Kinachoikuta Yanga leo kuikuta pia Simba

Kinachoikuta Yanga leo kuikuta pia Simba

Maandiko matakatifu yameandika kwamba " AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU " , Vilabu vya Simba na Yanga vina utitiri wa wanachama ambao pamoja na wingi wao tena wakiwa na akili timamu , WAMEAMUA BILA AIBU KUWATEGEMEA BINADAMU WENZAO KUWAENDESHEA TIMU ZAO .

Naandika haya nikiwa na ushahidi wa namna matatizo ya kisiasa ya Yusuph Manji , binadamu pekee aliyekuwa mlipaji wa bili zote za Yanga yalivyochangia njaa kwenye timu kongwe kabisa nchini , kiasi cha kuwa kama MAHARAGE YA MBEYA , MAJI MARA MOJA , Watu wanajipigia tu watakavyo !

Ni aibu kubwa sana kwa uongozi wa Yanga kumtegemea Manji kulipa hadi mishahara ya viongozi wake .

Ukweli ambao watu wengi wanaujua lakini wanaunyamazia ni kwamba timu za Simba na Yanga hazina mipango yoyote ya Maendeleo wala hazina vyanzo vyovyote vya kupata hela na zinadaiwa kila kona ya nchi , vihela vyote vya milangoni vinaliwa na wajinga wachache sana wanaojifanya wana akili kupita kiasi .

Hata hii Simba yetu akiondoka Mohamed Dewji tu , wachezaji watakunywa chai kavu , au Mmesahau chapati za Kaduguda ?

......Itaendelea .....

Uko sahihi kabisa...Watu wazima na akili zao wanaamua eti kumkodisha mtu timu???!! Dah, werevu walijua mapema kuwa Manii alikuwa anaiua Yanga.usajili kwa mamilioni mchezaji mmoja , halafu mishahara kwa baadhi ya wachezaji mamilioni mengi tu...kwa hiyo timu haiwezi kuongozwa na mtu mwingine zaidi yake Manji...Ni nani ataweza kuhimili gharama hizo za uendeshaji???!!!...Yaani gharama zimekuwa inflated na wapigaji na madalali wakiwemo makomando
 
Hii timu isiposhuka daraja mwakani nitashangaa sana !
 
Maandiko matakatifu yameandika kwamba " AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU " , Vilabu vya Simba na Yanga vina utitiri wa wanachama ambao pamoja na wingi wao tena wakiwa na akili timamu , WAMEAMUA BILA AIBU KUWATEGEMEA BINADAMU WENZAO KUWAENDESHEA TIMU ZAO .

Naandika haya nikiwa na ushahidi wa namna matatizo ya kisiasa ya Yusuph Manji , binadamu pekee aliyekuwa mlipaji wa bili zote za Yanga yalivyochangia njaa kwenye timu kongwe kabisa nchini , kiasi cha kuwa kama MAHARAGE YA MBEYA , MAJI MARA MOJA , Watu wanajipigia tu watakavyo !

Ni aibu kubwa sana kwa uongozi wa Yanga kumtegemea Manji kulipa hadi mishahara ya viongozi wake .

Ukweli ambao watu wengi wanaujua lakini wanaunyamazia ni kwamba timu za Simba na Yanga hazina mipango yoyote ya Maendeleo wala hazina vyanzo vyovyote vya kupata hela na zinadaiwa kila kona ya nchi , vihela vyote vya milangoni vinaliwa na wajinga wachache sana wanaojifanya wana akili kupita kiasi .

Hata hii Simba yetu akiondoka Mohamed Dewji tu , wachezaji watakunywa chai kavu , au Mmesahau chapati za Kaduguda ?

......Itaendelea .....
Acha kukalili nyie, simba ya saizi si ya miaka iliyopita, Yanga mnafarijiwa na wachambuzi uchwara wasiosoma alama za nyakati eti " kinacho wakuta Yanga kitawakuta simba" mmetumia vigezo gani?
Simba saizi inabadili mfumo kwenda kwenye mfumo wa compuni mnafikiri wenye kampuni watakubali waendeshe kampuni yao kwa hasara?
Mo dewji alieyendesha biashara kubwa, atakubali uwekezaji wake uende bure asipate faida, hakuna kama hicho.
Yanga tafuteni tu njia jinsi ya kutatua matatizo yenu, msiende kwa kukalili.
Mkiendelea hivyo itabaki historia kwba timu ya Yanga ndio timu iliyowahi kuchukua ubingwa Mara nyingi.
Angalia wenyewe saizi singinda Azam zinachukua wachezaji wazuri mlioshindwa kuwasajiri kwa sababu hamna hela, mfano huyu dogo Tiba John, aliyeenda singida.
Je na mbeya city kama wakiuza zile hisa zao mana nao saizi wamesoma alama za nyakati wamebadili mfumo, kweli mtaweza kushindana na hizo timu .
Saizi eti mzee Akili Mali anataka awe mwenyekiti wenu.
Msifanye kitu kwa mazoea kwamba kwa sababu hizo shida zilikua zinawakumba wote huko nyuma ko mtaendelea kupokezana. Unajikuta umebaki mwenyewe
 
Acha kukalili nyie, simba ya saizi si ya miaka iliyopita, Yanga mnafarijiwa na wachambuzi uchwara wasiosoma alama za nyakati eti " kinacho wakuta Yanga kitawakuta simba" mmetumia vigezo gani?
Simba saizi inabadili mfumo kwenda kwenye mfumo wa compuni mnafikiri wenye kampuni watakubali waendeshe kampuni yao kwa hasara?
Mo dewji alieyendesha biashara kubwa, atakubali uwekezaji wake uende bure asipate faida, hakuna kama hicho.
Yanga tafuteni tu njia jinsi ya kutatua matatizo yenu, msiende kwa kukalili.
Mkiendelea hivyo itabaki historia kwba timu ya Yanga ndio timu iliyowahi kuchukua ubingwa Mara nyingi.
Angalia wenyewe saizi singinda Azam zinachukua wachezaji wazuri mlioshindwa kuwasajiri kwa sababu hamna hela, mfano huyu dogo Tiba John, aliyeenda singida.
Je na mbeya city kama wakiuza zile hisa zao mana nao saizi wamesoma alama za nyakati wamebadili mfumo, kweli mtaweza kushindana na hizo timu .
Saizi eti mzee Akili Mali anataka awe mwenyekiti wenu.
Msifanye kitu kwa mazoea kwamba kwa sababu hizo shida zilikua zinawakumba wote huko nyuma ko mtaendelea kupokezana. Unajikuta umebaki mwenyewe
Tiber nae mchezaji???Ungeniambia Kihimbwa au Eliud Ambokile kidoogooo ningekuelewa...tatizo la Yanga majeruhi sio ukata hata Rage aliyewaita mbumbumbu alisema hivyo..unamkosa Tambwe,Kamusoko,Ngoma unategemea nini...maana Ngoma na Tambwe wanafunga magoli double digits
 
Maandiko matakatifu yameandika kwamba " AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU " , Vilabu vya Simba na Yanga vina utitiri wa wanachama ambao pamoja na wingi wao tena wakiwa na akili timamu , WAMEAMUA BILA AIBU KUWATEGEMEA BINADAMU WENZAO KUWAENDESHEA TIMU ZAO .

Naandika haya nikiwa na ushahidi wa namna matatizo ya kisiasa ya Yusuph Manji , binadamu pekee aliyekuwa mlipaji wa bili zote za Yanga yalivyochangia njaa kwenye timu kongwe kabisa nchini , kiasi cha kuwa kama MAHARAGE YA MBEYA , MAJI MARA MOJA , Watu wanajipigia tu watakavyo !

Ni aibu kubwa sana kwa uongozi wa Yanga kumtegemea Manji kulipa hadi mishahara ya viongozi wake .

Ukweli ambao watu wengi wanaujua lakini wanaunyamazia ni kwamba timu za Simba na Yanga hazina mipango yoyote ya Maendeleo wala hazina vyanzo vyovyote vya kupata hela na zinadaiwa kila kona ya nchi , vihela vyote vya milangoni vinaliwa na wajinga wachache sana wanaojifanya wana akili kupita kiasi .

Hata hii Simba yetu akiondoka Mohamed Dewji tu , wachezaji watakunywa chai kavu , au Mmesahau chapati za Kaduguda ?

......Itaendelea .....
true.

hizi timu zenu 2 za kichawi huwaga zinapenda kubadilishana majanga at least kila baada ya miaka 2.
 
Acha kukalili nyie, simba ya saizi si ya miaka iliyopita, Yanga mnafarijiwa na wachambuzi uchwara wasiosoma alama za nyakati eti " kinacho wakuta Yanga kitawakuta simba" mmetumia vigezo gani?
Simba saizi inabadili mfumo kwenda kwenye mfumo wa compuni mnafikiri wenye kampuni watakubali waendeshe kampuni yao kwa hasara?
Mo dewji alieyendesha biashara kubwa, atakubali uwekezaji wake uende bure asipate faida, hakuna kama hicho.
Yanga tafuteni tu njia jinsi ya kutatua matatizo yenu, msiende kwa kukalili.
Mkiendelea hivyo itabaki historia kwba timu ya Yanga ndio timu iliyowahi kuchukua ubingwa Mara nyingi.
Angalia wenyewe saizi singinda Azam zinachukua wachezaji wazuri mlioshindwa kuwasajiri kwa sababu hamna hela, mfano huyu dogo Tiba John, aliyeenda singida.
Je na mbeya city kama wakiuza zile hisa zao mana nao saizi wamesoma alama za nyakati wamebadili mfumo, kweli mtaweza kushindana na hizo timu .
Saizi eti mzee Akili Mali anataka awe mwenyekiti wenu.
Msifanye kitu kwa mazoea kwamba kwa sababu hizo shida zilikua zinawakumba wote huko nyuma ko mtaendelea kupokezana. Unajikuta umebaki mwenyewe
Kampuni ya Simba inaitwaje na ina mtaji wa tsh ngapi ?
 
Hii timu inahitaji huruma maalum , inatia aibu sana
 
Tiber nae mchezaji???Ungeniambia Kihimbwa au Eliud Ambokile kidoogooo ningekuelewa...tatizo la Yanga majeruhi sio ukata hata Rage aliyewaita mbumbumbu alisema hivyo..unamkosa Tambwe,Kamusoko,Ngoma unategemea nini...maana Ngoma na Tambwe wanafunga magoli double digits
Mechi ya Gormahia Tambwe na kamusoko walikwepo,una kisingizio nyingine kuhusu majeruhi?
 
Tiber nae mchezaji???Ungeniambia Kihimbwa au Eliud Ambokile kidoogooo ningekuelewa...tatizo la Yanga majeruhi sio ukata hata Rage aliyewaita mbumbumbu alisema hivyo..unamkosa Tambwe,Kamusoko,Ngoma unategemea nini...maana Ngoma na Tambwe wanafunga magoli double digits
[emoji1] [emoji1] [emoji1] hao jamaa majeruhi miaka miwili sasa
 
Masikini Yanga !!!!

Yanga wamejitakia wenyewe...Yalikuwa ni makosa makubwa kumkaribisha Manji kwenye timu...Wako waliojua madhara ambayo yangeikuta Yanga...Tatizo la Yana la sasa siyo fedha pekee..kuna zaidi ya fedha...ni wahuni nido walioingia Yanga..eti mwenyekiti wa matawi anakuwa na nguvu kuliko viongozi, wapi na wapi...viongozi wako pale kwa sifa na siyo kuisaidia Yanga...Makomando ndio wanaoongoza timu..madalali na wapiga dili ndio walioshika mpini...ngoja Yanga yawakute ili washikishwe adabu..kuongoza siyo suala la mchezo...unahitaji viongozi makini, waadilifu na wana taaluma..uonozi siyo suala la pesa pekee ...uongozi ni zaidi ya mtu kuwa na fedha...
 
Maandiko matakatifu yameandika kwamba " AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU " , Vilabu vya Simba na Yanga vina utitiri wa wanachama ambao pamoja na wingi wao tena wakiwa na akili timamu , WAMEAMUA BILA AIBU KUWATEGEMEA BINADAMU WENZAO KUWAENDESHEA TIMU ZAO .

Naandika haya nikiwa na ushahidi wa namna matatizo ya kisiasa ya Yusuph Manji , binadamu pekee aliyekuwa mlipaji wa bili zote za Yanga yalivyochangia njaa kwenye timu kongwe kabisa nchini , kiasi cha kuwa kama MAHARAGE YA MBEYA , MAJI MARA MOJA , Watu wanajipigia tu watakavyo !

Ni aibu kubwa sana kwa uongozi wa Yanga kumtegemea Manji kulipa hadi mishahara ya viongozi wake .

Ukweli ambao watu wengi wanaujua lakini wanaunyamazia ni kwamba timu za Simba na Yanga hazina mipango yoyote ya Maendeleo wala hazina vyanzo vyovyote vya kupata hela na zinadaiwa kila kona ya nchi , vihela vyote vya milangoni vinaliwa na wajinga wachache sana wanaojifanya wana akili kupita kiasi .

Hata hii Simba yetu akiondoka Mohamed Dewji tu , wachezaji watakunywa chai kavu , au Mmesahau chapati za Kaduguda ?

......Itaendelea .....

Mkuu uko sawa,lazima klabu ziwe na mipango thabiti ya kujiendesha kwa mapato yake ya mlangoni na vyanzo vingine.Mpira wa leo ni biashara na mfano hai ni ligi za ulaya.Kama Simba na Yanga hazitabadilika na kujiendesha bila kumtegemea mtu mmoja hazitakuwa na muda mrefu zitakufa kabisa.
 
Back
Top Bottom