Waislamu bana, kila kitu mtume hivi mtume vile, vitu vingine haviitaji kwenda madrasa kuchapwa bakora ndipo upate hii elimu adhimu! Mungu mwenyewe anaenda kwa mahesabu (enzi za nuhu na hata wakti wa kuzaliwa kwa christ) iweje wanadamu? Ifike wakti tutumie bongo si kila kitu oooh mtume!