Uchaguzi 2020 Kinachoendelea Kampeni za CHADEMA mwaka huu 2020

Hao waandishi wa habari wanaoagizwa cha kuongea ? Mapimbi kina Balile na wanaccm waliojigeuza waandishi wa habari ?
 
CDM sikio la kufa hao, leo wapo Tabora hutaoni picha hadi zipitie kwa mhariri wao azitengeneze ndio warushe, hawa jamaa watakata tamaa hata kabla ya kumaliza kampeni, hapa wanasubiri mkutano wa Mbeya ndio watume picha chache na vi clip vya dk 2.
Chadem wapo live YouTube channel yao.
 
Kinachpfanyika sasa ni uzinduzi wa kampeni za Kanda.
Mgombea uraisi atapita na uongozi wa kitaifa na mgombea mwenza katika makao makuu ya Kanda zote 10. Baada ya hapo wanachanja mbuga jimbo kwa jimbo,wilaya kwa wilaya na Mkoa kwa Mkoa huku wakiwa wametawanyika..Mgombea mwenza kwake na Mgombea uraisi kwake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…