Kina 'Sheikh Ponda' Kushtakiwa

Kina 'Sheikh Ponda' Kushtakiwa

heshimu dini na imani za watu kila kitu kina utaratabu na kanuni zake ivyo mfumo unaoufuata ww ni tofauti na waislamu
 
Ningekuwa ndio rais ponda ni wa kupelekwa mabwe'pande
 
Waislamu bana, kila kitu mtume hivi mtume vile, vitu vingine haviitaji kwenda madrasa kuchapwa bakora ndipo upate hii elimu adhimu! Mungu mwenyewe anaenda kwa mahesabu (enzi za nuhu na hata wakti wa kuzaliwa kwa christ) iweje wanadamu? Ifike wakti tutumie bongo si kila kitu oooh mtume!

oya kama kama ki2 hujui bora kaa kimya.kuliko kudhalilisha dini,mtume ni kiigizi chema kwetu.ulikuwa unataka tukufate wewe??na hatuhesabiwiiiii.
 
Back
Top Bottom