Kinachoendelea Palestina(Gaza) sio Waislamu pekee wanaopaswa kulaani

Kinachoendelea Palestina(Gaza) sio Waislamu pekee wanaopaswa kulaani

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,862
Reaction score
6,438
Katika mwezi huu wa Ramadhani, na katika kumi hili la mwisho

Ghafla vyanzo mbalimabali vya habari na mitandao vimekuwa vikirusha taarifa za Israel kufanya tena mashambulizi dhidi ya Palestina

Nadhani wengi wetu tumelisikia (tumelishuhudia) hili kwenye mitandao yetu, kwa namna moja au nyingine.

Binafsi clip ya kwanza kuhusu mashambulizi haya ya Maboom nliiona jinsi.
Shambulizi zilivyoelekezwa katika msikiti mtukufu wa Aqsa.

Kwa mtazamo wa kawaida tu na mauwaji ya Raia wasio hatia, watoto na wengineo .
SI WAISLAMU TU ULIMWENGUNI WALIIPASWA KULAANI , baali dunia nzima kwa ujumla.

Kama tulivyoolaani mauwaji ya Mtu mweusi kule marekani , Vivyo hivyo wanaoteketea na kuangamia pale gaza kwa uhaini huu wa Israel ni Watu wasio na Hatia hata kama taifa lao (paleatina) limejawa na waislamu.

Screenshot_20210512-165256.png
WHO CARES???
Screenshot_20210512-165350.png



LETS PRAY FOR PALESTINE 🙏
 
sijui hata kwanini umetaja waislamu hapa ukijaribu kujenga hoja.ni kama upo kwenye hilo koti unalolizungumzia lakini unajaribu kutoka.

harakati zozote zikihusisha damu za watu tayari zinakosa uhalali kabisa.binafsi nashindwa kuelewa hawa ndugu wawili wana shida gani,mpaka kuuana miaka nenda rudi bila kujali.

dunia haina maana kabisa sehemu nyingine.
 
usiombe uo mzozo uishe mapema hata kidgo maana biblia inasema vita dhidi ya Israel itapoisha kutatokea njaa kali dunia yote kwa mda wa miaka kadhaa baadae mpinga kristo ataishika dunia kwa kuwapa watu chakula kwa kuwachapa alama ya 666....
 
😆😆🤣🤣😁😁Jamani pole pole hakuna kushikana
 
usiombe uo mzozo uishe mapema hata kidgo maana biblia inasema vita dhidi ya Israel itapoisha kutatokea njaa kali dunia yote kwa mda wa miaka kadhaa baadae mpinga kristo ataishika dunia kwa kuwapa watu chakula kwa kuwachapa alama ya 666....
Huu ujinga ulio vichwani mwenu ndio unasababisha vita vya kidini mahalimahali!
 
Waisrael ni wauaji halafu utawasikia wapuuzi wakiwaita eti ni Taifa TEULE!
Katika mwezi huu wa Ramadhani, na katika kumi hili la mwisho

Ghafla vyanzo mbalimabali vya habari na mitandao vimekuwa vikirusha taarifa za Israel kufanya tena mashambulizi dhidi ya Palestina

Nadhani wengi wetu tumelisikia (tumelishuhudia) hili kwenye mitandao yetu, kwa namna moja au nyingine.

Binafsi clip ya kwanza kuhusu mashambulizi haya ya Maboom nliiona jinsi.
Shambulizi zilivyoelekezwa katika msikiti mtukufu wa Aqsa.

Kwa mtazamo wa kawaida tu na mauwaji ya Raia wasio hatia, watoto na wengineo .
SI WAISLAMU TU ULIMWENGUNI WALIIPASWA KULAANI , baali dunia nzima kwa ujumla.

Kama tulivyoolaani mauwaji ya Mtu mweusi kule marekani , Vivyo hivyo wanaoteketea na kuangamia pale gaza kwa uhaini huu wa Israel ni Watu wasio na Hatia hata kama taifa lao (paleatina) limejawa na waislamu.

View attachment 1782175


WHO CARES???

View attachment 1782173



LETS PRAY FOR PALESTINE 🙏
 
Halafu nchi za Kiarabu ambazo zina utajiri mubwa sana UAE, Kuwait, Saudi Arabia, Qatar na nyingine nyingi hata kukemea zimeshindwa achilia mbali kuwapa msaada hawa wanaoishi katika mateso makubwa ya hao dhalimu wa Israel.
 
sijui hata kwanini umetaja waislamu hapa ukijaribu kujenga hoja.ni kama upo kwenye hilo koti unalolizungumzia lakini unajaribu kutoka.

harakati zozote zikihusisha damu za watu tayari zinakosa uhalali kabisa.binafsi nashindwa kuelewa hawa ndugu wawili wana shida gani,mpaka kuuana miaka nenda rudi bila kujali.

dunia haina maana kabisa sehemu nyingine.
Toka gizani wewe Hamna Ndugu hapo Waisraeli waliopo hapo ni whites a.k.a wazungu,Wapalestina wao wana asili ya kiarabu sasa hapo undugu upo wapi??
Hapo wanapigana wazungu na waarabu,upon Dunia ya ngapi babu??
 
Halafu nchi za Kiarabu ambazo zina utajiri mubwa sana UAE, Kuwait, Saudi Arabia, Qatar na nyingine nyingi hata kukemea zimeshindwa achilia mbali kuwapa msaada hawa wanaoishi katika mateso makubwa ya hao dhalimu wa Israel.
Yani hawa Waarabu ni watu wa ajabu mwenzao anakaliwa kimabavu toka 1948 badala waji organise na kupaza sauti wenyewe wapi tu.yaani waarabu na Waafrika sijui tuna laana gani?
 
Back
Top Bottom