Kina dada visingizio vingi....

Kina dada visingizio vingi....

Mwanamke mwenye kufanya hivyo hayupo. Lazima awepo mfanyakazi wa Ndani acheni kujidanganya.

mfanyakazi wa ndani haondoi majukumu ya mke kwenye nyumba, na si kila kitu atafanya mfanykazi, unless wewe ni wale mnaojidanganya kuwa ukishaweka housegirl ndo umemaliza kila kitu......
 
inabidi tuwape kitchen party vijana wetu wa kiume maana mapenzi hawajui wana kazi ya kulaumu wanawake! ukimjua mwanamke vizuri hutapata s

Hapana hatuhitaji kitchen party nyie ndio hamsomeki. Mwanaume asipokushughulikia vizuri unanalamika akitaka kupiga vyombo kisawasawa unasema umechoka, yaani hamsomeki. Cha msingi ni kutafuta nyumba ndogo nakupiga vyombo vya haja
 
ni aibu kwa mwanaume kushindwa 'kumsoma' mkewe....

Hapana hatuhitaji kitchen party nyie ndio hamsomeki. Mwanaume asipokushughulikia vizuri unanalamika akitaka kupiga vyombo kisawasawa unasema umechoka, yaani hamsomeki. Cha msingi ni kutafuta nyumba ndogo nakupiga vyombo vya haja
 
ni aibu kwa mwanaume kushindwa 'kumsoma' mkewe....

Yaani nyie ni sawa na kinyonga kubadili rangi leo utasomeka hivi kesho utasomeka hivi sasa mwanaume yuko wapi wa kukaa kusoma hizi rangi? Haya sasa leo umeamua kufanya hata kiuno kikushinde kukata?
 
Yaani nyie ni sawa na kinyonga kubadili rangi leo utasomeka hivi kesho utasomeka hivi sasa mwanaume yuko wapi wa kukaa kusoma hizi rangi? Haya sasa leo umeamua kufanya hata kiuno kikushinde kukata?

kumbe uvivu wa wanaume wa kutomsoma mke ndio chanzo....
Kwa mwendo huu acha wakongo wachukue tu wake zenu....maana hawashindwi kukata viuno.......

Mwanaume unashindwaje kumwelekeza mkeo akufanyie nini uridhike?
Unashimdwaje kutumia 'muda' ambao unauona mali kuliko ndoa yako kumsoma mkeo, kumsuprise, kumpetipeti na kumwonyesha mahaba?
Mwanaume utasemaje kuwa mke 'hasomeki?'

kweli kuna umuhimu wa kupeleka jando vijana wa kiume....
 
kumbe uvivu wa wanaume wa kutomsoma mke ndio chanzo....
Kwa mwendo huu acha wakongo wachukue tu wake zenu....maana hawashindwi kukata viuno.......

Mwanaume unashindwaje kumwelekeza mkeo akufanyie nini uridhike?
Unashimdwaje kutumia 'muda' ambao unauona mali kuliko ndoa yako kumsoma mkeo, kumsuprise, kumpetipeti na kumwonyesha mahaba?
Mwanaume utasemaje kuwa mke 'hasomeki?'

kweli kuna umuhimu wa kupeleka jando vijana wa kiume....

Sasa kama mwanamke haeleweki ukiamua kumuambia anavuta mdomo full kununa ndani ya nyumba. Anayetakiwa kukata kiuno ni nani kati ya mwanamke na mwanaume? Usifanannishe viuno vya stejini na na vya 6/6 ukadhani ni sawa hapo utapotea.
 
apo umenena mwenzangu,yan kutwa nzma nifanye kazi tena ukija nyumban mwanaume amekaa akisubiria pale kitandan,bdala ata asaidie kuaandaa nguo za kazni,kwa wiki akipata mara moja amshukuru mungu,kwan ni chakula bana!
 
Sasa kama mwanamke haeleweki ukiamua kumuambia anavuta mdomo full kununa ndani ya nyumba. Anayetakiwa kukata kiuno ni nani kati ya mwanamke na mwanaume? Usifanannishe viuno vya stejini na na vya 6/6 ukadhani ni sawa hapo utapotea.

wote kutokana na style mnayofanya....... mwanaume ananamna yake ya kukikata, walahiiiiii G-spot utaisugua vilivyo mtoto wa kike akitoka hapo mwepesiiiiiiiiiiiiiiii hatovuta mdomo na utahudumiwa zaidi ya mfalme....loh!!!!!
 
apo umenena mwenzangu,yan kutwa nzma nifanye kazi tena ukija nyumban mwanaume amekaa akisubiria pale kitandan,bdala ata asaidie kuaandaa nguo za kazni,kwa wiki akipata mara moja amshukuru mungu,kwan ni chakula bana!

Hujaolewa? Kama ndivyo watch out, utaachika mapema..hiyo kitu ndio inawaunganisha na kufanya "NDOA" kama kazi unazipa kipaumbele sana na zinakuchosha kiasi cha kuona Tendo la Ndoa ni Kero, unaweza kutodumu katika ndoa au kusababisha wanawake wenzio watoe huduma kwa mwandani wako wakati wewe ukihangaikwa kutafuta ngawila..

Kumbuka tunahangaika na kazi kwa ajili ya maisha ikwemo watoto..kama hatuwezi kutumia muda wa kutosha kushuhulikiana ili kupata watoto..hata hizo kazi tunazofanya hata zikitupa kipato kikubwa kiasi gani hazina maana kwetu .....
 
Back
Top Bottom