Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki yangu mtoto wake wa kiume aliyemakiza chuo, kijana wa miaka 25 alipeleka nyumbani mchumba wa ‘miaka 35 mwenye watoto wawili baba tofauti.
Shost alimsomesha mtoto Uganda enzi zile English Medium Tanzania za kuhesabu. Leo analetewa mkwe ‘used’ kwa maneno yake.
Alipomkataa kijana alikunywa simu. Hospitali mama alikatazwa kumuona mgonjwa kwani ndiye chanzo cha ajali.
Alipona na kuoa ndoa ya kanisani pasi mama yake kuwepo.
Its so sad kwakweli, ila huyo mkwe nae hakua na busara, maana katika hali ya namna hiyo ya kukataliwa na mzazi wa your hubby to be angejiweka kando mpaka labda mama aridhieRafiki yangu mtoto wake wa kiume aliyemakiza chuo, kijana wa miaka 25 alipeleka nyumbani mchumba wa ‘miaka 35 mwenye watoto wawili baba tofauti.
Shost alimsomesha mtoto Uganda enzi zile English Medium Tanzania za kuhesabu. Leo analetewa mkwe ‘used’ kwa maneno yake.
Alipomkataa kijana alikunywa simu. Hospitali mama alikatazwa kumuona mgonjwa kwani ndiye chanzo cha ajali.
Alipona na kuoa ndoa ya kanisani pasi mama yake kuwepo.
Ni bwege kweli dogo, na elimu yake haijamsaidia loloteHuyo kijana ni bwege
Hii ni kweli aiseeMie naona ht kwa baba tu..baba akishamtilia mashaka mchumba wako bas jiweke pembeni tu..
Inategemea ..baba akiona unapotea kabisa hatakwambia then akuache uamue atakwambia kabisa msimamo wake...mm ni shahidi wa hili maana baba aliwahi nipa onyo kipindi fulan ..halafu siyo wote wanakutilia wasiwasi kwa kumsikiliza mama mkuu ..wengine wanatumia utashi wao maana wapo wasiokuwa na wake.Lakini kina baba huwa wana compromise kwenye masuala haya. Anaweza akakwambia halafu akakuacha mwenyewe ufanye maamuzi. Na pengine kina baba hua wanaelezaga wasiwasi kutokana na maneno wanayopewa na mama zetu huko chumbani
Yawezekana, thou kuna mwingine niliowahi mpeleka hom hakuwahi kutiliwa shaka kabla ya huyu. Yule ilikuwa hata nisipokuwepo nikirudi nitawakuta wamekaa wanapiga stori fresh kabisa. Nilikujaga nikamuacha mimi mwenyewe, tangu nimemuacha sijawahi kupata mahusiano yenye Afya yakadumu hata miaka miwili.Kwanza bi mkubwa alionyesha wasi wasi halafu baadae akaja kumpenda? Labda ule wasiwasi wake wa mwanzo ulikua na maana kubwa
Inategemea ..baba akiona unapotea kabisa hatakwambia then akuache uamue atakwambia kabisa msimamo wake...mm ni shahidi wa hili maana baba aliwahi nipa onyo kipindi fulan ..halafu siyo wote wanakutilia wasiwasi kwa kumsikiliza mama mkuu ..wengine wanatumia utashi wao maana wapo wasiokuwa na wake.
Hahahahahahahahahah mzazi ni mzazi tu ...ila baba alimaanisha kwamba wafanyabiashara wote n wezi? Maana alivyoconclude dahdadangu alileta ujumbe hom anataka kuleta watu hom wajitambulishe dingi akauliza kazi yake akaambiwa mfanyabiashara..dingi aliropkwa neno 1..usiniletee majizi mm[emoji4]akatia ngumu kweli kweli..kama unavyojua tena mama anataka mkwe tukaungana ndg wote tukimshinikiza dingi alegeze kamba...dadek hakuchukua kweli round..it was almsost 2 yrs only jamaaa akasarenda na mali za baba[emoji4][emoji4]since pale nilisema mm baba akikataa kuolewa na huyu mtu bas nami.sitataka kabs kulazimisha..aka..nashujuru Mungu alikubali baada ya kusikia anafanya Msc[emoji4]
Hahahahahahahahahah mzazi ni mzazi tu ...ila baba alimaanisha kwamba wafanyabiashara wote n wezi? Maana alivyoconclude dah
Itakuwa anajua tabia za hao watu au kuna kitu kingine aliona ....na Jamaa alikuwa ameshamuoa Dada tayari?hatujuagi shoo..yaan huwa tunaijutia sana ile siku...
Itakuwa anajua tabia za hao watu au kuna kitu kingine aliona ....na Jamaa alikuwa ameshamuoa Dada tayari?
Mama anajua wakike nae ataenda uchunguzwe anakoolewa akiwa certified maisha yanaendelea...!!!!Mama yangu ni mtu mzima na ameshaozesha watoto wake kadhaa wakike kwa wakiume ikiwa ni pamoja na watoto wake wa kuwazaa, watoto wengine wa ndugu zake na wengine tu aliyowalea
Siku zote dada zetu wakipata wachumba na kuwaleta kwa utambulisho nyumbani mama hana shinda hua anakua ni mwenye furaha na tabasamu muda wote. Pia anakua ni mcheshi sana kwa wakwe zake hao wa kiume watarajiwa
Kasheshe huja pale mwanae wa kiume anapotaka kuoa au kumtambulisha mchumba. Mama anakua sio mwepesi kukubal,i kwa maana atataka habari za kutosha za huyo mwanamke. Tena itamshughulisha kwa kuchukua hatua za kuwauliza watu wengine na huku akitaka wamfanyie uchungunguzi mkwe mtarajiwa
Kuna kaka yetu alipata mchumba Mwanza, alipokuja kumtambulisha home bi mkubwa alimuuliza maswali mengi sana na mwisho wa siku alifunga safari kwenda huko Mwanza kwa dada yake binamu, safari ambayo baadae tulikuja kujua ilikua ni ya kutaka kutafuta habari zaidi za huyo mtoto wa kike!
Bahati nzuri kwa upande wake alifanikiwa kupata taarifa alizokua anazihitaji kuhusu huyo shemeji yetu na kwa mshangao wa wengi alimkataa huyo binti kuolewa na brother! Pamoja na kaka kulalamika na kupinga mwisho wa siku amri ya Bi Mkubwa ilitekelezwa na sasa hivi kaka ana ndoa na mwanamke mwingine wakiishi kwa amani na furaha
Nilikua nadhani ni mama yetu pekee ndio yupo hivi lakini nilipata nafasi ya kuongea na watu kadhaa kuhusu hili na angalau watu watatu walinithibitishia kua wamewahi kushuhudia kina mama kadhaa wakiwa na tabia hiyo
Najiuliza katika dunia ya sasa jambo hili linanafasi kweli? Na nini hasa sababu ya mama zetu kua very protective kwa watoto wao wa kiume linapokuja suala la kuchagua mwenza wa maisha? Kwanini kina mama hao wa zamani wanawawekea vigezo vingi sana watoto wao wa kiume kuhusu aina ya wachumba wanaowapata wakati kwa watoto wao wa kike hawaweki vigezo vyovyote vya maana kuhusiana na hilo, kwani miminadhani ilipaswa kua kinyume chake
😀😀😀Mama anajua wakike nae ataenda uchunguzwe anakoolewa akiwa certified maisha yanaendelea...!!!!
Anawatakieni maisha mema na wake zenuSometimes tunamuona kama dictator flani hivi hasa ukizingatia alikua mkali sana kwa watoto wake enzi zake. Kwa hiyo anataka kuendelea hivyohivyo wakati watu tushakua wakubwa sasa