Kina Dada sometimez tunajitakia matatizo hii mnaionaje ?


huu usemi ndio unawachanganya wadada haswaa, hata kama tupo wengi sio wote wana vigezo, mwanaume atakutana na huyu atamuona hana vigezo anavyovitaka ataenda kwa mwingine atamkuta ana vigezo so mambo yanasonga.
 
yaani mie nikimuona mdada anang'ang'ania mtu kwa nguvu huwa cmuelewi kabisa, namuona hajiamini kabisa, yaani yupo yupo tu....na raha ya ndoa aitamke mwenyewe jamani.
Mrs yaani nakumbuka wakati natangaza nia 'on a bebded knee'😛ray:
 
Enh nhe! Aliamua kukaa kimya akiamini jamaa hawezi kupindua kisa tayari jamaa kaweka mambo kimiani na Kid yuko duniani au vp? Kwanini aliamua kuwa kimya hadi miezi 7. Na je? alidhani kumuweza Mlumendago ni kumbebea mimba? Mbona apenda dezo dezo binti huyo, elimu hijamkomboa? Haya ona sasa anang'ang'ania kuishi kwa jamaa, kwani ni lazima akae hapo hali jamaa alishasema bado wakti. NAMWONEA HURUMA NA HIVI ANA TRELA'

Maana wengi wetu walume ukishawarudisha watu kati mapema( concive and have baby) ile thamani huwa inashuka na hasa ikiwa MAN, mpango wake wa kuoa ulikuwa bado/mbali.

Si kitu cha kufurahia lakini kinadada mujifunze mambo haya mapema sio mnaachia tu then mnakuja kujuta.

''conceeding a late goal is a failure to the leading team but also scoring first may mean a fulfilment of team's dream''

'WASALAAM'
 

FL1,

1. Binti amechukua "maternity" livu ya masomo? Maana mtoto wa miezi miwili na MT 301 sidhani kama vinaendana
2. Je, Mwanaume naye ana-soma "Elimu ya Juu" au ana-kibarua hapa mjini? na anao umri gani?
3. Je, ni kwa nini mwanaume aanza kula "kavu kavu" wakati najua "mshahara wa dhambi ni mauti?
4. Je, hapo anapoishi mwanaume pana nafasi ya ku-accomodate mama aliyejifungua?
5. Je, huyo msichana anao wazazi/walezi hapa mujini?
 

haaapo kwenye karangi mamii akiambiwa hivyo she is even lucky....hapo ni fulu maaction tu hakuna kuongea ndo ataijutia ndoa ya kubandika na supa guluu

missed u too dearest
 
Hayo ndio mawazo ya mabinti wengi wa kisasa kuforce marriage tu, huyo binti alitakiwa ashughulike zaidi na future yake! Ndoa za kulazimisha matokeo yake ndio hayo. Yeye alitakiwa ahakikishe anaplay safe sex, mambo ya kuoa siku zote anayeamua huwa ni mwanaume. Nampa pole sana ameshayakoroga ayanywe tu!
 
madada wengine bana!...
wanapenda sana KULAZIMISHA MAMBO
 

Kweli Carmel huyu dada pamoja na elimu yake bado anafanya mambo bila kufikilia ??inashangaza sana kweli hapa kajitakia matatizo mwenyewe hana wa kumtolea hizi lawa,a
 
haaapo kwenye karangi mamii akiambiwa hivyo she is even lucky....hapo ni fulu maaction tu hakuna kuongea ndo ataijutia ndoa ya kubandika na supa guluu

missed u too dearest

uwiii nimecheka cna mbavu, halafu mwanaume wa kumlazimishia mambo haishi vituko wallaah, halafu hawanaga adabu wala aibu, matendo yake hayana tofauti na mwanaume single ambae bado anatafuta, akilala disc sawa, akirudi asubuhi sawa, watu wanapenda kujichomeka kwenye matatizo sana..
 
Kweli Carmel huyu dada pamoja na elimu yake bado anafanya mambo bila kufikilia ??inashangaza sana kweli hapa kajitakia matatizo mwenyewe hana wa kumtolea hizi lawa,a

Hapo ndipo mnapokoseaga nyie wavaa magauni.

Nani alikudanganya Elimu ina uhusiano na Mapenzi?
 
Kazi ipo.Nao wanaume sometimes huwa wanachangia sana hali hii kwa wanawake.wanaume wengi huwa hawataki kuoa mpaka wa'test' kwanza(tena kutest mpaka mwanamke abebe mimba) ndipo wanakubali kuoa.Na wakitukuta wanawake tupo desperate na kuolewa ndio basi wanafanya watakavyo!
 
Kweli Carmel huyu dada pamoja na elimu yake bado anafanya mambo bila kufikilia ??inashangaza sana kweli hapa kajitakia matatizo mwenyewe hana wa kumtolea hizi lawa,a

Hapo ndipo mnapokoseaga nyie wavaa magauni.

Nani alikudanganya Elimu ina uhusiano na Mapenzi?
 
madada wengine bana!...
wanapenda sana KULAZIMISHA MAMBO

hivi mwanaume anaweza kulazimishwa? mie naona kama hataki ndio hataki... au ndio wanabahatisha ehh? kazi kweli....
 

anastaili hayo yanayomtokea kwa sasa, ameambiwa na nani mapenzi yanalazimishwa
 
Ingekuwa Kaizer, Teamo,Xpin,Fidel ,Swahilian ,Mfamaji, mwanakijiji ,Askof na wengineo wengi mko katika hilistuation ya hilo goma mngechua hatua gani? from bottom of ur heart:A S-rose:
 
Nimesoma pembeni ya mistari hapo.
nashindwa kumuelewa mwanamke anayelazimisha mambo hadi anafikia hatua ya KUTEGESHEA.......

unajua nini mpwaaaz..
wanawake wa hivo hawafikiriagi kabisa FURAHA NA AMANI katika ndoa zao....!kwasababu mwanaume ukimfosi ki-hivyo lazima apige INFIDELITY
:biggrin1::biggrin1::biggrin1:

AMANI KWAKO CARMEL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…