Nilipigwa na bumbuwazi kuwa Nifa na WCF wapi na wapi?Mashemeji zangu watoto wa kariakoo mnatia huruma! Najiskia niwachane ili mnuneeee [emoji23]
Naona hizi shoo za mwisho wa mwaka tumewashikisha adabu [emoji23] [emoji23]
Sisi ndio WCB we get it custom, nyinyi watoto wa kariakoo you are just customers..
Kasi tunayokuja nayo sasa nawashauri mjenge fensi pale kariakoo! Ila msisahau WCB we digging tunnels.. You will be surprised when we get the money right up under you.. [emoji123] [emoji123]
# WCB # WinnersCycle
Jibu murua kabisaaKaenda na Ali Kiba
Team Muziki mzuri mkishindwa mnajifanya mnaijua sana duniaKwenye mambo ya maana hawajitokezi, kwenye upuuzi wanajaa, dunia imefika kikomo. Subiri parapanda mchezo uishe. Endeleeni kula ujana, ila dunia siyo ya mzungu.
Twaweza at workkwa utafiti usio rasmi..takwimu zinaonesha
Team Kiba wengi ni Wanawake..
Lakini
Team Diamond wengi ni Wanaume
Naona Leo wamelalaleo majirani hawaombi picha zilizokaa wima?
Kwa hiyo io ndo kufuru.?Kwa Taarifa zilizo nifikia tokea Iringa Samoraa ni kuwa Kwa Sasa uwanjaa ni Umejaaa hamna hata Sehemu ya kukanyagaaa! Huenda show Ikaahirishwa Kutokana na Wingi wa Watu! Kinacho Endelea ni Polisi kuongezwa kwa ajiri ya usalamaa na watu wanazidi kuingiaaaa!!! Watu wanahoji hapa na pale ni kuwa Diamond ana nini...huenda hii show kesho tukasikia Mengine! Nitaendelea kuwajuza kinacho endelea
Hii ilikuwa Sound check sio kwamba Show imeanzaView attachment 450303
KwahiyoChadema aibu yao kwa kutangaza watu hawana hela za kuingia uwanjani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Team Muziki mzuri mkishindwa mnajifanya mnaijua sana dunia
mkuu msalimie lusubilo swebe anatokea mbeya,,yupo huko hukoPicha Picha, Nikiwa Kagongo Chigoma Huku Kwenye Kambi Ya Wakimbizi Nawafuatilia Mzuri Kabisa
Duu haya hongera zao aiseeNaona wamebadilishana avatar, hongera zao naona wamepiga hatua moja mbele.!
Zimefika Zimefika Manmkuu msalimie lusubilo swebe anatokea mbeya,,yupo huko huko
Hahahahaha eti meli airport [emoji23]Nilipigwa na bumbuwazi kuwa Nifa na WCF wapi na wapi?
Nikahisi nimekutana na meli Airport!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo kaka wewe nae umepotea sana,ni juzi tu tulikuwa tunakukumbuka na Heaven SentNi app yangu inazingua au nimepotea sana humu Jf ? Hii avatar inanikumbusha ni ya dada mmoja anaitwa Nifah
Teh au mkuu umebeba jumla jumla ?
Aiseee hongera sana dada ,Nipo kuna mda jukwaa la Siasa lilinichosha nikaamua kukaa kimya[emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo kaka wewe nae umepotea sana,ni juzi tu tulikuwa tunakukumbuka na Heaven Sent
Kupotea huku ipo siku utakuja kukutana na wajomba zako uwaulize baba yao ni nani [emoji6]
Nikisema mnanitukana,nisiposema mnanimissNifah yupo wapi.? huwa napenda sana anavyowaponda WCB, ingawa yeye mwenyewe kimoyomoyo anajua WCB ndo wafalme halisi.