Hili swali tulishaulizana sana ila mwanzo hatukufikia mwafaka lakini baadae ndio nilipata majibu haya:Habarini wanajamvi!
Kwa wale waliguswa na msiba poleni....
Mie naona 35% ABV sijui hiyo abv inamanisha nini?soma vizuri pale kwenye ALCOHOL huwa panaandikwa ALCO PER VOLUME.sijui nimeeleweka kwa wazee wa HKL
Ile ni %composition of alcohol kwenye hicho kilevi bila kujali ujazo wa chupa ndogo au kubwa.Habarini wanajamvi!
Kwa wale waliguswa na msiba poleni...
ABV, alcohol by Volume.Mie naona 35% ABV sijui hiyo abv inamanisha nini?
Kwa hiyo B=per?ABV, alcohol per Volume.
Number of ml of pure alcohol present in a 100ml solution.
35%= 35ml of pure alcohol present in 100ml soln.
Alcohol by volume (abbreviated as ABV, abv, or alc/vol) is a standard measure of how much alcohol (ethanol) is contained in a given volume of an alcoholic beverage (expressed as a volume percent).[1][2][3] It is defined as the number of millilitres (mL) of pure ethanol present in 100 mL of solution at 20 °C (68 °F).Kwa hiyo B=per?
Alcohol by volume (abbreviated as ABV, abv, or alc/vol) is a standard measure of how much alcohol (ethanol) is contained in a given volume of an alcoholic beverage (expressed as a volume percent).[1][2][3] It is defined as the number of millilitres (mL) of pure ethanol present in 100 mL of solution at 20 °C (68 °F). The number of millilitres of pure ethanol is the mass of the ethanol divided by its density at 20 °C, which is 0.78924 g/mL. The ABV standard is used worldwide. The International Organization of Legal Metrology has tables of density of water–ethanol mixtures at different concentrations and temperatures.
Sidhani! Gr 3 ya konyagi ukiipima alcohol yake bado itakuwa ileile 30 na ushehe hivi Hata bia ni hivyo hivyo. Ulevi unapimwa kwa njia ya hewa unayo pumua . Hata kama umeonja kwa kutumi njiti ya kibiriti utaelewazwa ulevi wako ni %9 Kama ni dereva % 20 unaruhusiwa kuendelea kuendesha gari. Ndege tu hairuhusiwi kuonja wala kunywa pombe mpaka utakapo maliza kazi.Hili swali tulishaulizana sana ila mwanzo hatukufikia mwafaka lakini baadae ndio nilipata majibu haya:
Kwanza kabisa ujue kinacholewesha ni alcohol hivyo ukiona kama chupa kubwa na ndogo ya k-vant ina alcohol 35 maana yake katika kila ml 100 ndio kuna alcohol 35. Hivyo basi ile chupa ndogo ya ml 200 kitaalamu pale itakua na alcohol 70.
Mimi ndio nilivyoeleweshwa hivyo kama kuna mwingine ana jibu tofauti la kitaalamu, nitashukuru kwa kuniongezea maarifa.
Havikuruhusu mvuke wa alcohol kutoka tatizo bapa mvuke hutoka taratibu na kuwacha mimaji yenye upungufu wa alcohol.Kwanini viroba vilikuwa na stimu Kali kuliko bapa?
Habarini wanajamvi!
Kwa wale waliguswa na msiba poleni.
Niliwachoshe naomba nieleweshwe kwa swali langu hili.
Kwenye pombe hizi kali (Konyagi, K Vant, Vodka nk) kuna utofauti wa ujazo lakini kiwango cha kilevi kinakuwa sawa lakini zinatofautiana ulewaji kwa mtumiaji.
Mtumiaji akinywa kinywaji chenye ujazo mdogo anaweza asilewe sana ila mtumiaji huyu akitumia kinywaji chenye ujazo mkubwa analewa zaidi aliyakuwa kiwango cha kilevi ni sawa.
Naomba kuelimishwa