nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Habarini wanajamvi,
Najua baadhi yenu mmewahi kutamani kuingia Jeshini (JWTZ) au Usalama wa Taifa (TISS)
Sasa kuna operation zipo mbili ambazo nafikiri zikifanyika au zinafanyika bila umakini zinaustua uma ambazo ni:-
1. Clandestine na
2. Infiltration
Nitazieleza kama ifuatavyo
Clandestine operation - means " Done in secret, behind the scenes, Covert, Furtive, Sneak or Stealthy e.t.c
Hii ni operation inayotumiwa sana na vikundi vya usalama vilivyotajwa hapo juu lakini operation hizo ziki fail inakuwa kama ilivyowahi kutokea hapa.
1. Kutekwa kwa Dr. Ulimboka (wakajua ameshakufa kumbe kawadanganya kwa kuzimia, wakamtelekeza Mabwepande baadaye akakutwa na kuokolewa.
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.
2. Kumwagiwa Tindikali Said Kubenea na wenzake "walimwaga kwa woga yaani hawakujiandaa"
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.
3. Kupigwa Risasi kwa Ho. Tundu Lissu
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.
Fikiria na matukio yafuatayo. Inawezekana operation hiyo ilifanikiwa " good execution"
1. Ben Saanane
2. Prof Jwani Mwaikusa
3. Chacha Wangwe
4. Jems Kombe
5. Mwandishi Azory
Na zingine nyingi.
Hizi operation zinapangwa kwa umaridadi mkubwa sana na zinafanyiwa rehearsal ya kutosha lakini waki-fail kwenye execution adhabu ni kama nilivyotaja hapo juu.
N:B
- Kiujumla hii ni operation ya haraka ili kuokoa jambo baya endapo muhusika ataachwa alitekeleze.
- Na ili litekelezwe kunakuwa na reconnaissance ya kutosha imefanyika.
2. Infiltration operation maana yake ni - The action of entering or gaining access to an organization or place surreptitiously, especially in order to acquire secret information or cause damage.
Au ni The process of secretly becoming part of a group in order to get information or to influence the way that a group thinks or behaves.
"JWTZ huwa wanajenga fence ili ku-stop military infiltration"
Kama difinition zinavyojieleza hapo juu, infiltration ni operation ya mda mrefu ambayo inahitaji professional husika e.g
- kama ni idara ya afya basi anayetumwa anatakiwa awe member wa fani za afya.
- Kama ni migodi ya madini anatakiwa kwenda huko awe mtaalamu pia.
- Kama ni jeshi pia anapandikizwa mwanajeshi ili awe uniform na wao.
Sasa utawa-influence vipi?
Ni lazima awe na akili nyingi na mwenye uwezo wa kupambanua mambo.
- Hawa ni wabaya maana mara nyingine wanaweza kuwa double agents.
Nataka ni-justify. Sidhani kama waliotekwa au kupotea wanaweza kupatikana kama walikuwa na malengo mabaya kwenye maeneo waliyokuwa wanayafanyia kazi.
Maana yake ni hivi
Infiltrator anakuwa counted na covert (clandestine) operations
Infiltration ni mbaya sana msipokuwa macho kama nchi jamii nzima au nchi husika inaweza kuuzwa.
Mind you try to think critically. We need a critical thinkers
Kama sijaeleweka karibuni kwa maswali, au kukosolewa ijapokuwa najua wengi wenu "you know nothing about this issues"
Mods kama inakiuka maadili ya jamii forum mnaweza kuiondoa"
Ahsante sana
cc Yeriko Nyerere.
Najua baadhi yenu mmewahi kutamani kuingia Jeshini (JWTZ) au Usalama wa Taifa (TISS)
Sasa kuna operation zipo mbili ambazo nafikiri zikifanyika au zinafanyika bila umakini zinaustua uma ambazo ni:-
1. Clandestine na
2. Infiltration
Nitazieleza kama ifuatavyo
Clandestine operation - means " Done in secret, behind the scenes, Covert, Furtive, Sneak or Stealthy e.t.c
Hii ni operation inayotumiwa sana na vikundi vya usalama vilivyotajwa hapo juu lakini operation hizo ziki fail inakuwa kama ilivyowahi kutokea hapa.
1. Kutekwa kwa Dr. Ulimboka (wakajua ameshakufa kumbe kawadanganya kwa kuzimia, wakamtelekeza Mabwepande baadaye akakutwa na kuokolewa.
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.
2. Kumwagiwa Tindikali Said Kubenea na wenzake "walimwaga kwa woga yaani hawakujiandaa"
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.
3. Kupigwa Risasi kwa Ho. Tundu Lissu
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.
Fikiria na matukio yafuatayo. Inawezekana operation hiyo ilifanikiwa " good execution"
1. Ben Saanane
2. Prof Jwani Mwaikusa
3. Chacha Wangwe
4. Jems Kombe
5. Mwandishi Azory
Na zingine nyingi.
Hizi operation zinapangwa kwa umaridadi mkubwa sana na zinafanyiwa rehearsal ya kutosha lakini waki-fail kwenye execution adhabu ni kama nilivyotaja hapo juu.
N:B
- Kiujumla hii ni operation ya haraka ili kuokoa jambo baya endapo muhusika ataachwa alitekeleze.
- Na ili litekelezwe kunakuwa na reconnaissance ya kutosha imefanyika.
2. Infiltration operation maana yake ni - The action of entering or gaining access to an organization or place surreptitiously, especially in order to acquire secret information or cause damage.
Au ni The process of secretly becoming part of a group in order to get information or to influence the way that a group thinks or behaves.
"JWTZ huwa wanajenga fence ili ku-stop military infiltration"
Kama difinition zinavyojieleza hapo juu, infiltration ni operation ya mda mrefu ambayo inahitaji professional husika e.g
- kama ni idara ya afya basi anayetumwa anatakiwa awe member wa fani za afya.
- Kama ni migodi ya madini anatakiwa kwenda huko awe mtaalamu pia.
- Kama ni jeshi pia anapandikizwa mwanajeshi ili awe uniform na wao.
Sasa utawa-influence vipi?
Ni lazima awe na akili nyingi na mwenye uwezo wa kupambanua mambo.
- Hawa ni wabaya maana mara nyingine wanaweza kuwa double agents.
Nataka ni-justify. Sidhani kama waliotekwa au kupotea wanaweza kupatikana kama walikuwa na malengo mabaya kwenye maeneo waliyokuwa wanayafanyia kazi.
Maana yake ni hivi
Infiltrator anakuwa counted na covert (clandestine) operations
Infiltration ni mbaya sana msipokuwa macho kama nchi jamii nzima au nchi husika inaweza kuuzwa.
Mind you try to think critically. We need a critical thinkers
Kama sijaeleweka karibuni kwa maswali, au kukosolewa ijapokuwa najua wengi wenu "you know nothing about this issues"
Mods kama inakiuka maadili ya jamii forum mnaweza kuiondoa"
Ahsante sana
cc Yeriko Nyerere.