Kinachoendelea ni maana halisi ya Uhuru WA kutoa Maoni

Kinachoendelea ni maana halisi ya Uhuru WA kutoa Maoni

Kutoa maoni tu bila kuchukulia hatua ni sawa na Report ya CAG ambayo inaonesha madudu kila mara lakini hatua hazichukuliwi
 
Habari wakuu!

Hichi kinachoendelea ni moja ya Maendeleo makubwa ambayo Kwa awamu ya tano isingewezekana, serikali ipongezwe Kwa kurejesha Maendeleo haya ya Watu kuwa Huru.
Kimsingi nchi inaamani, inautulivu, Watu wanaparangana na kutoa Maoni Yao Kwa Amani bila ya hofu. Unajua kuna Watu wanaweza wasielewe Jambo hili(wala sio kosa Lao), Kwa Sababu ni kawaida kutolewa Jambo ambalo huna uzoefu nalo.
Mambo ya Bandari yaendelee kujadiliwa, serikali ichukue hatua stahiki Kwa kuboresha maeneo ambayo yanaleta utata Kwa Watanzania Kwa maslahi ya Taifa.

Hata hivyo niseme tuu kuwa Uhuru huu wa Maoni uendane na uwajibikaji na kusikiliza Maoni yaliyobora. Na sio uwe Uhuru WA Maoni yanayopuuzwa. Hiyo itahesabika kama dharau, kudharau wananchi. Na sidhani kama serikali makini yenye viongozi Bora wanaweza kukubali kuwa na Sifa Mbaya kama hiyo.

Ninawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mkuu nimekuelewa sana. Kuna watu wanachukulia mambo ya mkataba huu kusainiwa na Samia ni udhaifu wa Samia kama Rais.

Kuna mambo alifanya Magufuli makubwa sana bila kushirikisha mtu lakini hakuna sisimizi yeyote aliyediriki kum criticise DIKTETA wa Chato. Mfano ni Yap Merkezi kupewa zabuni ya SGR, Arab Contractors kupewa zabuni ya bwawa la JHEPP, kukata miti ya Selous game reserve. Pia kununua ndege za ATCL bila zabuni, kujenga Airport Chato nje ya mipango na bila idhini ya bunge.

Asante Samia kwa kutupa demikrasia na uhuru wa maoni
 
Mkuu nimekuelewa sana. Kuna watu wanachukulia mambo ya mkataba huu kusainiwa na Samia ni udhaifu wa Samia kama Rais.

Kuna mambo alifanya Magufuli makubwa sana bila kushirikisha mtu lakini hakuna sisimizi yeyote aliyediriki kum criticise DIKTETA wa Chato. Mfano ni Yap Merkezi kupewa zabuni ya SGR, Arab Contractors kupewa zabuni ya bwawa la JHEPP, kukata miti ya Selous game reserve. Pia kununua ndege za ATCL bila zabuni, kujenga Airport Chato nje ya mipango na bila idhini ya bunge.

Asante Samia kwa kutupa demikrasia na uhuru wa maoni

Yeah. Ni Kweli Kabisa.
 
Mkuu nimekuelewa sana. Kuna watu wanachukulia mambo ya mkataba huu kusainiwa na Samia ni udhaifu wa Samia kama Rais.

Kuna mambo alifanya Magufuli makubwa sana bila kushirikisha mtu lakini hakuna sisimizi yeyote aliyediriki kum criticise DIKTETA wa Chato. Mfano ni Yap Merkezi kupewa zabuni ya SGR, Arab Contractors kupewa zabuni ya bwawa la JHEPP, kukata miti ya Selous game reserve. Pia kununua ndege za ATCL bila zabuni, kujenga Airport Chato nje ya mipango na bila idhini ya bunge.

Asante Samia kwa kutupa demikrasia na uhuru wa maoni

Udini, ukabila na utaifa + ubaguzi ni gonjwa baya sana, unawasumbua sana baadhi ya watanzania, especially mwarabu akipewa inakua kelele mwanzo mwisho, na inasemekana kuna wakenya pia wanaingia mitandaoni kupinga suala hili ili waharibu tu, Mwenyezi Mungu ndie anajua
 
Back
Top Bottom