Tetesi: Kinachoendelea ni dalili za kuwasili AMNESTY INTERNATIONAL

Hivi vitaifa vyetu vinajidai vilipata Uhuru vinajitawala. Lakini matendo yao yanaonyesha wazi jinsi wanavyo waogopa hao wazungu kuliko hata Mungu.
Wanaweza kuonea raia zao tu. Lakini wakija watasha, wanashika adabu. Wale ndio bAba la baba zao. Daadeki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkipigwa mmeonewa mkiachiwa mmeogopwa aise ila nchi ilikuwa imechakaa kiana

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Nachofurahi anko magu ye ni kuwavalia tinted tu,no kucheka na mapimbi.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Hata madeni ya watumishi wa umma kashindwa kulipa
jamaa alikua anatamba kuwa kuna pesa nyingi zikihamishiwa vote 20 sasa wahisani wamekata jamaa kila siku kukopa tu karibu atashindwa kulipa mishahara maana ameisha anza kushindwa kulipa madeni amekua mdaiwa sugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mi naona waje tu.
 
kweli sikio la kufa halinaga dawa…kama mnaona hapa mnakosa haki hameni nchi!
 
Mkuu njoo huku ushuhudie matokeo ya Uzi wako.

Wameshatoa ripoti wahanga wanatapatapa eti kujibu .
 
Serikali yz CCM huwa inawasikiliza wananchi wake.
 
Unaamini AMMESTY hawana watu hapa toka zamani? Hivi akili zenu sìjui aliwarithisha nani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…