jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 623
hata aibu huna?Jamaa wanafikiri Kagera inategemea watalii ndio iende kiuchumi, kagera hakuna watalii. Lakini katika GDP imesimama na wakati Kilimanjaro kuna Mlima kilimanjaro na mbuga lakini bado makusanyo ya kuishinda kagera kwa vipointi kidogo. Sasa kagera wamepatwa na tetemeko na meli ya Victoria aifanyi kazi. Wasingekuwa na mlima au mbuga wangekuwa wanashika mkia
Kilimanjaro n mkoa mdgo kabisa kulinganisha na kagera
pmj na udogo huo bado tumewazidi kila idara
MNA border tatu na ziwa Victoria sio mapato hayo?
klmanjaro imewazid japo n ka mkoa kadogo huon aibu?
kagera ya tatu kwa umaskini
kilmnjaro ya pili kwa maisha bora baada ya dar huon aibu?