Kinachoendelea Palestina(Gaza) sio Waislamu pekee wanaopaswa kulaani

Kinachoendelea Palestina(Gaza) sio Waislamu pekee wanaopaswa kulaani

Kwanini hamas warushe makombora israel wakijua israel akijibu mapigo watakaoumia ni raia?
 
Najaribu kufikiria bila ya uwepo wa Hamas na wanamgambo wengine palestine yote ingekua yote imeshamezwa siku nyingi
 
Katika mwezi huu wa Ramadhani, na katika kumi hili la mwisho

Ghafla vyanzo mbalimabali vya habari na mitandao vimekuwa vikirusha taarifa za Israel kufanya tena mashambulizi dhidi ya Palestina

Nadhani wengi wetu tumelisikia (tumelishuhudia) hili kwenye mitandao yetu, kwa namna moja au nyingine.

Binafsi clip ya kwanza kuhusu mashambulizi haya ya Maboom nliiona jinsi.
Shambulizi zilivyoelekezwa katika msikiti mtukufu wa Aqsa.

Kwa mtazamo wa kawaida tu na mauwaji ya Raia wasio hatia, watoto na wengineo .
SI WAISLAMU TU ULIMWENGUNI WALIIPASWA KULAANI , baali dunia nzima kwa ujumla.

Kama tulivyoolaani mauwaji ya Mtu mweusi kule marekani , Vivyo hivyo wanaoteketea na kuangamia pale gaza kwa uhaini huu wa Israel ni Watu wasio na Hatia hata kama taifa lao (paleatina) limejawa na waislamu.

WHO CARES???



LETS PRAY FOR PALESTINE 🙏
waislam si tupo wengi, kwanini tuombe usaidizi kwa makafiri.
 
usiombe uo mzozo uishe mapema hata kidgo maana biblia inasema vita dhidi ya Israel itapoisha kutatokea njaa kali dunia yote kwa mda wa miaka kadhaa baadae mpinga kristo ataishika dunia kwa kuwapa watu chakula kwa kuwachapa alama ya 666....
Wengi waisraeli sio wakristo,Wana dini yao ya kiyahudi wao pia ni wapinga kristo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kwa Jf am sure utawapata wapumbavu wakuunge mkono... maana game yako ipo upande mmoja inamaana Israel kaamua tu kuwaua Wapalestina waliokuwa wametulia bila hata uchokozi????? Pumbavu kweli wewe...
Wapalestine kuuwawa kwao ni jambo la kawaida la kila siku wafanye hicho kinachoitwa uchokozi au wasifanye kwao ni kawaida kuuwawa vinginevyo itakua si mfuatiliaji mzuri wa habari za kimataifa.kipigo kinazidi mara dufu pale wanapo react kama inavyoendelea hivi sasa
 
Sisi hatuwezi kuwa kimbelembele wakati mataifa tajiri ya kiaarabu ya kislamu yamerejesha uhusiano na Israel katika nyanja zote mpaka za usalama.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Siyo Israel tu hata Msumbiji, Nigeria, Sudan, Somalia n.k
Mbona hamkemei kuhusu Boko Haram, Islamic state (Msumbiji), Al shabab, ISIS na makundi mengine ya kiislam yanayofanya mauaji?
si ndiyo hawa hawa machotara ndugu zenu hawawataki.
Wengine kina tiptip walio wauza km mbuzi wa kafara utumwani???

Leo dhambi zao zinawatafuna. Eti mnawaonea huruma
Hiyo huruma yenu inatoka wapi???
Au kwa vile nyie ni bingwa wa unafiki??

Tatizo la kuwa mtoro shule ndo hili hii ni historia ya drs la nne wewe!!

Wale waliowauzia Watumwa ndo wanawachapa wakome kuwanyanyasa.

Unadhani ukijipendekeza ndo wataacha kukuita kafir?? Msikiti wa al-aqsa ule wewe hutii guu pale!! Na ulijengwa na watumwa weusi tii.

Weusi wengi leo hii wanaishi maisha bora Israel kimyaaa. kuliko Uarabuni.ukienda uarabuni tu lazima ubakwe.
Hata waarabu wa kariakoo tu wale mweusi hawakupendi kiviiile japo mama mmoja!!
 
Sisi hatuwezi kuwa kimbelembele wakati mataifa tajiri ya kiaarabu ya kislamu yamerejesha uhusiano na Israel katika nyanja zote mpaka za usalama.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
una akili sana tena mnooo!! wee kijana.

Hujasoma Diplomasia lkn nitafute nikupe cheo!!!
 
Kikwazo hapo Ni ccm.
Hawa watu wameweka mizizi Kila mahali, Ndugai anachambia katiba kimya, sabaya anapora watu akiwa na bunduki na mapanga, jiwe a.k.a meko anateka na kuua watu(....ooh sorry kumbe huyu ameshakufa na Corona), bashiru ananunua binadamu waunge mkono juhudi(...oh sorry kumbe huyu alishatumbuliwa kwa wizi na ujambazi wa fedha za umma), Bashite anateka watu,Musiba analeta itikadi za kishoga, ameanza kujiita Veronica France...Yani mpaka mashariki ya Kati wameenda kuleta mzozo, Hawa ccm Ni magaidi
Umekosea Mkuu hapo kati jiwe alikufa kwa Atrial fibrillation.

Walisema hana corona, sasa sijui waliipimaje na vipimio walivikataa....
 
Katika mwezi huu wa Ramadhani, na katika kumi hili la mwisho

Ghafla vyanzo mbalimabali vya habari na mitandao vimekuwa vikirusha taarifa za Israel kufanya tena mashambulizi dhidi ya Palestina

Nadhani wengi wetu tumelisikia (tumelishuhudia) hili kwenye mitandao yetu, kwa namna moja au nyingine.

Binafsi clip ya kwanza kuhusu mashambulizi haya ya Maboom nliiona jinsi.
Shambulizi zilivyoelekezwa katika msikiti mtukufu wa Aqsa.

Kwa mtazamo wa kawaida tu na mauwaji ya Raia wasio hatia, watoto na wengineo .
SI WAISLAMU TU ULIMWENGUNI WALIIPASWA KULAANI , baali dunia nzima kwa ujumla.

Kama tulivyoolaani mauwaji ya Mtu mweusi kule marekani , Vivyo hivyo wanaoteketea na kuangamia pale gaza kwa uhaini huu wa Israel ni Watu wasio na Hatia hata kama taifa lao (paleatina) limejawa na waislamu.

WHO CARES???



LETS PRAY FOR PALESTINE 🙏
Mi nadhani wa kulaumiwa hapa ni baba mwenye nyumba.
ukiwa mkuu wa familia unatakiwa kuwa makini sana na mzinga wa nyuki karibu na nyumba yako.
Siku ukitoka na kijiti ukaanza kuchokonoa mzinga tena wakati wa jua kali,wakitoka nje hawaelewi cha mama wala mtoto.
na wewe huwezi kutegemea huruma za majirani wakati majanga umeyachuma wewe mwenyewe.

Hamas wajiangalie kabla hawajaamua kuchukua maamuzi wanayoyachukua.Vinginevyo kama tunaingilia kati tuanze na Hamas.
 
Ndio maana Pentagon wanatuma msaada wa fedha na silaha za kivita zenye thamani ya billions of dollars kila mwaka kwenda Tel Aviv.

Wazungu wamejaa sana Israel.
ndo ujue malipo ni hapa hapa Duniani.

Ajabu sasa wapalestina ukimbizi wanachukua USA.Uk. UJERMAN nk
Kifupi wanapendana si ndo waliwagawia hiyo nchi lao moja. tatizo Miafrica ina kiherehere sana.

Muarabu gani alisaidia ukombozi africa kwa moyo wa dhati zaidi ya che guavara?? Achilia mbali mzungu yule joe slovo!!

lkn africa huku never wapi kuna wapalestina EAC??

Huku Bongo wakimbizi ni warundi,wazaire nk
Wapalestina hawawataki nyani...ila nyani kwa kujipendekeza sasa weeee...
 
Siyo Israel tu hata Msumbiji, Nigeria, Sudan, Somalia n.k
Mbona hamkemei kuhusu Boko Haram, Islamic state (Msumbiji), Al shabab, ISIS na makundi mengine ya kiislam yanayofanya mauaji?
Waislam wa sehemu hizo wana asili ya Ugaidi kwenye damu zao

Wasipojilipua au kulipua mahali na kuua watu wanawashwa miili na ubongo

Wabillah Tawfiq
 
Umekosea Mkuu hapo kati jiwe alikufa kwa Atrial fibrillation.

Walisema hana corona, sasa sijui waliipimaje na vipimio walivikataa....
Ila ile ng'ombe ilikonda jamani, mpaka ikikaa kwa kiti vile vipaja vyake vinakuwa kama vya njiwa loh roho mbaya nimeamini inamkondesha mtu, pamoja na kutuibia 1.5Trillion lakini haikumsaidia kula nyama choma na bia anenepe, kafa sisi ndo tunakula nyama yani
 
Alaaniwe Ndugai katika hili,
Vp Kama Jiwe angefufuka afu akagundua alikufa kwa Corona, angewachukuliaje watu wasiovaa barakoa? Hivii mtu akimsogelea si angemuua? Unaingia ikulu hujanawa mikono angekuvunja meno,
Daaa watu wamevurugwa humu sio bure
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom