Kina dada wachunaji mko wapi?


inaonyesha ukiamua kumchuna mwanaume Da Pretty, unaweza kumfanya asahau familia yake ati!!!!!!!!!
 

Pretty, sinywi bia isiyo na VAT. Nani alikwambia siku zote pesa huwa haitoshi? Hizo ni tamaa za watu tu. Mimi imenitosha na nawaalika wengine watumie. Mke ninanye, na nimeshauriana naye kabla ya kutoa tangazo hili. Ikumbukwe sifanyi hivi kwa sababu ya ngono. Ngono nje ya ndoa kwangu mwiko. Nataka kuchunwa tu.
 
mmh hatari
twende msimbaz centre tukawanunulie vitu wazee na watoto yatima....
 
<br />
<br />
Mbona kwenu kunawatu wanashida sana.kwanin usiende kuwapa kuliko unavotangaza ivo humu jamvini?
 
una maakili ww! au kule kijijini kwao nyaishozi akatoe sponsor asomeshe vijana na yatima, ajenge hospitali pia mama zake wadogo wajifungue kwa usalama!

mmh hatari</p>
<p>twende msimbaz centre tukawanunulie vitu wazee na watoto yatima....
 
Lakini pia kumbuka wazazi wako wanaomba chumvi kwa jirani.
 
Mbuzi ni mbuzi hawezi kuwa simba.
Acha kudhalilisha wadada wawatu kama unataka raha oa wakwako. Intelectual with negative changes CRAP!
 
Bukoba ya akina kaishajabutege ni mkoa unaongoza kwa umaskini wahaya sifa zitawaua
 
Why do not you invest the money and instead you are inviting wholes to use your money? What is wrong with African men?
I thought you saved the whole year so that you can invest?
 
Mr,kama uko na pesa nyingi nenda kijijini
Kwenu kawasaidie ndugu zako,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…