Kina Dada sometimez tunajitakia matatizo hii mnaionaje ?

Kina Dada sometimez tunajitakia matatizo hii mnaionaje ?

wala....huyu bigi braza mbishi tu



wa ukweli zaburi inaishia ngapi vile?? yule sista wa kipindi cha dini hakutufundishaga hii topiki


hivi kama nilikuuliza B hivi unasema mimi ni nani? yaani unaweza kunifanyia hivi kweli? inaishiaga 150,
 
hivi kama nilikuuliza B hivi unasema mimi ni nani? yaani unaweza kunifanyia hivi kweli? inaishiaga 150,

we ni B wanhu wa ukweli, hakuna kama wewe, hajakuwepo wala hata kuwepo kama wewe.
asante kwa kunieleimsha
 
wala....huyu bigi braza mbishi tu



wa ukweli zaburi inaishia ngapi vile?? yule sista wa kipindi cha dini hakutufundishaga hii topiki
Kila siku jioni piga hii sala kutoka Mithali 30:7 -9
Mambo matatu nakuomba ee Mungu
Usininyime kabla sijafa
Uniondolee Ubatili na Uwongo
Usinipe utajiri wala Umaskini
Unilishe chakula kadiri yangu,
Nisije nikashiba nikakukana
wala nikawa masikini sana nikaiba
AMINA.
 
hivi kama nilikuuliza B hivi unasema mimi ni nani? yaani unaweza kunifanyia hivi kweli? inaishiaga 150,
150: 6
Na kila mwenye punzi amsifu Bwana Aleluya!!

Mstari wa mwisho!!!
 
Safi sana... ukimaliza uoshe na vyombo kabisa kisha upige deki jikoni (mwambie na X-pin aanze)
Watumishi wa Mungu wanapojali maslahi yako, kazi yako ni kugonga tu haya madude:


The Following User Says Thank You to Askofu For This Useful Post:
Chrispin (Today)
 
Kila siku jioni piga hii sala kutoka Mithali 30:7 -9
Mambo matatu nakuomba ee Mungu
Usininyime kabla sijafa
Uniondolee Ubatili na Uwongo
Usinipe utajiri wala Umaskini
Unilishe chakula kadiri yangu,
Nisije nikashiba nikakukana
wala nikawa masikini sana nikaiba
AMINA.

150: 6
Na kila mwenye punzi amsifu Bwana Aleluya!!

Mstari wa mwisho!!!

eeeh B usiniovadozi sasa!!
 
Code:
Leo unajikwaa kweli mamushka!!
told u to xpect the worst...didn't I??

nikiedit it takes forever!!!! so bora ibaki hivo mwenye macho mawili ataelewa..oops macho tena??
 
Hiki kiumbe ngoja kikale mdudu saa hizi, na safari mbili za baridiiiii!!! nimechoka, kazi nitafanya usiku!!
 
Watumishi wa Mungu wanapojali maslahi yako, kazi yako ni kugonga tu haya madude:


The Following User Says Thank You to Askofu For This Useful Post:
Chrispin (Today)

Nimerivenji...

The Following User Says Thank You to Chrispin For This Useful Post:

Askofu (Today)​
 
Code:
told u to xpect the worst...didn't I??

nikiedit it takes forever!!!! so bora ibaki hivo mwenye macho mawili ataelewa..oops macho tena??
Zimebaki dakika ngapi hapo kefu niku M-Pesa fasta?
 
Ni Mzuka wa fani tu umenipanda!!

eeeh hii kumbe fani ya wenyewe eh???

nimekumbuka sala sijui kwenye ''katekisimu yetu''..............Malaika mlinzi wangu unilinde katika hatari zote za roho na za mwili...

aah sore ofu topiki
 
The Following User Says Thank You to Chrispin For This Useful Post:
Askofu (Today)


Nakushukuru baba Muumba wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili ukawafunulia watoto wadogo.

Sasa mheshimiwa mhashamu askofu waweza kumruhusu mtumishi wako niende kwa amani?
 
eeeh hii kumbe fani ya wenyewe eh???

nimekumbuka sala sijui kwenye ''katekisimu yetu''..............Malaika mlinzi wangu unilinde katika hatari zote za roho na za mwili...

aah sore ofu topiki

Umenikumbusha kipindi nilipoiba divai madhabahuni nikaenda kuigida kwenye chumba cha kuungamia. Nililiwa nikalala humohumo mpaka nikakamatwa. Hatimaye nikapigwa ban la kutumikia kanisani maisha yangu yote. Hizi pombe nilianzia utotoni ndio maana nashindwa kuziacha lol!
 
Back
Top Bottom