Kina Dada sometimez tunajitakia matatizo hii mnaionaje ?

Nyie dada zetu mnakuwa na mushkeli wakati mwingine, sababu nyie kwa kiasi kikubwa si wachaguzi ila ni wabaguzi, wengi hupenda sana kuangalia tu jamaa ana luninga ana simu na je ana uwezo wa kunitoa nje/matembezi ya kujiliwaza siku ya mwisho wa wiki(weekend outing),

na mambo yote yenye mwenendo wa kianasa zaidi na hapo ndipo mitego huwa wazi na sie huingia ili kulipa kisasi, eh! Ndio
''ukila vya wenzio usilalame vyako kuliwa''

Baada ya hapo huangalii tena je huyo umpaye ni mlaji wa kukaa/mpita njia na je? hula kiustaarabu au mlaji pupa yaani hamalizi hiki anarukia kile na hiki anatupa.

Japo pia ni vigumu pia kumtambua mlaji wa hovyo ambaye hula huku na huko, akatafuta akatupa na tena akaokota na kutafuna tena, na hapo bado binti hawezi shituka na hata akijua atasema ''tutabanana han'pa han'pa'' Huo ni udhaifu mkubwa jitahidini basi ili tuishi vyema.

Mapenzi ni kuelewana na yule umpendaye naye akakupenda na si kujilazimisha/lazimishwa na anasa zisizo na umri mrefu. Mtaangamia na sie tutajutia jamani.

Iwapo nyie hamtafanya makosa basi nasi hatutowafanyie nyie na kwa hakika mtafurahia maisha.

Kwa leo nafikiri inatosha na mnisamehe dada zangu iwapo yapo maneno/kauli zinazokusitisheni.

'NI MAWAZO YANGU YA


'MOYONI'

'NAKUPENDENI'
!sanaa!
 
ubarikiwe kwa kunikumbusha enzi za masuali ya maltipul choisi na kalkuleta is not alowed. mimi nazani yote ni sahihi lakini C ni sahihi zaidi
na wanapokuwa kwqenye ndoa, bahati mbaya huwa zinaendelea kutokea au inakuwaga mwanzoni tu!!
 
Kuna watu wanaota ota sana. Kwanini ulazimishe kuolewa? Laiti kama wangelijua ndoa ina shughuli gani, naamini watu wengio wangekuwa extra careful katika kukimbilia kitu kama ndoa maana ndoa sio movie ati. Ni kitu kinacho involve the whole being of an individual. Imagine kama inakuwa ndoano watu huwa wanaishia wapi...frustrations.
Kina dada bwana nao, especially wa vyuo, huwa wanaona wanajua sana ndoa kuliko hata walioolewa. Wanatafuta wanaume weye"future" bila hata kujua future yenyewe ina beba maana gani.Wanaishia kulialia tu na kwa kweli wa kujilaumu mara nyingi ni wenyewe.Wapo wengi nawajua wanasema laiti kama ningelijua...but it is too late!!!
 
na wanapokuwa kwqenye ndoa, bahati mbaya huwa zinaendelea kutokea au inakuwaga mwanzoni tu!!

bahati mbaya inaweza ikatokezea popote hata kwenye ndoa , majuzi nilishuhudia bahati mbaya moja imetokezea kwenye nyumba ya ibada .
 

lol...vipi mami ndoa inakupelekaje? mawifi bado hawajaanza fujo zao? wakianza niite mara moja!
 

hujakosea swahilian umenena vema sana tunajifunza kutokana na makosa
 
lol...vipi mami ndoa inakupelekaje? mawifi bado hawajaanza fujo zao? wakianza niite mara moja![/QUOTE]

tchaaaaaaaaaaa!!! dearest bana mi staki kucheka lol!!!

akikuita unaharibu mazima afu sasa utaondoka na Shiroo au unamwacha hapo hapo kwake??
 
Ndiyo mbinu uliyotumia wewe hii??
 
Kaizer EW huyu unayemdhani yuko JF tangu 2006 kama msomaji ...jukwaa la mapenzi na mapendo,siasa na Jamii intel.
Feb aliamua kuwa mwanachama hai JF is any big deal between mwite invisible aje kukutegulia fumbo.
Tuko pamoja sana .


Okay, nimetokewa kuvutiwa tu na mchango wako kumbe ni mzoefu wa miaka hiyo so unawafahamu wapwaz na mabinamuz....LOL...sasa kumbe pia kuna fumbo, nita do ze nidiful afu nitaku emal (nasikia hata PM unaweza kufungiwa):A S 103:
 
hehehe!
hii sredi jamani jamani,...............!

naona inakimbia kama SEMENYA...
 
Too sad! Ila kusema kweli sisi akina dada tukishapenda tunakua vipofu. Binafsi yamenikuta mengi.
Somo nililolipata katika maisha ni kwamba. Swala la mapenzi halihitaji ushauri!!
Mapenzi ni maamuzi. na ushauri unahitajika kabla ya maamuzi!!

Vivian, hujambo? umeadimika sana hapa......
 
okay, nimetokewa kuvutiwa tu na mchango wako kumbe ni mzoefu wa miaka hiyo so unawafahamu wapwaz na mabinamuz....lol...sasa kumbe pia kuna fumbo, nita do ze nidiful afu nitaku emal (nasikia hata pm unaweza kufungiwa):a s 103:
kasome zaburi 129
 
kasome zaburi 129

There are currently 45 users browsing this thread. (22 members and 23 guests)
bht* Ndahani MalaikaMweupe katelero klorokwini Nyamayao+ loner FirstLady1+ Mburahati Bigirita+ Lily Flower Fisherscom Shishi Edson smalnama vivian chloe.obrain nyange Ng'azagala ral Mfamaji Chumakibolimoto

soma kiarabu mpwaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…