Kina Dada sometimez tunajitakia matatizo hii mnaionaje ?

Mchumba sikujua, uko desperate kuolewa? Hebu twende PM mara moja!
 
hapo sasa pengine hata jamaa hakupendi wewe umeanza kung'ang'ania na kumlazimishia kuwa na mtoto na wewe.

ingekuwa mimi ndo huyo mwanamme ...........ningeachana nae kwa muda kwanza japo kama nampenda ili kumfunza kuwa na busara.
 

muache anywe tu. tumuanzishie sredi la michango. Nyammbaaf mweus!
 


hivi hata akikuambia a test utamkubaliana bila japo uchumba kwanza?...akikuambia a test, na wewe mwambie tu testiane...ajitangaze nia huko, khaaaa....ana test kwa kutumbiza shs baharini?
 

sasa aibu itoke wapi na wewe ndo ulijipendekeza?
utadharauliwa wewe na vituko hivyo ndo utakoma ubishi..........aah sisi bana sometimes agrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!
 

Hapo nimekusoma ila hapa chini nimekusoma vizuri zaidi..


.SORTILEGIO!......

It is NOT true that everybody who gives you SHIT is a bad friend...
It is NOT true either,that everybody who takes you out of SHIT is a good Friend
It is VERY IMPORTANT that YOU MUST NEVER SHARE a SHIT with anybody when somebody gives you SHIT
 

nikokota hela lazima nikununuliw lunch wewe
 
Ingekuwa Kaizer, Teamo,Xpin,Fidel ,Swahilian ,Mfamaji, mwanakijiji ,Askof na wengineo wengi mko katika hilistuation ya hilo goma mngechua hatua gani? from bottom of ur heart:A S-rose:


Hebu mnisaidie wajameni, huyu binti Egyps-women mbona kama? I mean sijui nisemeje manake kama mgeni sio mgeni au mi ndo nimekuwa mgeni uenyejini? Hebu do ze nidiful Egyps (off topi)
 
muda wa kunywa haujafika bado, atakunywa atakapoona jamaa anaona mwingine hadharani.

hahaaa kw araha zake........nani alimdanganya mtoto ndo mego wa ndoa malabuku

aleee mtoto sasa huku akisubiria bomu kulipuka afu sijui atasema jamaa alimvunja moyo ama alijibreki mwenyewe!!!!!!!!
 
Inaskitisha kwa upande mmoja na upande mwingine inakasirisha.

Hatutakiwi kumponda tu huyu binti kwa maamuzi yake ila hata huyu mwanaume ni bonge la vuvuzela maana ni poyoyo na mboyoyo
 
muda wa kunywa haujafika bado, atakunywa atakapoona jamaa anaona mwingine hadharani.

hanywi sumu huyo anataka attention tu. tangu lini anaetaka kunywa sumu akampa habari FL1 bana? nazani anatafuta sababu ya kupewa kajimkopo na FL1 ndio maana kazisha VUVUZELA za kunywa sumu
 
Mamushka naona umejikwaa kucha hapo.......Punguza spidi kiduchu basi lol
si umeelewa lakini???
naiba neti ndo mana, sitegemee the best than that biggy!!! lol
 
hii ni tatizo la kuyaamusha mapenzi kabla ya wakati wake na kufuata jinsi tamaa za mwili wako zinavyo kuamulia, yeyote aongozwaye kwa mwili pasi na kuutawala mwili na kuuongoza daima athari zake ni kubwa baadaye, sasa hapo hatakiwi kujutia maamuzi kikubwa ashauriwe kuwa mtulivu na mvumilivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…