Kina Halima Mdee na wenzake waangukia mikononi mwa mawakili wa CHADEMA

Kina Halima Mdee na wenzake waangukia mikononi mwa mawakili wa CHADEMA

huwa najiuliza swali, kama viongozi wangu chadema hawautambui uchaguzi kwa nini wanangaika na kina mdee.. hali tayari wameshawavua ubunge..
halafu kama chadema hawautambui uchanguzi kwa nini mwenyekiti huwa anaenda ikulu hali ikulu anayekaa humo ni mtu aliyechaguliwa kwa uchaguzi na akaapishwa..
mambo mengine ukiyafikilia sana unaweza washangaa tu watu..
NASHAURI, CHADEMA WAKAE KIMYA KWENYE HILI SWALA LITAWAAIBISHA SANA.. KAMA WAMESHAUKATAA UCHAGUZI NA KIKAO KIMEWAKATAA KIHALALI NA WAMESHAWASILISHA MAJINA KWA KATIBU WA BUNGE KUWAVUA UANACHAMA HAPO KAZI YA CHAMA IMEISHA WAACHE BUNGE NA SELIKARI IPINGE NGOMA NA KUCHEZA YENYEWE
Haya kavue kaptula unye ulale! usichafue nguo wee mtoto!
 
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetoa ruhusa ya Nusrati Hanje, Halima Mdee, Esther Matiko, Ester Bulaya, Jesca Kishoa na wenzao wawili kufika mahakamani na kuhojiwa na mawakili wa upande wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Mawakili wa upande wa CHADEMA wakiongozwa na Wakili Peter Kibatala, wakizungumza na vyombo vya habari amesema kuwa wamewataka Halima Mdee na wenzake kufika mahakami Agosti 26 wakati kesi hiyo itakapokuja kwa ajili ya maombi ya msingi kusikilizwa, kwa mara ya kwanza ili wahojiwe kuhusu mchakato wa ubunge wao.

Haya ni maombi namba 36 ya mwaka 2022, yaliyofunguliwa na Halima Mdee na wenzake 18, dhidi ya Chadema Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume ya Taifa ya uchaguzi, yatasikilizwa mbele ya Jaji Cypiria Mkeha.

Kesi hiyo kurejea maamuzi ya CHADEMA kuwavua unachama wao Halima Mdee na wenzake imeahirishwa hadi Agosti 26, itakapokuja mahakamani hapo kwa ajili ya kusikilizwa baada ya nyaraka za msingi kuwasilishwa mahakamani hapo.
Kimenuka !
 
huwa najiuliza swali, kama viongozi wangu chadema hawautambui uchaguzi kwa nini wanangaika na kina mdee.. hali tayari wameshawavua ubunge..
halafu kama chadema hawautambui uchanguzi kwa nini mwenyekiti huwa anaenda ikulu hali ikulu anayekaa humo ni mtu aliyechaguliwa kwa uchaguzi na akaapishwa..
mambo mengine ukiyafikilia sana unaweza washangaa tu watu..
NASHAURI, CHADEMA WAKAE KIMYA KWENYE HILI SWALA LITAWAAIBISHA SANA.. KAMA WAMESHAUKATAA UCHAGUZI NA KIKAO KIMEWAKATAA KIHALALI NA WAMESHAWASILISHA MAJINA KWA KATIBU WA BUNGE KUWAVUA UANACHAMA HAPO KAZI YA CHAMA IMEISHA WAACHE BUNGE NA SELIKARI IPINGE NGOMA NA KUCHEZA YENYEWE
Tatizo ni hizo nafasi kuwa wazi ili vimada na wake za mabosi chadema wakina Joyce mukya waingie.
 
huwa najiuliza swali, kama viongozi wangu chadema hawautambui uchaguzi kwa nini wanangaika na kina mdee.. hali tayari wameshawavua ubunge..
halafu kama chadema hawautambui uchanguzi kwa nini mwenyekiti huwa anaenda ikulu hali ikulu anayekaa humo ni mtu aliyechaguliwa kwa uchaguzi na akaapishwa..
mambo mengine ukiyafikilia sana unaweza washangaa tu watu..
NASHAURI, CHADEMA WAKAE KIMYA KWENYE HILI SWALA LITAWAAIBISHA SANA.. KAMA WAMESHAUKATAA UCHAGUZI NA KIKAO KIMEWAKATAA KIHALALI NA WAMESHAWASILISHA MAJINA KWA KATIBU WA BUNGE KUWAVUA UANACHAMA HAPO KAZI YA CHAMA IMEISHA WAACHE BUNGE NA SELIKARI IPINGE NGOMA NA KUCHEZA YENYEWE
Kwa hiyo unashauri wagome kqenda mahakamani?

CHADEMA ilipowavua uwanachama, ulisikia kuwa waluenda mahakamani? Mahakamani wameitwa na mahakama kwa sababu akina Mdee waluenda huko.
 
huwa najiuliza swali, kama viongozi wangu chadema hawautambui uchaguzi kwa nini wanangaika na kina mdee.. hali tayari wameshawavua ubunge..
halafu kama chadema hawautambui uchanguzi kwa nini mwenyekiti huwa anaenda ikulu hali ikulu anayekaa humo ni mtu aliyechaguliwa kwa uchaguzi na akaapishwa..
mambo mengine ukiyafikilia sana unaweza washangaa tu watu..
NASHAURI, CHADEMA WAKAE KIMYA KWENYE HILI SWALA LITAWAAIBISHA SANA.. KAMA WAMESHAUKATAA UCHAGUZI NA KIKAO KIMEWAKATAA KIHALALI NA WAMESHAWASILISHA MAJINA KWA KATIBU WA BUNGE KUWAVUA UANACHAMA HAPO KAZI YA CHAMA IMEISHA WAACHE BUNGE NA SELIKARI IPINGE NGOMA NA KUCHEZA YENYEWE


Tusijisahaulishe ni kwasababu wanatumia jina la kwamba ni wabunge wa Chadema leo hii spika akitoa neno kwamba kisheria sio wabunge wa Chadema hakuna mtu atawafuata. Chadema walishajibu hili swali hata kama hatupendi majibu hasa makada wa CCM
 
huwa najiuliza swali, kama viongozi wangu chadema hawautambui uchaguzi kwa nini wanangaika na kina mdee.. hali tayari wameshawavua ubunge..
halafu kama chadema hawautambui uchanguzi kwa nini mwenyekiti huwa anaenda ikulu hali ikulu anayekaa humo ni mtu aliyechaguliwa kwa uchaguzi na akaapishwa..
mambo mengine ukiyafikilia sana unaweza washangaa tu watu..
NASHAURI, CHADEMA WAKAE KIMYA KWENYE HILI SWALA LITAWAAIBISHA SANA.. KAMA WAMESHAUKATAA UCHAGUZI NA KIKAO KIMEWAKATAA KIHALALI NA WAMESHAWASILISHA MAJINA KWA KATIBU WA BUNGE KUWAVUA UANACHAMA HAPO KAZI YA CHAMA IMEISHA WAACHE BUNGE NA SELIKARI IPINGE NGOMA NA KUCHEZA YENYEWE
Sasa kwann na wao wanajiita Ni wabunge halali waliotokana na chadema?
 
huwa najiuliza swali, kama viongozi wangu chadema hawautambui uchaguzi kwa nini wanangaika na kina mdee.. hali tayari wameshawavua ubunge..
halafu kama chadema hawautambui uchanguzi kwa nini mwenyekiti huwa anaenda ikulu hali ikulu anayekaa humo ni mtu aliyechaguliwa kwa uchaguzi na akaapishwa..
mambo mengine ukiyafikilia sana unaweza washangaa tu watu..
NASHAURI, CHADEMA WAKAE KIMYA KWENYE HILI SWALA LITAWAAIBISHA SANA.. KAMA WAMESHAUKATAA UCHAGUZI NA KIKAO KIMEWAKATAA KIHALALI NA WAMESHAWASILISHA MAJINA KWA KATIBU WA BUNGE KUWAVUA UANACHAMA HAPO KAZI YA CHAMA IMEISHA WAACHE BUNGE NA SELIKARI IPINGE NGOMA NA KUCHEZA YENYEWE
Wewe lini ulimpigia kura Samia? Samia aliteuliwa na Magufuli, ni mrithi.
 
Kuna watu wanahangaika kuwajibu mazuzu ambayo hata hayajui kuwa aliyefungua kesi si CDM!!
Kweli utafiti wa TWAWEZA ulioleta matokeo ya kwamba CCM inapendwa na wazee, wasio na elimu na masikini unazidi kudhihirishwa kuwa ni sahihi.
 
huwa najiuliza swali, kama viongozi wangu chadema hawautambui uchaguzi kwa nini wanangaika na kina mdee.. hali tayari wameshawavua ubunge..
halafu kama chadema hawautambui uchanguzi kwa nini mwenyekiti huwa anaenda ikulu hali ikulu anayekaa humo ni mtu aliyechaguliwa kwa uchaguzi na akaapishwa..
mambo mengine ukiyafikilia sana unaweza washangaa tu watu..
NASHAURI, CHADEMA WAKAE KIMYA KWENYE HILI SWALA LITAWAAIBISHA SANA.. KAMA WAMESHAUKATAA UCHAGUZI NA KIKAO KIMEWAKATAA KIHALALI NA WAMESHAWASILISHA MAJINA KWA KATIBU WA BUNGE KUWAVUA UANACHAMA HAPO KAZI YA CHAMA IMEISHA WAACHE BUNGE NA SELIKARI IPINGE NGOMA NA KUCHEZA YENYEWE
EeeeeNHeeeee, wewe kweli ni 'royal tourtz'!

Yaani huna akili ya kujua uhusika wa CHADEMA na hao watu, kweli?

Wewe utakuwa ni kiazi mbatata hasa!
 
Bila kupoteza muda nimeamua kwa hiyari yangu na akili zangu timamu kumsaidia Mzee Halima Mdee.

Kibata,Kabla ya uchavuzi mkuu 2020 uliwahi Mbunge wa vitu maalum.

Mzee Halima Mdee,Ndio tena kwa vipi viwili.

Kibata,Kwahiyo unajua utaratibu wa uteuzi wa wabunge wa viti maalumu.

Mzee Halima Mdee,Ndio

Kibatala,Mweleze Mh Jaji utaratibu,Sheria na kanuni za wabunge wa viti maalumu.

Mzee Halima Mdee,Mh Jaji naomba ruksa ya kwenda kujisaidia.

Mh Jaji, Unaweza kwenda Mahakama inakusubiri.

Mahakama ipo kimya dakika 30 zimeshapita Mzee Halima Mdee bado yupo msalani.

Wakili wa Mzee Halima Mdee anaiomba Mahakama kuhairisha kesi kwakuwa mteja wake hajisikii vizuri.

Kibatala, anaiomba mahakama kukataa ombi hilo na kuitaka mahakama kutoa amri ya kumleta Shahidi mwingine.

Mheshimiwa Jaji anakubalina na ombi la Wakili Msomi Kibatala Nusrat anapanda kizimbani tayari kwa maojiano.

Kibatala, Tunaomba umeambie Mh Jaji utaratibu wote wa kuwatapa wabunge wa viti maalumu.

Nusrat,Mheshimiwa Jaji mimi nilikuwa Magereza,nililetewa form saa 9 za usiku nika sign na sikuiliyofuata nikapelekwa garage nikaapishwa na aliyekuwa Spika wa Bunge Mh Ndugai.

Mheshimiwa Jaji kuniuliza mchakato ulivyokuwa ni kunionea tu.Naomba Mahakama yako tukufu itambue kwamba mimi nilikuwa mahabusu na baadae nikawa Mheshimiwa Mbunge.
 
huwa najiuliza swali, kama viongozi wangu chadema hawautambui uchaguzi kwa nini wanangaika na kina mdee.. hali tayari wameshawavua ubunge..
halafu kama chadema hawautambui uchanguzi kwa nini mwenyekiti huwa anaenda ikulu hali ikulu anayekaa humo ni mtu aliyechaguliwa kwa uchaguzi na akaapishwa..
mambo mengine ukiyafikilia sana unaweza washangaa tu watu..
NASHAURI, CHADEMA WAKAE KIMYA KWENYE HILI SWALA LITAWAAIBISHA SANA.. KAMA WAMESHAUKATAA UCHAGUZI NA KIKAO KIMEWAKATAA KIHALALI NA WAMESHAWASILISHA MAJINA KWA KATIBU WA BUNGE KUWAVUA UANACHAMA HAPO KAZI YA CHAMA IMEISHA WAACHE BUNGE NA SELIKARI IPINGE NGOMA NA KUCHEZA YENYEWE
Tumia Akili kama huna kaazime HALIMA na Wenzake ni Wanachama wa Chadema Chadema ilikuwa ina Haki Asilimia kuhakikisha Wanachama Wao wanatii MSIMAMO wa Chama chao na iliwafukuza kwa kwenda kinyume na Chama Kama Chadema ilisema haiutambui Uchaguzi kwanini Tume iwateue hao hao ambao Chama chao hakitambui uchaguzi Usipende kuandika Ujinga
 
NI SAWA HAWATAKI COV19 WATUMIE NEMBO YETU PEDWA YA CHADEMA, ILA MCHAKATO WA KUWAVUA WABUNGE SI UMESHAKWISHA TAYARI? KAMA JIBU NI TAYARI KWA NINI WANAENDELEA KUWAFATILIA HALI TAARIFA ZA KUWAVUA ZIMESHAFIKA KWA KATIBU WA BUNGE... KWA NINAVYOONA HII ISHU ITAWACHAFUA CHADEMA
Nonsense
 
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetoa ruhusa ya Nusrati Hanje, Halima Mdee, Esther Matiko, Ester Bulaya, Jesca Kishoa na wenzao wawili kufika mahakamani na kuhojiwa na mawakili wa upande wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Mawakili wa upande wa CHADEMA wakiongozwa na Wakili Peter Kibatala, wakizungumza na vyombo vya habari amesema kuwa wamewataka Halima Mdee na wenzake kufika mahakami Agosti 26 wakati kesi hiyo itakapokuja kwa ajili ya maombi ya msingi kusikilizwa, kwa mara ya kwanza ili wahojiwe kuhusu mchakato wa ubunge wao.

Haya ni maombi namba 36 ya mwaka 2022, yaliyofunguliwa na Halima Mdee na wenzake 18, dhidi ya Chadema Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume ya Taifa ya uchaguzi, yatasikilizwa mbele ya Jaji Cypiria Mkeha.

Kesi hiyo kurejea maamuzi ya CHADEMA kuwavua unachama wao Halima Mdee na wenzake imeahirishwa hadi Agosti 26, itakapokuja mahakamani hapo kwa ajili ya kusikilizwa baada ya nyaraka za msingi kuwasilishwa mahakamani hapo.
Wahakikishe wamemeza dawa za kuzui mkojo.

Wakamuulize copral Aziz na yule mwingine wa Forenscic Beaural jina nimelisahau
 
Bila kupoteza muda nimeamua kwa hiyari yangu na akili zangu timamu kumsaidia Mzee Halima Mdee.
Hapana.
Hapa hujamsaidia Halima, kwa sababu umeamua kuchukua kesi isiyokuwa mahakamani.

Halima anapinga kufukuzwa CHADEMA. Mambo ya ubunge , labda huko baadae!
 
Back
Top Bottom