Tetesi: Kinachoendelea ni dalili za kuwasili AMNESTY INTERNATIONAL

Tetesi: Kinachoendelea ni dalili za kuwasili AMNESTY INTERNATIONAL

SubiriJibu

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2009
Posts
1,805
Reaction score
1,876
Ghafla kumekuwa na wema kila kona. Siyo mahakamani, siyo majukwaani, Siyo makanisani kwa ujumla hizi wiki tatu ninaziita kisiwa cha amani.

Sasa ni wema na kauli za wema na hotuba za ukarimu. Lakini kwa nini wema huu uje ghafla hizi wiki tatu.

Hongereni JF mmejiuliza wengi kwa namna mbalimbali na wengine hatukusema mengine ili tuone watanzania wasivyo wajinga. Ni kweli watanzania siyo wajinga.

Wiki nne zilizopita jamaa yetu tukiwa katika soga tunakunywa beer alileta tetesi ambazo hatukumwamini akisema kwamba AMNESTY INTERNATIONAL wana mpango wa kutembelea nchi kadhaa. Binafsi sikumwamini lakini nikaweza kichwani tarehe ya alichokisema.

Haikupita wiki nikaanza kuona mabadiliko tena huu wema wa ghafla. Hata kauli ya sisi watanzania si wajinga mmeijadili ndani ya wiki hizi nne maana nina kumbukumbu ya siku tuliyokunywa beer na jamaa yule.

Hivyo, hukumu ya Mbowe na wenzake sikuwa na mashaka nilijua atatoka tu kama tetesi zile ni sahihi. Ambacho sikujua ni suala la Suzan Kiwanga na Peter Lijualikali.

Hii maana yake kama jamaa yetu alikuwa sahihi basi hao AMNESTY INTERNATIONAL watafika wanasiasa wote walioko ndani kesi zao zitakuwa na nafuu kama ilivotokea leo. AMNESTY INTERNATIONAL watakua nchi iko katika wema na kauli za wema kila kona.

Sasa nimesikia askari watatoa tamko la kutekwa Mo ndani ya siku tatu.

Nimebaki napagawa. Je jamaa yangu alikuwa sahihi kuhusu AMNESTY INTERNATIONAL. Kama hayuko sahihi ni tetesi zake tu hebu saidieni kuniondoa giza la wema huu wa ghafla.

Cc:
Zitto
 
Kunyimwa misaada ni kipigo cha nguvu kushinda AMNESTY INTERNATIONAL usifanye masihara na njaa utanyosha mikono juu mwenyewe......
Nchi imeshaacha njia kitambo kilichobaki ni propaganda za uchumi kukua na miradi ya kuokoteza ilimradi aonekane nae ni Raisi
 
Kunyimwa misaada ni kipigo cha nguvu kushinda AMNESTY INTERNATIONAL usifanye masihara na njaa utanyosha mikono juu mwenyewe......
Nchi imeshaacha njia kitambo kilichobaki ni propaganda za uchumi kukua na miradi ya kuokoteza ilimradi aonekane nae ni Raisi
jamaa alikua anatamba kuwa kuna pesa nyingi zikihamishiwa vote 20 sasa wahisani wamekata jamaa kila siku kukopa tu karibu atashindwa kulipa mishahara maana ameisha anza kushindwa kulipa madeni amekua mdaiwa sugu
 
Mkipigwa mmeonewa mkiachiwa mmeogopwa aise ila nchi ilikuwa imechakaa kiana

Sent using my iPhone using jamiiforum app

Mkuu,
Mimi siyo unaowasema, nimeleta tetesi za mtaani na hata mimi sina hakika kama ni kweli au la.

Kama tunapigwa na kuonewa basi AMNESTY INTERNATIONAL wana haki ya kuja.

Hata kitendo cha kukalishwa mahabusu kwa miezi minne wanatakiwakukichukua kama evidence.
 
Mkuu,
Mimi siyo unaowasema, sijawahi kuwa na chama. Nimeleta tetesi za mtaani na hata mimi sina hakika kama ni kweli au la.

Kama tunapigwa na kuonewa basi AMNESTY INTERNATIONAL wana haki ya kuja.

Hata kitendo cha kukalishwa mahabusu kwa miezi minne na kudhinda rufani ya dhamana wanatakiwa kukichukua kama evidence.

Mkipigwa mmeonewa mkiachiwa mmeogopwa aise ila nchi ilikuwa imechakaa kiana

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Hakuwahi hata kutoa pole kutekwa kwa Mo. Majuma kadhaa yamepita, ghafla mtu anazungumzia suala la MO. Na inawezekana timing ya kubadilisha Waziri wa Mambo ya nje ni kutokana na hili, anatakiwa mtetezi hasa. Lakini wao sio wajinga wanakuja tayari wana taarifa za kutosha!

Vipi Azory na Ben Saanane? Je ni kweli mamia walipotea huko MKIRU bila hatia?
 
Ghafla kumekuwa na wema kila kona. Siyo mahakamani, siyo majukwaani, Siyo makanisani kwa ujumla hizi wiki tatu ninaziita kisiwa cha amani.

Sasa ni wema na kauli za wema na hotuba za ukarimu. Lakini kwa nini wema huu uje ghafla hizi wiki tatu.

Hongereni JF mmejiuliza wengi kwa namna mbalimbali na wengine hatukusema mengine ili tuone watanzania wasivyo wajinga. Ni kweli watanzania siyo wajinga.

Wiki nne zilizopita jamaa yetu tukiwa katika soga tunakunywa beer alileta tetesi ambazo hatukumwamini akisema kwamba AMNESTY INTERNATIONAL wana mpango wa kutembelea nchi kadhaa. Binafsi sikumwamini lakini nikaweza kichwani tarehe ya alichokisema.

Haikupita wiki nikaanza kuona mabadiliko tena huu wema wa ghafla. Hata kauli ya sisi watanzania si wajinga mmeijadili ndani ya wiki hizi nne maana nina kumbukumbu ya siku tuliyokunywa beer na jamaa yule.

Hivyo, hukumu ya Mbowe na wenzake sikuwa na mashaka nilijua atatoka tu kama tetesi zile ni sahihi. Ambacho sikujua ni suala la Suzan Kiwanga na Peter Lijualikali.

Hii maana yake kama jamaa yetu alikuwa sahihi basi hao AMNESTY INTERNATIONAL watafika wanasiasa wote walioko ndani kesi zao zitakuwa na nafuu kama ilivotokea leo. AMNESTY INTERNATIONAL watakua nchi iko katika wema na kauli za wema kila kona.

Sasa nimesikia askari watatoa tamko la kutekwa Mo ndani ya siku tatu.

Nimebaki napagawa. Je jamaa yangu alikuwa sahihi kuhusu AMNESTY INTERNATIONAL. Kama hayuko sahihi ni tetesi zake tu hebu saidieni kuniondoa giza la wema huu wa ghafla.

Cc:
Zitto
Kuna kikundi cha wahuni wanaamini ubabe ndiyo mtindo wa uongozi .

Ninachoona ni kuwa baada tukio la Lissu abroad. Wameshauriwa kubadili uelekeo ili kuidanganya dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi tuwape hongera ccm maana wanajua kucheza na akili za watu
Mkuu,
Mimi siyo unaowasema, nimeleta tetesi za mtaani na hata mimi sina hakika kama ni kweli au la.

Kama tunapigwa na kuonewa basi AMNESTY INTERNATIONAL wana haki ya kuja.

Hata kitendo cha kukalishwa mahabusu kwa miezi minne wanatakiwakukichukua kama evidence.

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Kunyimwa misaada ni kipigo cha nguvu kushinda AMNESTY INTERNATIONAL usifanye masihara na njaa utanyosha mikono juu mwenyewe......
Nchi imeshaacha njia kitambo kilichobaki ni propaganda za uchumi kukua na miradi ya kuokoteza ilimradi aonekane nae ni Raisi
Mambo yakiwa magumu jibu ni ''Mabeberu'' Tunashindwa kufikiri kisa mabeberu mambo yakikwama awamu ya 5 ni mabeberu
 
I like this proverb :"Every Person has the potential to CHANGE the World'' When given a chance

Wht he pissed me off, eti alikuwa bar, tetesi za bar unaleta humu.. Imagine..!! This is shithole of the year..!!
 
jamaa alikua anatamba kuwa kuna pesa nyingi zikihamishiwa vote 20 sasa wahisani wamekata jamaa kila siku kukopa tu karibu atashindwa kulipa mishahara maana ameisha anza kushindwa kulipa madeni amekua mdaiwa sugu
zitaisha mpaka vote 20 itakaukiwa ndio ataelewa nini maana ya kulaaniwa.
 
Ghafla kumekuwa na wema kila kona. Siyo mahakamani, siyo majukwaani, Siyo makanisani kwa ujumla hizi wiki tatu ninaziita kisiwa cha amani.

Sasa ni wema na kauli za wema na hotuba za ukarimu. Lakini kwa nini wema huu uje ghafla hizi wiki tatu.

Hongereni JF mmejiuliza wengi kwa namna mbalimbali na wengine hatukusema mengine ili tuone watanzania wasivyo wajinga. Ni kweli watanzania siyo wajinga.

Wiki nne zilizopita jamaa yetu tukiwa katika soga tunakunywa beer alileta tetesi ambazo hatukumwamini akisema kwamba AMNESTY INTERNATIONAL wana mpango wa kutembelea nchi kadhaa. Binafsi sikumwamini lakini nikaweza kichwani tarehe ya alichokisema.

Haikupita wiki nikaanza kuona mabadiliko tena huu wema wa ghafla. Hata kauli ya sisi watanzania si wajinga mmeijadili ndani ya wiki hizi nne maana nina kumbukumbu ya siku tuliyokunywa beer na jamaa yule.

Hivyo, hukumu ya Mbowe na wenzake sikuwa na mashaka nilijua atatoka tu kama tetesi zile ni sahihi. Ambacho sikujua ni suala la Suzan Kiwanga na Peter Lijualikali.

Hii maana yake kama jamaa yetu alikuwa sahihi basi hao AMNESTY INTERNATIONAL watafika wanasiasa wote walioko ndani kesi zao zitakuwa na nafuu kama ilivotokea leo. AMNESTY INTERNATIONAL watakua nchi iko katika wema na kauli za wema kila kona.

Sasa nimesikia askari watatoa tamko la kutekwa Mo ndani ya siku tatu.

Nimebaki napagawa. Je jamaa yangu alikuwa sahihi kuhusu AMNESTY INTERNATIONAL. Kama hayuko sahihi ni tetesi zake tu hebu saidieni kuniondoa giza la wema huu wa ghafla.

Cc:
Zitto

Hii ni bendi ya wapi?
 
Wht he pissed me off, eti alikuwa bar, tetesi za bar unaleta humu.. Imagine..!! This is shithole of the year..!!

Tulipohoji sinema ya Mambosasa kunywa chai na Mo hatkuwa wajinga, tulijadili hayo kwenye baa miezi kadhaa iliyopita.
 
Back
Top Bottom