Kinachoendelea Dodoma: "Hakuna Katiba! ni Kutafuna Tuu Pesa za Watanzania"-Dotto Bulendu wa Star TV!

Kinachoendelea Dodoma: "Hakuna Katiba! ni Kutafuna Tuu Pesa za Watanzania"-Dotto Bulendu wa Star TV!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,

Kwanza naomba nianze na pongezi za dhati kabisa kutoka ndani ya moyo wangu, kwa Mtangazaji Doto Bulendu wa Star TV kwa kipindi chake cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachorushwa live kila Jumamosi saa 1:00-3:00. Japo Tanzania tunao watangazaji wengi wa medani za siasa, huyu ni mmoja wa watangazaji wachache mahiri kabisa katika medani za siasa!. Hongera sana Dotto Bulendu!.

Leo katika kipindi chake kumekuwa na mjadala mkali sana ulioanzia kwa tuhuma za baadhi ya headline kama "Rais Kikwete Anywea Kwa Ukawa!", mmoja wa wageni wake wawili akisema huo ni udhalilishaji, huku mgeni mwingine akisema iko ok, Doto Bulendu kama moderator, akamaliza uvutano kwa kuelemisha kuwa uandishi ina makosa mawili tuu,
1. Uchochezi (sedition) 2. Udhalilishaji (defamation) japo kiukweli kuna makosa mengi zaidi ya hayo, ila kwa hoja iliyopo mezani, ufafanuzi wa mtangazaji ulitosha kumaliza ubishi kuwa kama hakuna uchochezi, na hakuna udhalilishaji, then hakuna kosa lolote the headline is ok!.

Ukafuatia mjadala wa uwezo wa Bunge la Katiba kukusanya maoni na "Samuel Sitta kuelezwa kuwa ndie "muuaji wa Katiba Mpya!" hapa pia mzungumzaji mmoja alimtetea Sitta na mwingine alikubaliana na hoja ya "Sita ndie Muuaji wa Katiba Mpya!', hapa napo Mtangazaji Dotto Bulendu akamuokoa Sitta kiaina kwa kusema BMK lina wajumbe zaidi ya 600!, huwezi kumtishwa mzigo mtu mmoja tuu!.Pia alimpongeza Kubenea kufungua shauri mahakamani ya kuomba ufafanuzi wa Mahakama Kuu kuhusu uwezo wa BMK kuendelea kukusanya maoni.

Kiini cha uzi huu ni closing remarks za Mtangazaji Dotto Bulendu ambaye amechambua sheria iliyounda BMK haikutoa mamlaka yoyote kwa Bunge hilo kuendelea kukusanya maoni mapya na kubadili rasimu ya Warioba, bali bunge hili limejitungia kanuni na kujipa mamlaka hayo kinyume cha katiba ya JMT.

Akahitimisha kwa hoja ya akidi kuwa sheria Bunge la JMT, inasema 2/3 ya wajumbe wote wa BMK, lakini BMK likajitungia kanuni inayosema 2/3 ya wajumbe waliopo!. Mtangazaji amesisitiza kanuni hiyo inakwenda kinyume cha Ibara ya 98 ya Katiba ya JMT ya mwaka 1977, na kumalizia kuwa bila UKAWA kurejea bungeni, hakuna akidi itakatotimia hivyo kinachoendelea kwa sasa bungeni Dodoma kwenye BMK, ni kutafuna tuu kwa fedha za Watanzania! na hakuna Katiba Mpya itakayopatikana!.

My take.
Nimeguswa sana na jinsi Mtangazaji huyu anavyojenga hoja based in taratibu, sheria na kanuni, watangazaji wa aina hii, ndio wanaohitajika zaidi kipindi hiki cha kuelekea mchakato wa katiba mpya, kisi kwamba nilijitamani enzi zangu za utangazaji "talk show" kama "Kiti Moto" zingerudi!.

Kwenye huu Mchakato wa Katiba, Watanzania, wanahitaji zaidi "Kuhabarishwa, Kuelimishwa na Kueleweshwa" ili utakapofikia muda wa kufanya maamuzi, wafanye "informed decisions!".

Jee Wangapi kati yetu tunaungana na Dotto Bulendu kuwa kinachoendelea Dodoma, "Hakuna Katiba!" bali ni kutafuna tuu fedha zetu?!, what do we do?!, tuzidi kuwaacha tuu waendelee kutafuna tuu fedha zetu au?!.

Wasalaam.

Pasco
 
Sijakifuatilia hicho kipindi muda sasa,Labda pengine ni kutokana na Star TV kuegemea CCM,Kama alizungumza hivyo namuunga mkono ila sidhani kama katika mijadala ijayo ya katiba msimamo wake utaendelea kuwa hivyo,Maana bosi wake ni CCM damu through and through, Diarro is going to twist his (Doto) arms.
 
Naunga mkono hoja 100% ila Bulendu asimuite tena huyu Mwandishi anaitwa Moses .yuko kama anamatatizo ya akili .au sijui anakuwa amelewa hivi .maanake ata sura yake kama mlevi wa kutupwa wa matapu tapu
 
Tatizo la Dotto ni kumkaribisha huyu mkulima aliyekuwa anabwabwaja bila logical arguments, otherwise he is good at analysis
 
Wanabodi,

Kwanza naomba nianze na pongezi za dhati kabisa kutoka ndani ya moyo wangu, kwa Mtangazaji Doto Bulendu wa Star TV kwa kipindi chake cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachorushwa live kila Jumamosi saa 1:00-3:00. Japo Tanzania tunao watangazaji wengi wa medani za siasa, huyu ni mmoja wa watangazaji wachache mahiri kabisa katika medani za siasa!. Hongera sana Dotto Bulendu!.

Leo katika kipindi chake kumekuwa na mjadala mkali sana ulioanzia kwa tuhuma za baadhi ya headline kama "Rais Kikwete Anywea Kwa Ukawa!", mmoja wa wageni wake wawili akisema huo ni udhalilishaji, huku mgeni mwingine akisema iko ok, Doto Bulendu kama moderator, akamaliza uvutano kwa kuelemisha kuwa uandishi ina makosa mawili tuu,
1. Uchochezi (sedition) 2. Udhalilishaji (defamation) japo kiukweli kuna makosa mengi zaidi ya hayo, ila kwa hoja iliyopo mezani, ufafanuzi wa mtangazaji ulitosha kumaliza ubishi kuwa kama hakuna uchochezi, na hakuna udhalilishaji, then hakuna kosa lolote the headline is ok!.

Ukafuatia mjadala wa uwezo wa Bunge la Katiba kukusanya maoni na "Samuel Sitta kuelezwa kuwa ndie "muuaji wa Katiba Mpya!" hapa pia mzungumzaji mmoja alimtetea Sitta na mwingine alikubaliana na hoja ya "Sita ndie Muuaji wa Katiba Mpya!', hapa napo Mtangazaji Dotto Bulendu akamuokoa Sitta kiaina kwa kusema BMK lina wajumbe zaidi ya 600!, huwezi kumtishwa mzigo mtu mmoja tuu!.Pia alimpongeza Kubenea kufungua shauri mahakamani ya kuomba ufafanuzi wa Mahakama Kuu kuhusu uwezo wa BMK kuendelea kukusanya maoni.

Kiini cha uzi huu ni closing remarks za Mtangazaji Dotto Bulendu ambaye amechambua sheria iliyounda BMK haikutoa mamlaka yoyote kwa Bunge hilo kuendelea kukusanya maoni mapya na kubadili rasimu ya Warioba, bali bunge hili limejitungia kanuni na kujipa mamlaka hayo kinyume cha katiba ya JMT.

Akahitimisha kwa hoja ya akidi kuwa sheria Bunge la JMT, inasema 2/3 ya wajumbe wote wa BMK, lakini BMK likajitungia kanuni inayosema 2/3 ya wajumbe waliopo!. Mtangazaji amesisitiza kanuni hiyo inakwenda kinyume cha Ibara ya 98 ya Katiba ya JMT ya mwaka 1977, na kumalizia kuwa bila UKAWA kurejea bungeni, hakuna akidi itakatotimia hivyo kinachoendelea kwa sasa bungeni Dodoma kwenye BMK, ni kutafuna tuu kwa fedha za Watanzania! na hakuna Katiba Mpya itakayopatikana!.

My take.
Nimeguswa sana na jinsi Mtangazaji huyu anavyojenga hoja based in taratibu, sheria na kanuni, watangazaji wa aina hii, ndio wanaohitajika zaidi kipindi hiki cha kuelekea mchakato wa katiba mpya, kisi kwamba nilijitamani enzi zangu za utangazaji "talk show" kama "Kiti Moto" zingerudi!.

Kwenye huu Mchakato wa Katiba, Watanzania, wanahitaji zaidi "Kuhabarishwa, Kuelimishwa na Kueleweshwa" ili utakapofikia muda wa kufanya maamuzi, wafanye "informed decisions!".

Jee Wangapi kati yetu tunaungana na Dotto Bulendu kuwa kinachoendelea Dodoma, "Hakuna Katiba!" bali ni kutafuna tuu fedha zetu?!, what do we do?!, tuzidi kuwaacha tuu waendelee kutafuna tuu fedha zetu au?!.

Wasalaam.

Pasco

Mkuu Pasco subiri uone yatakayomkuta. Either atatumiwa ujumbe wa vitisho, onyo au lolote. Haoa Tanzania ukiwa kama mbumbumbu kama Frank Kibonde ndio utaonekana wa maana.
 
Naunga mkono hoja 100% ila Bulendu asimuite tena huyu Mwandishi anaitwa Moses .yuko kama anamatatizo ya akili .au sijui anakuwa amelewa hivi .maanake ata sura yake kama mlevi wa kutupwa wa matapu tapu

yule ni kada wa ccm ukiwa ccm huwezi kujitambua unakuwa mtumwa
 
10502093_740606422664100_4339752188731213047_n.jpg
 
Mkuu Pasco subiri uone yatakayomkuta. Either atatumiwa ujumbe wa vitisho, onyo au lolote. Haoa Tanzania ukiwa kama mbumbumbu kama Frank Kibonde ndio utaonekana wa maana.

Nafikiri issue siyo yatakayomkuta ila je, amefanya vema - jibu ni ndiyo!! Binafsi namkubali sana Dotto huwa anaonesha kipaji na weledi mkubwa katika kubalance mijadala. Kwa upande wa Diallo sina uhakika kama kunachochote kitakachtokea kwa Dotto, mzee huyu pamoja na kuwa kada wa CCM huwa anawashangaza wengi kwa uwezo wake wa kuvumilia mawazo mbadala- i have been watching him for so long.
Bravo kwa mleta mada Pasco umetujuza tuliomiss kipindi
 
Pasco, as ante kwa uzi hii. Cha kufanya; Tuache ushabiki kwa mambo yanayoweza kuliangamiza Taifa letu. Kila mmoja wetu hapa achukue jukumu la kuelimisha watu wanaotuzunguka ili nayo waliojitwalia madaraka ya kuchakachua katiba wapate kinachowastahili siku moja.
 
Naunga mkono hoja 100% ila Bulendu asimuite tena huyu Mwandishi anaitwa Moses .yuko kama anamatatizo ya akili .au sijui anakuwa amelewa hivi .maanake ata sura yake kama mlevi wa kutupwa wa matapu tapu

DODOMA NI POSHO TU NA ULAFI; kuna uzi uliletwa humu kwamba mh sitta atakunja 150,000,000/= baada ya kukamilisha kazi,na hiyo ni mbali na posho ambayo nina imani itakuwa kubwa kuliko ya mjumbe wa kawaida, kwa upande wa wajumbe wa mjadala wa dotto bulendu, Kweli yule moses hata mimi nilikuwa nashindwa kumtafasiri,uso umejaa makovu,halafu anapinga bila hata hoja,akitulizwa na bulendu kwa kuambiwa tutazamane,heeeee kidogo amsogezee uso kabisa,sijui anaandikia gazeti gani au ni mwandishi wa minute za vikao vya harusi,
 
Huyu Moses anaweza kuulizwa swali rahisi na ambalo liko stratightfoward lakini majibu yake yatakushangaza !. Ndio maana nakubali kwamba huyu jamaa anaweza kuwa na matatizo ya akili. Hata pale studio utamuoana hatulii kabisa, anafanya vituko na kucheka checka, akitoa hoja akabanwa aitetee akishidwa kuitetea anachukulia kama vile Dotto anafanya personal attack !, mtu wa ajabu kabisa huyu !. Sielewi kwa nini Dotto huwa anapenda kumwalika mara kwa mara !

Ila kipindi chenyewe na Dotto Bulendu ni excellent. Ni kipindi ambacho mimi binafsi nimehakikisha nakiangalia kila jumamosi kwa muda mrefu sasa. And I should admit, sababu moja ya kuhakikisha sikikosi kipindi hiki ni umahiri wa Dotto katika kukiendesha na kuhakikisha wanaoshiriki hawaongea ongei tu maneno pasipo kuyatetea kwa hoja mathubuti.....Na Dotto huwa anafanya vizuri sana, huwa anabana pande zote za mjadala na mara nyingi anakubana kwa hoja zako hizo hizo !.


Naunga mkono hoja 100% ila Bulendu asimuite tena huyu Mwandishi anaitwa Moses .yuko kama anamatatizo ya akili .au sijui anakuwa amelewa hivi .maanake ata sura yake kama mlevi wa kutupwa wa matapu tapu
 
Sijakifuatilia hicho kipindi muda sasa,Labda pengine ni kutokana na Star TV kuegemea CCM,Kama alizungumza hivyo namuunga mkono ila sidhani kama katika mijadala ijayo ya katiba msimamo wake utaendelea kuwa hivyo,Maana bosi wake ni CCM damu through and through, Diarro is going to twist his (Doto) arms.

Kwa taarifa,Dotto Bulendu si muajiriwa wa Star tv.Hapo anapiga part time tu,ajira yake rasmi iko Radio Saut ambapo ni Mkurugenzi wa hiyo radio.
 
Naunga mkono hoja 100% ila Bulendu asimuite tena huyu Mwandishi anaitwa Moses .yuko kama anamatatizo ya akili .au sijui anakuwa amelewa hivi .maanake ata sura yake kama mlevi wa kutupwa wa matapu tapu

Naunga mkono hoja! Hivi huko Mwanza hakuna wasomi wengine wa journalism ambao Doto anaweza kuwaalika hadi huyo mlevi apate nafasi kwenye chombo kikubwa kama Star TV?!
 
Kwa taarifa,Dotto Bulendu si muajiriwa wa Star tv.Hapo anapiga part time tu,ajira yake rasmi iko Radio Saut ambapo ni Mkurugenzi wa hiyo radio.

Kumbe huyu Dotto yupo smart sana kumbe anamiliki kituo cha redio.
 
Hela ishaliwa kinachoendelea ni kukabidhiana tu ,kila mmoja apewe chake kwa kuhudhuria na kuunga mkono na mguu.
 
Nafikiri issue siyo yatakayomkuta ila je, amefanya vema - jibu ni ndiyo!! Binafsi namkubali sana Dotto huwa anaonesha kipaji na weledi mkubwa katika kubalance mijadala. Kwa upande wa Diallo sina uhakika kama kunachochote kitakachtokea kwa Dotto, mzee huyu pamoja na kuwa kada wa CCM huwa anawashangaza wengi kwa uwezo wake wa kuvumilia mawazo mbadala- i have been watching him for so long.
Bravo kwa mleta mada Pasco umetujuza tuliomiss kipindi

My point is amefanya vizuri. lakini katika nchi hii tuna system ya kuwa discredit wale wanaofanya mazuri. na hata kuwaadhibu. Kwa maoni yangu naona ametumia zaidi intellect kuliko kipaji kama ilvyo kwa wanahabari wengi hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom