Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ubalozi kunatakiwa kuwa na watu smart, kazi ya kwanza kuchukua taarifa kutoka kwao, kuzuia wasipate taarifa kwetu tatu na muhimu nchi yetu ipate faida ya uwepo wetu kule so hapa sio kila kitu kinatakiwa kufanya kihalali bali hata kutapeli kwaajili ya Taifa ni Muhimu sana.
Na ndio maana huwezi peleza raia akawa balozi Egypt, Congo, Msumbiji zamani lakini sio sasa, Urusi au Nigeria Zamani even Cuba at that time
Calabash pale Mwenge
La Chaaz Sinza
4 Wayz Kinondoni
Ukienda hizi bar, kila mtu anajitapa usalama.
KabisaMwanzo alifanya kazi kama mshauri wa royal family ya Saudia baadae akaacha na kwenda nje ya nchi na kuanza kuandika makala ya kuwakashifu (ambayo mengi ni ya ukweli)
Hawakupenda hilo wakaamua wammalize lakini sidhani kama ni usaliti bali alikuwa anawapa ukweli kwa udhalimu wanaoufanya
Sasa ikitokea kwenye matukio kama hayo,ya watu wengine nje ya serikali kufanya utekaji,ama mauaji si ndio interegencia kwa maana ya usalama ndio wawe wameyafanyia kazi kabla kufikia huko?Yes, inatakiwa tuangalie majirani tunashindana nao vipi
Je na hao tunaosema ni wawekezaji ushindani wao ukoje "maana pia inawezekana wanashindana wao kwa wao"
Pia unaweza kuta ni hujuma ili kuwatisha wawekezaji wasije kwetu waogope kuvamiwa na kutekwa
Ingekuwa ni vikosi vya waasi
Huwa wanaweza kuuwa raia makusudi ili serikali iwape wanachokitaka
Wanafanya kitu inaitwa surbortage, wakifanya hivyo then raia wanaanza kuichukia serikali yao, au wawekezaji wanaanza kuogopa kuwekeza
Kwamfano
Jimbo la Cambinda kule Angola waasi wa huko baada ya kuona eneo lao lina mafuta mengi, wakaanza kufanya hujuma mpaka wakawavamia wachezaji wa team ya Taifa ya Togo.
Sawa mkuu. Umenipa funzo pia,kwamba tukio la utekaji au mauaji au namna nyingine yoyote mbaya inaweza ikawa ni maadui zetu kitaifa,kutoka hata nje ya nchi?. Labda wanaweza wakawa maadui wa kiuchumi hivi?. Kwa namna hiyo inatubidi tujiimarishe sana kiinteregencia. Maana kwa namna yoyote kwa kipindi tulichopo adui mkubwa anaweza kuwa ni wa kiuchumi. Mfano kenya na sisi kuhusu kugombea kuwahi nani awe na bandari yenye kina kirefu inayoweza kufikiwa na meli kubwa. Hii ni vita kubwa pia nafikiri. Japo sisi kama tuna nafasi. Ningefurahi sana kujengwa hii bandari kuliko kitu chochote kwanza. Tungeachana hata na ndege,tungewekeza nguvu kwenye ujenzi wa hii bandari ksbb hata mwananchi wa kawaida angeiona faida yake kwa haraka. Maana hii bandari ingeifanya jiji la Dar kuwa sawa na dubai ya Afrika mashariki na kati. Vile vile tungekamata Rwanda,Burundi,DRC,Malawi,Zambia,Uganda n.k upande wa mizigo yao kutoka nje,na mizigo yao kwenda njeNi kweli mkuu tutafakali sisi sote, tueleweshane. Inawezekana tunachonganishwa na watu wa nje. Badala ya kukaa kitu kimoja tunaanza kulaumu serikali mara vyama, inakuwa ni upuuzi.
We have to think critically the we can resolve the issues
Kumbuka ya Mkuranga - Kibiti----- Tukaanza kufanyia siasa mambo muhimu.
Lete ukweli wako kama huu upotoshaji~ kama huna kaa kimya usibweke ukaitwa Mbwa. USITISHE WATU.Huu ni upotoshaji wa kijinga kabisa,na ni urongo,undefinedtofautisha mambo ya mafia na mambo mengine, undefinedngoja waku-trace kama hujaimba haleluya kwa huu upotoshaji.
Reconnaissence patrol. Hii iko jeshini ili kupata taarifa za adui kuwa ana silaha gani, jeshi lake likoje, mazingira yakoje, njia ya kuingilia n.kHapa mimi siongezi kitu ila naomba msome hizi aya kutoka kwenye maandiko matakatifu.
Yakobo 2:25 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
25 Hali kadhalika Rahabu, yule kahaba, yeye je, hakuhesabiwa haki kwa matendo yake alipowapokea wapelelezi na kuwaambia waende njia nyingine?
Yoshua 6:25 BHN
Lakini yule kahaba Rahabu pamoja na watu wote wa nyumba ya baba yake, Yoshua aliyaokoa maisha yao. Rahabu akaishi miongoni mwa Waisraeli hadi leo, kwa kuwa aliwaficha wajumbe ambao Yoshua aliwatuma kwenda kuupeleleza mji wa Yeriko.
Yoshua 2
Rahabu Na Wapelelezi
1Kisha Yoshua mwana wa Nuni kwa siri akatuma wapelelezi wawili kutoka Shitimu, akawaambia, “Nendeni mkaikague hiyo nchi, hasa Yeriko.” Kwa hiyo wakaenda na kuingia kwenye nyumba ya kahaba jina lake Rahabu na kukaa humo.
2Mfalme wa Yeriko akaambiwa, “Tazama! Baadhi ya Waisraeli wamekuja huku usiku huu kuipeleleza nchi.” 3Hivyo mfalme wa Yeriko akatuma huu ujumbe kwa Rahabu: “Watoe wale watu waliokujia na kuingia nyumbani mwako, kwa sababu wamekuja kuipeleleza nchi yote.”
4Lakini huyo mwanamke alikuwa amewachukua hao watu wawili na kuwaficha. Akasema, “Naam, watu hao walikuja kwangu, lakini sikujua walikotoka. 5Kulipoingia giza, wakati wa kufunga lango la mji, watu hao waliondoka. Sijui njia waliyoiendea. Wafuatilieni haraka. Huenda mkawapata.” 6(Lakini alikuwa amewapandisha darini akawafunika kwa mabua ya kitani aliyokuwa ameyatandika darini.) 7Basi hao watu wakaondoka kuwafuatilia hao wapelelezi katika njia ile inayoelekea vivuko vya Yordani, mara tu wafuatiliaji walipotoka nje, lango likafungwa.
8Kabla wale wapelelezi hawajalala, Rahabu akawaendea huko juu darini, 9akawaambia, “Ninajua kuwa BWANA amewapa nchi hii na hofu kuu imetuangukia kwa sababu yenu, kiasi kwamba wote waishio katika nchi hii wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yenu. 10Tumesikia jinsi BWANA alivyokausha maji ya Bahari ya Shamu kwa ajili yenu mlipotoka Misri, pia lile mlilowatendea Sihoni na Ogu, wafalme wawili wa Waamori mashariki ya Yordani, ambao mliwaangamiza kabisa. 11Tuliposikia juu ya hili, mioyo yetu iliyeyuka na kila mmoja alikosa ujasiri kwa sababu yenu, kwa maana BWANA Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na duniani chini. 12Sasa basi, tafadhali niapieni kwa BWANA, kwamba mtaitendea hisani jamaa ya baba yangu, kwa kuwa mimi nimewatendea hisani. Nipeni ishara ya uaminifu 13kwamba mtayahifadhi maisha ya baba yangu na mama yangu, ndugu zangu wa kiume na wa kike, pamoja na wale wote walio wa kwao na kwamba mtatuokoa na kifo.”
14Wale watu wakamhakikishia Rahabu, “Uhai wetu kwa uhai wenu! Ikiwa hutatoa habari ya nini tunachofanya, wakati BWANA atakapotupa nchi hii, tutawatendea kwa hisani na kwa uaminifu.”
15Kisha akawatelemsha dirishani kwa kamba, kwa kuwa nyumba yake aliyokuwa anaishi ilikuwa sehemu ya ukuta wa mji. 16Alikuwa amewaambia, “Nendeni vilimani ili wale wafuatiliaji wasiwapate. Jificheni huko kwa siku tatu mpaka watakaporudi, hatimaye mwende zenu.”
17Wale watu wakamwambia, “Hiki kiapo ulichotuapisha hakitatufunga, 18isipokuwa, hapo tutakapoingia katika nchi hii, utakuwa umefunga hii kamba nyekundu dirishani pale ulipotutelemshia na kama utakuwa umewaleta baba yako na mama yako, ndugu zako na jamaa yako yote ndani ya nyumba yako. 19Ikiwa mtu ye yote atatoka nje ya nyumba yako akaenda mtaani, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe, hatutawajibika. Lakini yule ambaye atakuwa ndani pamoja nawe, kama mkono wa mtu ye yote ukiwa juu yake damu yake itakuwa juu ya vichwa vyetu. 20Lakini ikiwa utatoa habari ya shughuli yetu tunayofanya, tutakuwa tumefunguliwa kutoka kwenye kiapo hiki ulichotufanya tuape.”
21Naye akajibu, “Nimekubali. Na iwe kama mnavyosema.” Kwa hiyo akaagana nao, nao wakaondoka. Yeye akaifunga ile kamba nyekundu dirishani.
22Walipoondoka, wakaelekea vilimani na kukaa huko siku tatu, hadi wale waliokuwa wakiwafuatilia wakawa wamewatafuta njia nzima na kurudi pasipo kuwapata. 23Ndipo wale wapelelezi wawili wakaanza kurudi. Wakashuka kutoka kule vilimani, wakavuka mto na kuja kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kumweleza kila kitu kilichowatokea. 24Wakamwambia Yoshua, “Hakika BWANA ametupa nchi yote mikononi mwetu; watu wote wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yetu.”
Muhimu nilichotaka ukione hapa ni kwamba, kahaba Rahabu aliwadanganya maadui wa Jeshi la Joshua, ili kuwalinda akina Joshua. Huyu mtu aliyeanzisha thread hii kuna sehemu alisema kuwa wakati mwingine ni vizuri ukadawanganya rivals wako kwa maslahi mapana ya Nchi yako. Rahabu alifanya kitu ambacho kwa namna fulani kinafanana na hichoReconnaissence patrol. Hii iko jeshini ili kupata taarifa za adui kuwa ana silaha gani, jeshi lake likoje, mazingira yakoje, njia ya kuingilia n.k
Wale hawajuwi tofauti ya CCM na taifa.Ni Kweli kabisa. Upande mwingine tuangalie Na usalama Wa taifa letu inawezekana hawa jamaa wakawa sio salama kwa taifa.
Hi ishu ya kashogi ilisukwa vizur tu lakin kama zilivyofeli za kina ulimboka nayo ilifeli....walijaribu kuudangny ulimweng kuwa kashogi alitok salam ubaloziniSasa na hii operation ya khashoghi imekaaje au wao (Saudia) hawaguswi na mtu maana jamaa kaingia ubalozini wamemuuwa na kumkatakata vipande.
Saa yake hiyo iliyotoa siri zote maana yake ni mission fail
Kwa hiyo nao Mohammed Bin Suleiman atawamaliza? Kama ndio aliewatuma?
Hi ishu ya kashogi ilisukwa vizur tu lakin kama zilivyofeli za kina ulimboka nayo ilifeli....walijaribu kuudangny ulimweng kuwa kashogi alitok salam ubalozini
Kumbe?!!, okKama ni migodi ya madini anatakiwa kwenda huko awe mtaalamu pia
Kwa bahati mbayasurreptitiously
Kuna vitu unavihisi labda inawezekana kutokana na hearsay..Habarini wanajamvi,
Najua baadhi yenu mmewahi kutamani kuingia Jeshini (JWTZ) au Usalama wa Taifa (TISS)
Sasa kuna operation zipo mbili ambazo nafikiri zikifanyika au zinafanyika bila umakini zinaustua uma ambazo ni:-
1. Clandestine na
2. Infiltration
Nitazieleza kama ifuatavyo
Clandestine operation - means " Done in secret, behind the scenes, Covert, Furtive, Sneak or Stealthy e.t.c
Hii ni operation inayotumiwa sana na vikundi vya usalama vilivyotajwa hapo juu lakini operation hizo ziki fail inakuwa kama ilivyowahi kutokea hapa.
1. Kutekwa kwa Dr. Ulimboka (wakajua ameshakufa kumbe kawadanganya kwa kuzimia, wakamtelekeza Mabwepande baadaye akakutwa na kuokolewa.
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.
2. Kumwagiwa Tindikali Said Kubenea na wenzake "walimwaga kwa woga yaani hawakujiandaa"
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.
3. Kupigwa Risasi kwa Ho. Tundu Lissu
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.
Fikiria na matukio yafuatayo. Inawezekana operation hiyo ilifanikiwa " good execution"
1. Ben Saanane
2. Prof Jwani Mwaikusa
3. Chacha Wangwe
4. Jems Kombe
5. Mwandishi Azory
Na zingine nyingi.
Hizi operation zinapangwa kwa umaridadi mkubwa sana na zinafanyiwa rehearsal ya kutosha lakini waki-fail kwenye execution adhabu ni kama nilivyotaja hapo juu.
N:B
- Kiujumla hii ni operation ya haraka ili kuokoa jambo baya endapo muhusika ataachwa alitekeleze.
- Na ili litekelezwe kunakuwa na reconnaissance ya kutosha imefanyika.
2. Infiltration operation maana yake ni - The action of entering or gaining access to an organization or place surreptitiously, especially in order to acquire secret information or cause damage.
Au ni The process of secretly becoming part of a group in order to get information or to influence the way that a group thinks or behaves.
"JWTZ huwa wanajenga fence ili ku-stop military infiltration"
Kama difinition zinavyojieleza hapo juu, infiltration ni operation ya mda mrefu ambayo inahitaji professional husika e.g
- kama ni idara ya afya basi anayetumwa anatakiwa awe member wa fani za afya.
- Kama ni migodi ya madini anatakiwa kwenda huko awe mtaalamu pia.
- Kama ni jeshi pia anapandikizwa mwanajeshi ili awe uniform na wao.
Sasa utawa-influence vipi?
Ni lazima awe na akili nyingi na mwenye uwezo wa kupambanua mambo.
- Hawa ni wabaya maana mara nyingine wanaweza kuwa double agents.
Nataka ni-justify. Sidhani kama waliotekwa au kupotea wanaweza kupatikana kama walikuwa na malengo mabaya kwenye maeneo waliyokuwa wanayafanyia kazi.
Maana yake ni hivi
Infiltrator anakuwa counted na covert (clandestine) operations
Infiltration ni mbaya sana msipokuwa macho kama nchi jamii nzima au nchi husika inaweza kuuzwa.
Mind you try to think critically. We need a critical thinkers
Kama sijaeleweka karibuni kwa maswali, au kukosolewa ijapokuwa najua wengi wenu "you know nothing about this issues"
Mods kama inakiuka maadili ya jamii forum mnaweza kuiondoa"
Ahsante sana
cc Yeriko Nyerere.
Yap jamaa anapapasa papasa kidogo kwa wenye uelewa kidogo its work some howKuna vitu unavihisi labda inawezekana kutokana na hearsay..
Kuna mambo unayachanganya.
Anyway sio mbaya
mkuu utagunduaje watu hao walau kwa ishara tu ya nje ili uwe makini nayeHaya material ninayo miaka mingi sana, nimeamua kutoa darasa huru