Kinachoendelea ndani ya klabu ya Yanga ni huruma

Kinachoendelea ndani ya klabu ya Yanga ni huruma

Sasa huruma gani ndo business ya mpira ilivyo unataka wakae yanga hadi viwango vyao vishuke watakuja wengine na wataondoka hakuna jipya hapo
 
USAJILI Kiungo/Beki wa Yanga mkongomani Yannick Bangala Litombo amesema wazi wazi ana asilimia 20% tu za kubaki Yanga. Naishia hapa nakuachia wewe mdau unateseka ukiwa wapi na hizi taarifa za wachezaji wenu kuanza kusepa?..BANGALA ATHIBITISHA KUONDOKA YANGA.

Baada ya Kocha Nasredinne Nabbi Kuondoka Yanga na inataarifiwa kuwa Tayari ameshasaini Kaizer Chief ya Afrika Ya Kusini.

Kocha Nabi anataka Kuwasajili baadhi ya Wachezaji Ambao alikuwa nao ndani ya Klabu hio ya Yanga aende nao Kaizer.

Yanick Bangala ni moja ya Wachezaji wanaoitajika na Kocha Nabi na ana Mkataba Wa Mwaka Mmoja.

Tayari Kaizer Chief wamewatumia Barua Yanga kwa ajili ya Kutaka Saini ya Kiungo huyo Yanick Bangala.

Inatajwa Bangala Yupo Tayari Kukubali Ofa Hio na Muda wowote atatuma Barua ya Kutaka Kuvunja Mkataba Wake na Yanga Kama Yanga wakigomea Ofa ya Kaizer Chief .

Kwenye Mahojiano aliyofanya Bangala Siku za Hivi Karibuni Amesema ana Asilimia 20 ya Kubaki Yanga na Asilimia 80 ya Kuondoka.

Kaizer inampango wa Kuwasajili Wachezaji Wanne Kutoka Klabu Ya Yanga.

#YangaSC #YannickBangala

View attachment 2659602
Hakuna la ajabu au la kutia huruma hapo. Ndivyo ilivyo biashara ya mpira; wachezaji na benchi la ufundi wanaingia mkataba na timu; wanatumikia mkataba huo. Mkataba ukiisha basi wanaingia mktaba mwingine ama na timu hiyo hiyo au timu nyingine. Iwapo wakipata ofa nono kabla ya mkataba kuisha, basi wanaomba wauzwe. Tatizo ni pale mtu anapoamka tu na kusema hana raha kwa hiyo anataka mkataba uvunjwe bila kufuata taratibu zilizopo. Wachezaji ambao bado wana mkataba na Yanga watakoiondoka na Nabi basi wote watakuwa wameuzwa.
 
USAJILI Kiungo/Beki wa Yanga mkongomani Yannick Bangala Litombo amesema wazi wazi ana asilimia 20% tu za kubaki Yanga. Naishia hapa nakuachia wewe mdau unateseka ukiwa wapi na hizi taarifa za wachezaji wenu kuanza kusepa?..BANGALA ATHIBITISHA KUONDOKA YANGA.

Baada ya Kocha Nasredinne Nabbi Kuondoka Yanga na inataarifiwa kuwa Tayari ameshasaini Kaizer Chief ya Afrika Ya Kusini.

Kocha Nabi anataka Kuwasajili baadhi ya Wachezaji Ambao alikuwa nao ndani ya Klabu hio ya Yanga aende nao Kaizer.

Yanick Bangala ni moja ya Wachezaji wanaoitajika na Kocha Nabi na ana Mkataba Wa Mwaka Mmoja.

Tayari Kaizer Chief wamewatumia Barua Yanga kwa ajili ya Kutaka Saini ya Kiungo huyo Yanick Bangala.

Inatajwa Bangala Yupo Tayari Kukubali Ofa Hio na Muda wowote atatuma Barua ya Kutaka Kuvunja Mkataba Wake na Yanga Kama Yanga wakigomea Ofa ya Kaizer Chief .

Kwenye Mahojiano aliyofanya Bangala Siku za Hivi Karibuni Amesema ana Asilimia 20 ya Kubaki Yanga na Asilimia 80 ya Kuondoka.

Kaizer inampango wa Kuwasajili Wachezaji Wanne Kutoka Klabu Ya Yanga.

#YangaSC #YannickBangala

View attachment 2659602
hakuna shida timu inayomtaka ije mezani tumuuze
 
Project "Ndombolo ya Solo" imefikia ukingoni. Kuna kipindi nilitamani Bangala aje Simba ila sijavutiwa na kiwango chake miezi ya mwishoni mwa msimu.

Yanga walipatia sana jinsi walivyosuka kikosi chao. Kuwachukua wacongo ambao wengi walikuwa wanajuana na walishapata mafanikio pamoja, kuongezea wachezaji wengine wachache lakini wanaoongea kifaransa kama Diarra, kocha Nabi aliyekuwa tayari na experience Congo na kocha msaidizi Mcongo anayejua Kiswahili, Kifaransa, Kiarabu, Kiingereza na Kilingala.

Kuondoka kwa Nabi kumevuruga huu mpango ndiyo maana unaona huu mvurugano.
kaze anaongea kiarabu?
 
Nnachojua mimi kocha huwa anawachezaji wake na benchi la ufundi ambalo akisepa huwa anataka kusepa nalo,ni kawaida sana..msishangae bangala mayele na hata djuma wakatua kaizer na nabi
 
USAJILI Kiungo/Beki wa Yanga mkongomani Yannick Bangala Litombo amesema wazi wazi ana asilimia 20% tu za kubaki Yanga. Naishia hapa nakuachia wewe mdau unateseka ukiwa wapi na hizi taarifa za wachezaji wenu kuanza kusepa?..BANGALA ATHIBITISHA KUONDOKA YANGA.

Baada ya Kocha Nasredinne Nabbi Kuondoka Yanga na inataarifiwa kuwa Tayari ameshasaini Kaizer Chief ya Afrika Ya Kusini.

Kocha Nabi anataka Kuwasajili baadhi ya Wachezaji Ambao alikuwa nao ndani ya Klabu hio ya Yanga aende nao Kaizer.

Yanick Bangala ni moja ya Wachezaji wanaoitajika na Kocha Nabi na ana Mkataba Wa Mwaka Mmoja.

Tayari Kaizer Chief wamewatumia Barua Yanga kwa ajili ya Kutaka Saini ya Kiungo huyo Yanick Bangala.

Inatajwa Bangala Yupo Tayari Kukubali Ofa Hio na Muda wowote atatuma Barua ya Kutaka Kuvunja Mkataba Wake na Yanga Kama Yanga wakigomea Ofa ya Kaizer Chief .

Kwenye Mahojiano aliyofanya Bangala Siku za Hivi Karibuni Amesema ana Asilimia 20 ya Kubaki Yanga na Asilimia 80 ya Kuondoka.

Kaizer inampango wa Kuwasajili Wachezaji Wanne Kutoka Klabu Ya Yanga.

#YangaSC #YannickBangala

View attachment 2659602
Unajiskiaje huko ulipo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
USAJILI Kiungo/Beki wa Yanga mkongomani Yannick Bangala Litombo amesema wazi wazi ana asilimia 20% tu za kubaki Yanga. Naishia hapa nakuachia wewe mdau unateseka ukiwa wapi na hizi taarifa za wachezaji wenu kuanza kusepa?..BANGALA ATHIBITISHA KUONDOKA YANGA.

Baada ya Kocha Nasredinne Nabbi Kuondoka Yanga na inataarifiwa kuwa Tayari ameshasaini Kaizer Chief ya Afrika Ya Kusini.

Kocha Nabi anataka Kuwasajili baadhi ya Wachezaji Ambao alikuwa nao ndani ya Klabu hio ya Yanga aende nao Kaizer.

Yanick Bangala ni moja ya Wachezaji wanaoitajika na Kocha Nabi na ana Mkataba Wa Mwaka Mmoja.

Tayari Kaizer Chief wamewatumia Barua Yanga kwa ajili ya Kutaka Saini ya Kiungo huyo Yanick Bangala.

Inatajwa Bangala Yupo Tayari Kukubali Ofa Hio na Muda wowote atatuma Barua ya Kutaka Kuvunja Mkataba Wake na Yanga Kama Yanga wakigomea Ofa ya Kaizer Chief .

Kwenye Mahojiano aliyofanya Bangala Siku za Hivi Karibuni Amesema ana Asilimia 20 ya Kubaki Yanga na Asilimia 80 ya Kuondoka.

Kaizer inampango wa Kuwasajili Wachezaji Wanne Kutoka Klabu Ya Yanga.

#YangaSC #YannickBangala

View attachment 2659602
bado una la kusema?
 
Back
Top Bottom