KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
ji jibu kwa kusoma jina lako.Sawa.sio wao. Wameonewa
Wape dhamana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ji jibu kwa kusoma jina lako.Sawa.sio wao. Wameonewa
Wape dhamana
unaupokea. jingaInadaiwa huyo mwanamke alikuwa kwenye biashara ya kujiuza, labda kosa ni kusumbaza picha za ngono kwenye mtadao.
Hakuna kesi ya kubaka hapo
Imagine hao jamaa waseme kwamba sisi tulikubaliana na hayo maneno yaliosikika ilikuwa ni mood tu ya game.Inadaiwa huyo mwanamke alikuwa kwenye biashara ya kujiuza, labda kosa ni kusumbaza picha za ngono kwenye mtadao.
Hakuna kesi ya kubaka hapo
Si umesema sio wao nenda kawape dhamana.ji jibu kwa kusoma jina lako.
Ushahidi gani? A Clip?Mbna kesi zngne za ubakaji bila hata video watu wanalamba 30yrs au maisha why ya hawa iwe ngumu? Wakat ushahidi uko wazi kabsa na masura yao yapo hapo na vile vile kuna tishio la kujeruhi pia
Huo huo.au una mwingine?Ushahidi gani? A Clip?
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imeamua kuwa washtakiwa wanne wanaokabiliwa na kesi ya ubakaji wa kundi na ulawiti dhidi ya Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam, wana kesi ya kujibu. Uamuzi huo ulitolewa Jumatatu, Septemba 23, 2024, mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Zabibu Mpangule.
Washtakiwa hao—mwanajeshi wa TPDF Clinton Damas (maarufu kama Nyundo), Askari Magereza Praygod Mushi, Nickson Jackson, na Amin Lema—watawasilisha utetezi wao Septemba 25 na 26, baada ya upande wa mashtaka kuwasilisha vielelezo 12 na mashahidi 18.
Akizungumza nje ya mahakama, wakili wa utetezi Godfrey Wasonga alisema washtakiwa wako tayari kutoa ushahidi wao kwa kiapo na watawasilisha mashahidi 10 pamoja na vielelezo 6.
Kuhusu video iliyosambaa mitandaoni, Wasonga alisema ushahidi wa video uliowasilishwa mahakamani unatofautiana na madai ya mitandao ya kijamii, akibainisha kuwa DVD iliyochezwa mahakamani haikuonyesha wazi sura za wahusika wala kitendo chochote kilichokuwa kikifanyika.
Soma Pia:
Washtakiwa walikana mashtaka ya ubakaji wa kundi na ulawiti walipofikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Agosti 19, na wamekuwa mahabusu tangu Agosti 20 huku kesi ikiendelea kusikilizwa. Wakili Wasonga alisisitiza kuwa idadi ya mashahidi si muhimu katika kesi ya jinai, bali ubora wa ushahidi ndio unaoamua hukumu.
- Kesi ya waliotumwa na afande kubaka na kulawiti yaendelea leo
- Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani
........................
The #Dodoma Resident Magistrate’s Court has ruled that all four defendants accused of gang rape and sodomy against a young woman from Yombo Dovya, Dar es Salaam, have a case to answer.
The decision was made on Monday, September 23, 2024, before Senior Resident Magistrate Zabibu Mpangule.
The four defendants—TPDF member Clinton Damas (alias Nyundo), Prison Officer Praygod Mushi, Nickson Jackson, and Amin Lema—will now present their defense on September 25 and 26, following the prosecution’s presentation of 12 exhibits and testimony from 18 witnesses.
Speaking outside the court, defense lawyer Godfrey Wasonga said the defendants are ready to testify under oath and will bring 10 witnesses and six exhibits to support their defense.
Addressing the viral video that circulated on social media, Wasonga argued that the video evidence presented in court differs from social media claims. "The video shown in court was on a DVD and failed to play properly. It doesn't clearly identify anyone or show who is performing any acts," he said, dismissing the claim that the suspects' phones were used to record the footage.
Wasonga emphasized that the number of prosecution witnesses is irrelevant in a criminal case like this. "A conviction depends on the quality of evidence, not the number of witnesses. Issues like identification and the legality of the arrest are also crucial," he added.
The defendants, who pleaded not guilty to charges of gang rape and sodomy when first brought to court on August 19, have been in custody since August 20 as hearings continue.
Chanzo: The Citizen
hilo halina ubishi, alikuwa anauza uchi, ni kahaba mkongwe.Wale madogo walijiamini kama watalindwa. Na kama sio kelele, ingewezekana maana ile statement ya kusema huyu si alikuwa dada poa tu, haikuja kwa bahati nasibu.
Hakuna aliyejuu ya sheria, hata kama tuna vyeo vya aina gani. Huwa tunajisahau. Na tunapowajibishwa, tunabaki kusononeka kama tunaonewa au watu hawathamini mchango wetu kwenye maendeleo na ustawi wa taifa letu.
Tujifunze kuwa wanyenyekevu.
Yule RC alimzibua bint wa watu mtaro ile kesi itaisha juu kwa juuKesi ya RC naWonder iliishia wapi ?
Makuruta wale hawana akiliWale madogo walijiamini kama watalindwa. Na kama sio kelele, ingewezekana maana ile statement ya kusema huyu si alikuwa dada poa tu, haikuja kwa bahati nasibu.
Hakuna aliyejuu ya sheria, hata kama tuna vyeo vya aina gani. Huwa tunajisahau. Na tunapowajibishwa, tunabaki kusononeka kama tunaonewa au watu hawathamini mchango wetu kwenye maendeleo na ustawi wa taifa letu.
Tujifunze kuwa wanyenyekevu.
Kitoto cha 2000 kilehilo halina ubishi, alikuwa anauza uchi, ni kahaba mkongwe.
ishafutwa hiyo unadhani wakubwa wao sheria zinawahusu?Hata mie nataka kujua.
Kujiuza kusihalalishe mumuingilie mwanamke kinyume na maumbile.Inadaiwa huyo mwanamke alikuwa kwenye biashara ya kujiuza, labda kosa ni kusumbaza picha za ngono kwenye mtadao.
Hakuna kesi ya kubaka hapo
Makuruta wale hawana akili
Wale walipokunywa pombe+mibangi wakajiona tayari
Humo kwenye vyombo vya ulinZi
Na usalama kumejaa watu wa ovyo tuu
Ova