Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Kumbe huyu Dotto yupo smart sana kumbe anamiliki kituo cha redio.
Naunga mkono hoja!.HONGERA sana mwandishi wa habari Doto Bulendu kwa kutunikiwa tuzo ya mwandishi mahiri wa habari Tanzania kutoka MCT jana usiku
hakika huyu jamaa anajua na ni mfano kwa waandishi wa habari Tanzania
Utaendelea kuunga mikono na miguu maana umekuwa kama kibendera fuata upepo, badala ya kuisoma na kuielewa hiyo katiba iliyotengenezwa na BMK we uko kuunga mkono mambo ya uongo, huyo jamaa kuna mambo kayakosa ndo maana anasema hivo lkn hana jipya.Nimepokea taarifa hii kumhusu Dotto Bulendu.
Naunga mkono hoja!.
Pasco
Wewe unaonekana ni mchumia tumbo wa Ukawa maana umeandika uwongo mtupu, wewe utasubiri sana mpka atakapokuja yesu mara ya pili lkn katiba hii ndo yenyewe, kama huipendi tengeneza yako wewe hiyo unayodhani ni nzuri, sisi watanzania tuachie hii yetu ilopatikana na tutaipigia kura ya ndiyo, kama inakuuma basi we jinyonge.Suluhu sina uhakika kama ipo kwa hali ya nchi yetu ndugu Pasco, maana kwa nchi za wenzetu ambao wameweka uzalendo mbele na wanajua haki zao, hakuna chombo chochote kinachothubutu kwenda nje ya makubaliano. Wananchi wangeisha ingia mitaani na kugomea mchakato usiendelee. Ila kwetu sie tunaendelea kubaki kupigia kelele kwenye keyboard zetu ile za computer au simu.
Huwezi kupata katiba kwa kama hakuna maridhiano na wanaoona mbali walisema mapema hawa ndugu zetu wamepitisha sheria ya kutumia wabunge waliopo kwenye BMK kwa sababu wanaandaa mazingira ya kupindua ili mambo watakayoyataka wao kwa kwa masilahi yao ndio yashamiri. Tunawashukuru kwa kuendelea kuwaamsha watanzania maana wengi wetu bado tumelala na hata wengine ukitaka kuwaelimisha juu ya katiba watakuambia hayo mambo ni ya wanasiasa tuwaachie wao bila kujua katiba ni ya kwetu na sio ya wanasiasa.
Dodoma kwa sasa ni business as usual mwisho wa siku wajiandae kuja kujibu hoja ya kutafuta mabilioni yetu bila kutupatia katiba mpya. na wala wasije na hoja dhaifu kuwa waliokwamisha kupatikana kwa katiba ni wajumbe wa ukawa waliogomea mchakato, tutawacheka, kuwadharau, na labda tunaweza kutumia hyo kama fimbo kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Jay karibu jf, jina limekufanania sawa sawa na akili zako!.Utaendelea kuunga mikono na miguu maana umekuwa kama kibendera fuata upepo, badala ya kuisoma na kuielewa hiyo katiba iliyotengenezwa na BMK we uko kuunga mkono mambo ya uongo, huyo jamaa kuna mambo kayakosa ndo maana anasema hivo lkn hana jipya.
komaa Pasco acha uoga kwa wageni hiyo sio asili ya wtz,Katiba mpya ndo sheria Kuu na tuanisubiri sana tunasubiri time ifike ili tukapige kura hayo mambo mengine utajua mwenyewe, tumeisoma tumeielewa!Jay karibu jf, jina limekufanania sawa sawa na akili zako!.
Pasco.