Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

Sifa kipeo cha pili. Na ndo maana wahaya mmewageuza maadui zenu wakubwa maana mnataka ku take over kwenye sifa
Sisi na wahaya hatuna uadui mkuu.Kwa taarifa yako tuu ni kwamba wahaya wengi sana siku hizi wanaoa uchaggani....nina ushahidi na hilo so hatuna uadui ni kupeana tuu changamoto wahaya nao waendeleze kwao
 
Mkuu nasikia waziri Jaffo amegoma Ihungo isiwe University
 
Sisi na wahaya hatuna uadui mkuu.Kwa taarifa yako tuu ni kwamba wahaya wengi sana siku hizi wanaoa uchaggani....nina ushahidi na hilo so hatuna uadui ni kupeana tuu changamoto wahaya nao waendeleze kwao
Bukoba iko nyuma sana
 
Mkuu kumbe bado kuna watu wanaamini kuwa kagera ni maskini kwa zile takwimu za ajabu,??? Basi kama ni hivo kumbe leo hii kuna watu wanaamini manyara au lindi zimeendelea kuliko Mwanza kumbe wanajidanganya!!!!
 
Sisi na wahaya hatuna uadui mkuu.Kwa taarifa yako tuu ni kwamba wahaya wengi sana siku hizi wanaoa uchaggani....nina ushahidi na hilo so hatuna uadui ni kupeana tuu changamoto wahaya nao waendeleze kwao
Kweli wahaya wapo poa tu, ila tatizo lao hawasikilizi hoja za nje kwenye maswala ya decision making hivyo wanachelewesha agreement na that kusababisha action kuchelewa.
 
Sisi na wahaya hatuna uadui mkuu.Kwa taarifa yako tuu ni kwamba wahaya wengi sana siku hizi wanaoa uchaggani....nina ushahidi na hilo so hatuna uadui ni kupeana tuu changamoto wahaya nao waendeleze kwao
Unaamini Moshi kumeendelea kuliko Bukoba?? This is totally wrong!
 
Bukoba gani unayoingelea ? Mi ninayoifahamu ndo mji wa pili kwa ukubwa kanda ya ziwa
Exclude Shinyanga...
Musoma na Tabora in case of Kanda ya Ziwa...
Hata Kigoma mji iko vizuri kuliko Bukoba mji
 
Exclude Shinyanga...
Musoma na Tabora in case of Kanda ya Ziwa...
Hata Kigoma mji iko vizuri kuliko Bukoba mji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli tuna matutusa mengi sana humu JF! Muwe mnatembea mjue miji ya watu sio mnakaririshwa tu nyambaf! Ona sasa unajitia aibu!
 
Wewe lemaa na kwamba Magu kabana fedha. Kwani amechukua mfukoni mwako. Wale wapigaji ndiyo kawabana. Wanaopata fedha kwa njia halali wanapeta. Jifunze kupata hela halali
 
Kweli wahaya wapo poa tu, ila tatizo lao hawasikilizi hoja za nje kwenye maswala ya decision making hivyo wanachelewesha agreement na that kusababisha action kuchelewa.
Wanachelewa lakini wanafanya mambo yenye ubora hata kama ni madogo mfano bukoba airport ambayo ingawa ni fupi lakini ni bora sana na kaitaba stadium,bukoba cathedral na stendi ambayo inajengwa sa hivi itakuwa bora sana ikimalizwa kuliko hata ya moshi
 
Exclude Shinyanga...
Musoma na Tabora in case of Kanda ya Ziwa...
Hata Kigoma mji iko vizuri kuliko Bukoba mji
Ahhhh et kigoma kweli umekaririshwa bukoba upafahamu tembelea uzi wa bukoba vs moshi uione bukoba ilivyo sio kukariri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…