Kinachoendelea Mnazi Mmoja ni superb

Kinachoendelea Mnazi Mmoja ni superb

Librarian 105

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
261
Reaction score
356
Wafanyabiashara wa kariakoo (wananchi) wanavyofunguka kueleza kero zao kwa waziri mkuu ni kuwachana watendaji wa wizara ya fedha kinaridhisha.

Mambo mengine tulizoea kusikia kwa wapinzani ndani ya bunge kubainisha mambo ya ndani yanayorudisha nyuma shughuli za wananchi kimaendeleo.

Ila tatizo linaweza kuwa: kipele kuendelea kukosa kidole cha ukunaji!
 
iko staged hiyo hakuna kitu hapo
wawakilishi wa hao wafanyabiashara ni pro-ccms
lakini bila kujali hayo sisi wananchi wengine wanatujengea ujasiri na uthubutu. Sanaa yao ya mapigano ni ujenzi wa mazingira yetu ya ukombozi
 
Nawasikuliza wafanyabiashara wanafurahisha na wameonesha kuwa wao sio wajinga ni watu wenye weledi kuliko hata baadhi ya wabunge na mawaziri wetu.
 
Back
Top Bottom