GANA BANKS
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 608
- 872
Hii ni aina gani ya uwasilishwaji wa Habari[emoji23][emoji23][emoji23]
Nanukuu "kina INOMGA wamepigwa"
UZI TAYALI[emoji3578]
Nireeeteeeeni OKWI BAOBANI SUNZU mzee wa kupuyangaView attachment 2366413View attachment 2366415
Kama amechomesha kweli, basi atakuwa amewaweka katika wakati mgumu sana mashabiki wa timu yake.Inonga kachomesha timu
Cha ajabu ni nini mkuu?Inonga kachomesha timu
Pole sana naona [emoji382][emoji382][emoji382] imeingia hapo unasikilizia maumivu tu
Cha ajabu ni kwamba kacheza alafu kachomesha maana tunamjua ni uchochoro
Tatizo lake Lile Lile la kujiangusha......mwamba akaenda kufunga .....[emoji23][emoji23]Kama amechomesha kweli, basi atakuwa amewaweka katika wakati mgumu sana mashabiki wa timu yake.
Hamna mkuu....sema hakuna mchezaji pale
Kinyoonge!!!! Zile mbwembwe zote za jana kabla ya hiyo mechi, kwisha kabisa!!!!Sio vibaya
England yenyewe imechapwa na ItaliaKinyoonge!!!! Zile mbwembwe zote za jana kabla ya hiyo mechi, kwisha kabisa!!!!
Cha ajabu ni kwamba kacheza alafu kachomesha maana tunamjua ni uchochoro
Kama ilivyo desturi, usikute Harry Magwaya amechomesha kama alivyofanya jamaa yake Inonga bila shaka!!!England yenyewe imechapwa na Italia
Maguire!Inonga kachomesha timu