikishajulikana ndio hivi... itabidi kujizuia usipende asiyejua kupendwa..utaishia kujuta.
MPENDE AKUPENDAYE..ASIYEKUPENDA UNATAKIWA UACHANE NAYE NA SIYO KUTAFUTA YA ZAIDI KAMA KUMZALIA!
Another suprise!!! Siku zote nilikuwa najua Yegomasika ni dume!!! Poor me!!!Uzuri wa wanaume ni kwamba hawajui kupenda, wao wanachojua ni kutaka tu basi!.
Mimi namtaka, mwambieni asikonde, nitamtafuta
Kama mtu hakupendi sasa utafanyaje...ndio hayo ya baade kumlaumu maana atakubali ila deep down anajua hana lolote nawe. Duuh, nashukuru sina ugonjwa huo unaoitwa kupenda kupindukia maana unaweza kufa na presha bureeee
Tatizo lako wewe hueleweki. Tunapanga vizuri mara unasepa lol!!X-pin baba paroko..ile BBQ vip tena?
Tatizo lako wewe hueleweki. Tunapanga vizuri mara unasepa lol!!
Oke oke oke...... Ngoja niitafute ATM card yangu fasta...:biggrin1:sasa tutapanga nieleweke fanya logistic zote :A S-rose: