Kina Inonga wapigwa na kina Azizi

Kina Inonga wapigwa na kina Azizi

GANA BANKS

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
608
Reaction score
872
Hii ni aina gani ya uwasilishwaji wa Habari[emoji23][emoji23][emoji23]
Nanukuu "kina INOMGA wamepigwa"

UZI TAYALI[emoji3578]

Nireeeteeeeni OKWI BAOBANI SUNZU mzee wa kupuyanga.

1664009694126.jpg
Screenshot_20220924-115721.jpg
 
Iko hivi...Inonga kacheza dakika zote..huyu mtu wenu amekalia benchi ndefu dakika zote tisini..nimekupa hizo taarifa kama lilivyo lengo la uzi wako.
 
Nyuzi za kunijibu zimekuwa nyingi,mpaka sijui nijibu ipi niache ipe. Mngefanya nyuzi moja. Anafungwa Italy itakuwa DR Congo? Anachomesha Verane itakuwa Inonga?
 
Cha ajabu ni kwamba kacheza alafu kachomesha maana tunamjua ni uchochoro

Congo wanatafuta wachezaji wa kuunda timu yao ya Taifa sababu hawana cha kupoteza labda wataendelea kuporomoka kwenye rank za FIFA

Mali ni wa 46

Bukinafaso ni wa 55

Na hakina Inonga ni wa 72

Screenshot_20220924-201236_Chrome.jpg


Screenshot_20220924-201259_Chrome.jpg


Screenshot_20220924-201314_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom