Jumashebby
Senior Member
- Jan 25, 2025
- 111
- 244
Ndio maana bado naishi na Ile principle ya MWANAUME KATAA NDOAhaki sawa kwenye jasho la mwanaume, jasho lao likiguswa utasikia mfumo dume
NDOA NI UTAPELI
NDOA NI UMASKINI.
Wanawake hawachelewi kukuletea visa mvurugane kidgo utaskia naomba talaka then tugawane mali.