Kinachoiponza Tanzania ni mashitaka dhidi ya mwana habari Erick Kabendera, ni kama marehemu Jamal Khashoggi (Mwanahabari)

Uko sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaiyo kabwili hawezi chukua milioni 6 za mo na kuzitakatisha na asifunguliwe mashtaka kwakua yeye ni mwanamichezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta thread ni mwongo. US Visa embargo/sanction dhidi ya Tanzania, Belarus, Nigeria, Eritrea, Kyzkystan et la inatokana na raia wengi wa nchi hizo (Watanzania) walioko US kujihusisa na vitendo vya kihalifu. Ni tatizo la kushindwa kutekelezeka kwa sera za ndani za America..
 
Hii nchi tusipoangilia vizuri itaponzwa na kabila moja hivi linapenda sifa saaana,na enzi za nyerere lilijaribu kuasi historia iko vizuri inathibitisha.
Kabila hili limejazana nchi za magharibi lakini wengi wao ndio kazi za akina kabendera,
hacha upumbavu ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una ushaidi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…