Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Bunge linaendelea hivi sasa kwa kipindi cha maswali na majibu ambapo wabunge wanapata fursa ya kuuliza maswali kwa mawaziri, huku mawaziri wakitoa ufafanuzi na majibu kwa maswali hayo. Endelea kuwa nasi kufuatilia yanayoendelea kutoka Dodoma, kwenye kikao ambacho kinahusu pia Kamati ya Mipango.
Akizungumza bungeni leo, Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Philip Mwanyika ameeleza kuwa hali hii ina athari kubwa si tu kwa afya ya wananchi, bali pia kwa uchumi wa taifa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=_U68-UVqEVk
Wanywaji wa Bia wamepungu, hali yatishia kukua kwa Uchumi wa nchi
Makusanyo ya mapato ya makampuni ya bia nchini yameshuka kwa karibu asilimia 20, hali inayoonekana kusababishwa na kupungua kwa wanywaji wa bia kufuatia ongezeko la ushuru wa bidhaa lililowekwa na serikali. Ongezeko hili la ushuru limewafanya wanywaji wengi kuhamia kwenye vinywaji mbadala ambavyo vinaweza kuwa na madhara makubwa kiafya.Akizungumza bungeni leo, Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Philip Mwanyika ameeleza kuwa hali hii ina athari kubwa si tu kwa afya ya wananchi, bali pia kwa uchumi wa taifa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=_U68-UVqEVk