atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Hahahahahah we jamaa bhana huwa unanifurahisha sanaWatu walitegemea sana msimu huu wachagga wasingerudi makwao ka ajili ya sikukuu za Christmas na Mwaka Mpya, kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu kidogo.
Maajabu hadi leo Tarehe 20/12/2017. Mji umeshafurika magari ya kifahari na foleni za barabarani zimeanza jambo ambalo halijazoeleka sana. Inakuwaje aisee au ndio watu wa huku wameshindwa kubanwa vizuri?
anazungumzia matanuzi sii nauliKwani kutoka Dar mpaka Moshi gharamayakekiasi gani?
Na kitoweo pendwa chao kishaanza kupata shidaView attachment 655873
anazungumzia matanuzi sii nauli
ukienda uchagan sasa HIV utaona masherhe ya ma mellion daily
Watu walitegemea sana msimu huu wachagga wasingerudi makwao ka ajili ya sikukuu za Christmas na Mwaka Mpya, kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu kidogo.
Maajabu hadi leo Tarehe 20/12/2017. Mji umeshafurika magari ya kifahari na foleni za barabarani zimeanza jambo ambalo halijazoeleka sana. Inakuwaje aisee au ndio watu wa huku wameshindwa kubanwa vizuri?
alafu kuna watu wanatu kusanya kwa jumla kutuunganisha vyuma vimekazaWatu walitegemea sana msimu huu wachagga wasingerudi makwao ka ajili ya sikukuu za Christmas na Mwaka Mpya, kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu kidogo.
Maajabu hadi leo Tarehe 20/12/2017. Mji umeshafurika magari ya kifahari na foleni za barabarani zimeanza jambo ambalo halijazoeleka sana. Inakuwaje aisee au ndio watu wa huku wameshindwa kubanwa vizuri?
anaposema magari ya kifahari na folen kubwa moshi means matnuzKaandika hivi
Kaongelea watu kurudi kwao, kamaalitaka kuongelea matanuzi, basi kashindwa kujielezaau wabongo wengi mna namna yenu ya kuelewana wenyewe kwa kusema maneno nusunusu.
Magari ya kifahari ni tungo tata, mwingine anaweza kuona BMW yangu ni gari la kifahari wakati mimi nimelichoka natafuta Porsche naona Porsche ni gari la kifahari wakati kuna mtu kalichoka Porsche anatafuta Ferrari anaona Ferrari ni gari la kifahari wakati mwingine kalichoka Ferrari anatafuta Rolls Royce anaona hilo ndilo gari la kifahari.anaposema magari ya kifahari na folen kubwa moshi means matnuz
Kwani kutoka Dar mpaka Moshi gharamayakekiasi gani?
Magari ya kifahari ni tungo tata, mwingine anaweza kuona BMW yangu ni gari la kifahari wakati mimi nimelichoka natafuta Porsche naona Porsche ni gari la kifahari wakati kuna mtu kalichoka Porsche anatafuta Ferrari anaona Ferrari ni gari la kifahari wakati mwingine kalichoka Ferrari anatafuta Rolls Royce anaona hilo ndilo gari la kifahari.
Bongokunawatu wanaona Mark II gari la kifahari.
Halafu nasikia una hela za Bitcoin, karibu zinakaribia kushindana na akaunti ya bandari.Wiki ijayo natinga Jembe ni Jembe kukausha ATMs zao.
Watanikoma!
Halafu nasikia una hela za Bitcoin, karibu zinakaribia kushindana na akaunti ya bandari.
Benki ilikuwa na balance sheet, zero zikawa nyingi mpaka ile balance sheet ikawa haitoshi, ikabidi benki ichapishe balance sheet mpya kubwa zaidi kwa sababu ya akaunti yako tu.
Tuhurumie na sisi wengine utubakishie usikaushe ATM kabisa.
Be sure to pour some crystal bubbly, she detests Henessy.
Yangu haisomi badoNauli sio shida shida ni garama ya huku mgombani ni kubwa sana.
Miez hii ATM crdb and nmb kila kukicha zinajazwa mamilion ATM zinatekenywa kisawa sawa.