Simba kila wakati imekuwa ikisajili wachezaji wazuri sana. Tatizo kuna wachezaji pale Simba hawataki kukubali kuwa muda wao umeisha. Kwa hiyo SIMBA walifnyikie kazi. Mnaweza kuona PHIRI alichofanyiwa banda kapombe.
Wanasimba tuamke hawa wazee waliopo SIMBA bocco mkude mikataba ikiisha wasepe. HATA HUYU JEAN BALEKE watamroga wao kwa wao na hii ndio inayotumaliza MSIMBAZI.
VIONGOZI toeni macho.
Mechi ya kesho beki wasipofanya makosa, Akina MZAMIRU KANOUTE waache kufanya makosa maeneo hatari tunashinda.
Wanasimba tuamke hawa wazee waliopo SIMBA bocco mkude mikataba ikiisha wasepe. HATA HUYU JEAN BALEKE watamroga wao kwa wao na hii ndio inayotumaliza MSIMBAZI.
VIONGOZI toeni macho.
Mechi ya kesho beki wasipofanya makosa, Akina MZAMIRU KANOUTE waache kufanya makosa maeneo hatari tunashinda.