nyumba kubwa;Kujipamba kwa mwanamke ni wajibu. Ila kujichubua ni dhana potofu na kwa mtazamo wangu ni elimu ndogo inayofanya wanawake wajichubue kwa kuwa hawajuhi madhara yake including ngozi kuchakaa upesi. Kuna kitu ambacho mimi pia sikifagilii japo ni mwanamke. KUFUGA KUCHA. Utakuta dada anafuga kucha tena wakati mwingine mikono yote miwili. Mimi siwezi kula chakula cha mtu aliyefuga kucha kwani siamini kuwa hizo kucha ni safi ukizingatia maswala ya toilet. Na sijuhi wanajiswafi vipi na makucha.
Nyumba Kubwa,
Hapo kwenye nyekundu na mimi kwakweli huwa nashangaa. Unakuta mdada kafuga au kaweka makucha marefu, nabaki kujiuliza kwa jinsia yenu wadada usafi unafanyikaje na hayo makucha marefu. Kwakweli huwa naona uchafu na kinyaa. Sifagilii!
Nyumba Kubwa,
Hapo kwenye nyekundu na mimi kwakweli huwa nashangaa. Unakuta mdada kafuga au kaweka makucha marefu, nabaki kujiuliza kwa jinsia yenu wadada usafi unafanyikaje na hayo makucha marefu. Kwakweli huwa naona uchafu na kinyaa. Sifagilii!