atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Hahahahahah we jamaa bhana huwa unanifurahisha sanaWatu walitegemea sana msimu huu wachagga wasingerudi makwao ka ajili ya sikukuu za Christmas na Mwaka Mpya, kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu kidogo.
Maajabu hadi leo Tarehe 20/12/2017. Mji umeshafurika magari ya kifahari na foleni za barabarani zimeanza jambo ambalo halijazoeleka sana. Inakuwaje aisee au ndio watu wa huku wameshindwa kubanwa vizuri?