Kina dada watahadharishwa

duh!!mbonaa kamaa imekaaa ki majungu flani ya kuchafuanaaa
 
baelezeee banaa afrodenzi...


nadhani huyo mdada hajawahi sikia mtu ambae ni "Bisexual"
si vema kumdhalilisha mtu kiasi kile. Kina muhusu nini yeye..
watu wengine bana, wanajiona malaika..
 
Kuna baadhi ya comments kule zimeandikwa; bwana wako anakwenda GYM kila siku na kichwani anapiga low cut ni Gay!! Ukiwa masculine ni tatizo na ukijiachia vile vile ni tatizo.Dada zetu mnataka nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…