DOKEZO Kinachofanyika Kibaha Kidimu ni dhuruma ya mabavu ya waziwazi

DOKEZO Kinachofanyika Kibaha Kidimu ni dhuruma ya mabavu ya waziwazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unasemaje "Kidimu ni Shamba la mifugo la serikali tangu miaka ya 70" Wakati hapo unaona kuna barua ya Serikali yenyewe ikikiri kuwa Wananchi wanalipishwa Tsh 1,500 na sio 6,000? Pia jiulize malipo yote ya Serikali siku hizi yanafanyika kwa Control Number, kwa nini hayo yanafanyika kwa kulia Bank?
1701844665959.jpg
Taarifa ya Halmashauri ya Mji Kibaha imeeleza vizuri, kwamba, iwapo mtu ana malalamiko ya
Unasemaje "Kidimu ni Shamba la mifugo la serikali tangu miaka ya 70" Wakati hapo unaona kuna barua ya Serikali yenyewe ikikiri kuwa Wananchi wanalipishwa Tsh 1,500 na sio 6,000? Pia jiulize malipo yote ya Serikali siku hizi yanafanyika kwa Control Number, kwa nini hayo yanafanyika kwa kulipa Bank?
1701844665959.jpg
Kama una malalamiko ya rushwa ayawasilishe TAKUKURU
 
Unasemaje "Kidimu ni Shamba la mifugo la serikali tangu miaka ya 70" Wakati hapo unaona kuna barua ya Serikali yenyewe ikikiri kuwa Wananchi wanalipishwa Tsh 1,500 na sio 6,000? Pia jiulize malipo yote ya Serikali siku hizi yanafanyika kwa Control Number, kwa nini hayo yanafanyika kwa kulipa Bank?
Wewe usipoangalia na hii elfu sita utatapeliwa Tena. Wananchi wote wanakwenda Halmashauri ya Mji Kibaha ambako kiwanja.kinatambuliwa na Kisha unapewa namba ya malipo(control number) hiyo unayoisema wewe ni ipi?!

Fedha za uendelezaji ni mkopo kwa Halmashauri kutoka serikali kuu, na mikopo ilitolewa wakati wa Mzee Lukuvi zaidi ya bilioni 50 nchi nzima. Acha kusikiliza uzushi, na acheni kuvamia na kununua Mali za wizi.

Tuwe na mioyo ya huruma jamani, na bado mnataka nn mpewe bure?! Kwamba serikali inaweza kuamua kufanya kitu bila serikali kuu kujua?! Na iwape na fedha za kwenda kupima na kupanga na kufungua barabara?! Na diwani wenu si ashafungwa kwa sababu hiyo hiyo?! Yeye ndiye alikuwa mkwamishaji wa mradi huo for how long?!

Shida wavamizi wanaaleta ujanja wa kutumia ujinga kujinasua... Na huwezi kuanza kuconndemn serikali wakati hata taarifa hauna.. that's cowering, ukiwa na tatizo unaenda kwenye mamlaka unahoji, ni Haki yako, kwanini hili liko hivi na usiporidhika sogea mpaka kwa mtendaji.mkuu wa Halmashauri muhoji. Sio kukimbilia kusema maneno ambayo hatuna hakika nayo.

Mungu Atusaidie tuache uoga na tuwe na Hekima ya kusema ukweli.. na kutuepusha na Ubatili.
 
Mkuu sorry kama hutajali,
Hiv hayo maeneo utaratibu wa kununua ni upi ? Wanapima kuanzia square meter ngapi?
Kupata vile viwanja kiongozi nenda Halmashauri ya Mji pale Kibaha. Utapata maelekezo mazuri. Ila usisikilize mtu mtaani Wala pembeni awe pale ofisini kataaa.. kutana na Afisa Ardhi Mteule Akupe utaratibu, na ulipe kwa Control number, hii ya kusikia sijui benk sijui wapi mie sijui..unless maelekezo yametokea kwa mamlaka husika
 
View attachment 2834432Taarifa ya Halmashauri ya Mji Kibaha imeeleza vizuri, kwamba, iwapo mtu ana malalamiko ya

View attachment 2834432Kama una malalamiko ya rushwa ayawasilishe TAKUKURU
Uliponinakili ninamaanisha Iko siku isiyo na jina kwa utaratibu huu wa kuwapa nafuu wavamizi ...njia.pekee ya kupata Ardhi nchi hii. Itakuwa ni kuvamia.

Na labda kabla hatujazeeka njia pekee baada ya kila eneo kuwa limevamiwa itakuwa sio kuvamia ila kuondoana kwenye Ardhi kwa nguvu, ikiwemo kuuana.

Kwann upate kwenye Shamba la serikali na Mimi nikose kuvamia?! Itakuwaje siku wavamizi kwenye Shamba Moja la hekta elfu Moja watakuwa maelfu unatarania nini kitatokea.

Acha tumlee mwana halafu tuone tutavuna nini. Tabia za kilafi kilafi tuu
 
Uliponinakili ninamaanisha Iko siku isiyo na jina kwa utaratibu huu wa kuwapa nafuu wavamizi ...njia.pekee ya kupata Ardhi nchi hii. Itakuwa ni kuvamia.

Na labda kabla hatujazeeka njia pekee baada ya kila eneo kuwa limevamiwa itakuwa sio kuvamia ila kuondoana kwenye Ardhi kwa nguvu, ikiwemo kuuana.

Kwann upate kwenye Shamba la serikali na Mimi nikose kuvamia?! Itakuwaje siku wavamizi kwenye Shamba Moja la hekta elfu Moja watakuwa maelfu unatarania nini kitatokea.

Acha tumlee mwana halafu tuone tutavuna nini. Tabia za kilafi kilafi tuu
Unamiliki ardhi yenye ukubwa gani gani?
 
Unamiliki ardhi yenye ukubwa gani gani?
Ninamiliki.inayonitosha mwanajamvi.

Hapa nina nia ya watu wawafahamu hawa wavamizi wanaojiita wazawa ambao kila mgogoro wao huwa wamezaliwa huko na Mimi nasema taifa lisiloheshimu haki ni taifa linalokufa bila kujijua.

Na kati Hali ya kushangaza mara zote matatizo haya huanza punde tuu baada ya mmiliki wa awali kufa. This time tutaona pale tutamalizia maana kukalia hili kimya ni kugawa urithi wa Baba wanangu.

Paza sauti, uwe unamiliki wewe awe anamiliki yeye... Ni vyema kusimamia haki
 
Kibaha kwa mathias (sagale), huu ujinga umetawala, wananchi wamelazimishwa kununua tena maeneo waliouziwa na wenyekiti wa kijiji wakishirikiana na watendaji.

Yaani unaweza kusema Nchi ipo vitani, hawa viongozi wa serikali kupitia wizara ya ardhi ni "MAROBOTI" au "WAHAMIAJI HARAMU"?
 
Kibaha kwa mathias (sagale), huu ujinga umetawala, wananchi wamelazimishwa kununua tena maeneo waliouziwa na wenyekiti wa kijiji wakishirikiana na watendaji.

Yaani unaweza kusema Nchi ipo vitani, hawa viongozi wa serikali kupitia wizara ya ardhi ni "MAROBOTI" au "WAHAMIAJI HARAMU"?
Kinachofanyika wanaelekezwa kununua kwa mwenye Ardhi.. kama Mwananchi anamfahamu mwenyeketi aliyeuza kwann anamlinda ale kichwa chake..

Peleka mahakamani alipe ... Hiyo ni sisi tunaowasamehe na kupeleka malalamiko mahali ambako hayastahili. Ni sisi ndio tunalea vibaka.kwa jina mwenyekiti wa serikali ya Mtaa..

Na tukumbuke wenyeviti tuliwachagua sisi wenyewe, mwenyekiti kazi yake ni kuisimamia serikali, Sasa wewe umeuziwa na muwakilishi wako sio mtendaji wa serikali halafu mtendaji akisimamia tunailaumu serikali.. na wakiacha ukakutama na nduguyo ambaye Shamba lake limemegwa na wahuni na wameuza utageuza kibao tena itakuwa ni shida Tena kwa serikali kushindwa kusimamia!

Kweli mamlaka zigo la lawama. Na katika haya yote sijasikia hata mara Moja mtu yoyote aseme hapa tulikosea tulipaswa kufuata muongozo wa kisheria wa kujipatia Ardhi . Wote wameonewa nani Sasa hakuna hata mmoja ambaye katepeliwa?!
 
Mwanajanvi jifunze kutafuta taarifa sahihi, na kwa watu sahihi.

The gullible nature ya Watanzania ndiyo inayowaweka kwenye shida mara zote. Tunasukumwa kwenye kufanya investments kubwa kwa hisia.

Maeneo mengi sana ambayo watu wamenunua na sio salama yameuzwa na wenyeji.

Nyumba ya familia ikiuzwa kinyume na makubaliano ya familia mara nyingi anayekuwa ameuza ni mwanafamilia ..sembuse Ardhi ambayo wewe hata kuhoji uhalali wake haufanyi unakimbilia kulaumu?!

Wananchi wmakwisha kujua kuwacjomatisha wananchi wenzao na serikali au na watu binafsi.. laba uwe mgeni kwenye ununuzi wa Ardhi... Migogoro mingi inafanywa na matapeli wanaojiita wazawa.

Huku mjini mtu akitapeliwa kiwanja au Mali yoyote ile akiuziwa na ikawa ya wizi mara zote mhusika(mtapeliwa) kumdai aliyeuza. Ambayo ndio mantiki hata kisheria..

Mbona kwenye hili wavamizi na wahanga wao mnajipanga kuichafua serikali?! Kwann usikamate aliyekuuzia?! Alipe gharama zote?!

Kidimu ni Shamba la mifugo la serikali tangu miaka ya 70, kutokana na kuvamiwa na kupunguziwa kila siku kuaccomodate hizi shida mwisho wakalichoka wakaipatia Halmashauri ipime..

Initially ilikuwa halmashauri wavunje wapange na kupima ili kutoka access kwa wananchi upstanding kununua Ardhi. Mwisho kwa sababu ya Siasa wakakubali kupima kama walivyo.. na bei wakashusha ...

Na hapa tuko nje tunaiangalia serikali maana tunakokwenda tutakuwa hatununui Ardhi Tena, haiwezekani mnavamia mnauziwa kwa 1500 kwa mita mraba halafu sisi upstanding citizen ambao hatuipi serikali shida tunauziwa kwa 6000, ni kama serikali inadekeza wahalifu halafu inawaadhibu wananchi watunza sheria.

Wait until iwe kazi ya kunyang'anyana na hizi.propaganda zenu
Nimesoma hapa nimeelewa maana nilikuwa nije na mie kuongeza idadi ya wanaoilaumu serikali maana nilikuwa nashangaa kwanini walipe 1,500/Square meter badala ya kulipia Fedha ya upimaji shirikishi ambayo huwa haizidi laki 2 au walipwe fidia na kupewa kiwanja kimoja Kwa wale wenye maeneo makubwa kumbe watu wamepewa favour kutokana na uvamizi
 
Back
Top Bottom