Kinachojiri Kenya maandamano yakukataa Bajeti mpya 2024- 2025 katika picha

Kinachojiri Kenya maandamano yakukataa Bajeti mpya 2024- 2025 katika picha

Baba jayaron

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
4,324
Reaction score
5,933
Wasalam wanajumui wa Afrika mashariki,

Swala la raia vijana wa Kenya kusimama kwa umoja wao bila kuchoka na kukataa wachache kuwaamulia ndivyo sivyo juu ya maisha yao, kimezua mitazamo tofauti katika ulimwengu.

20240621_023340.jpg

Mitazamo hio imetokana na mlengo wa muhusika anatokea wapi, maeneo mbalimbali duniani hasa afrika viongozi walio madaraka kwa nafasi zao wamekua upande wa rais Ruto kwakusapoti kua ni sahihi serikali kukazia ukusanyaji wa kodi kama njia ya kujipatia kipato na wasisikilize raia... kwa Tanzania wengi ni viongozi wa ccm na kwa uganda ni rais wao mzee Yoeri Museven ambaye ameenda mbali kabisa kudai ni watetezi wa mambo ya ushoga kupitia mtandao usiolipa hata kodi wa tiktok ndio walioandaa haya maandamano.


Vijana hao wanaofahamika kwa kwa jina la Gen Z wemeenda mbali kushinikiza wabunge wao kukataa mswaada huo na kuamua kuwaweka hadharani wote waliopigia kura ya ndio mswada huo dhalimu. Picha zao zinaenea mitandaoni na kushawishiana washughulikiwe kwa namna yeyote kutokana na usaliti huo kwao, wabunge weng maarufa wameanguka kwenye mtego huo na kuweka rehani kukubalika kwao.

Screenshot_20240621-024120_X.jpg

Watu maarufu dunian wamekua wakiwaunga mkono vijana wa Kenya Gen Z kwa maandamano hayo na hata kufikia kupewa HESHIMA ya juu kama vijana wanaojitambua duniani, mitandao mingi raia wa Afrika wamekua wakiona wivu swala hilo wakitamani nao wangeungana kuamsha matapeli na majizi ya kisiasa nchini kwao (inaskitisha isipokua vijana wa Tz)


Hata hivyo mpaka sasa vijana kadhaa wamejeruiwa na mmoja kuawa na askari aliyevaa kiraia ambaye raia wanatafuta sura yake washughulike nae.

Pia askari mmoja amepoteza sehemu ya mikono yake kwakulipukiwa na bomu la machozi alilokua akitupia waandamanaji.

Pia farasi kadhaa wa askari walichukuliwa na raia na mmoja kuchinjwa na wandamanaji hao


20240621_023455.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20240621-023931_X.jpg
    Screenshot_20240621-023931_X.jpg
    169.7 KB · Views: 5
  • 20240621_022210.jpg
    20240621_022210.jpg
    702.3 KB · Views: 7
  • 20240621_020040.jpg
    20240621_020040.jpg
    219.7 KB · Views: 5
  • 20240621_023049.jpg
    20240621_023049.jpg
    201.9 KB · Views: 7
  • 20240621_023328.jpg
    20240621_023328.jpg
    140.9 KB · Views: 7
  • 20240621_023333.jpg
    20240621_023333.jpg
    600.3 KB · Views: 5
  • Screenshot_20240621-023711_X.jpg
    Screenshot_20240621-023711_X.jpg
    367.7 KB · Views: 6
  • 20240621_024744.jpg
    20240621_024744.jpg
    156.2 KB · Views: 7
  • 20240621_024531.jpg
    20240621_024531.jpg
    39.8 KB · Views: 7
  • 20240621_024456.jpg
    20240621_024456.jpg
    105.4 KB · Views: 6
  • 20240621_024430.jpg
    20240621_024430.jpg
    96.3 KB · Views: 7
  • 20240621_024308.jpg
    20240621_024308.jpg
    77.7 KB · Views: 7
  • 20240621_073705.jpg
    20240621_073705.jpg
    76.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240621-020608_X.jpg
    Screenshot_20240621-020608_X.jpg
    355.5 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240621-020628_X.jpg
    Screenshot_20240621-020628_X.jpg
    344 KB · Views: 6
  • 20240621_023049.jpg
    20240621_023049.jpg
    201.9 KB · Views: 6
Safi..

Tanzania hatuwezi hata ROBO kufikia hiyo level.. why? Approach ya Polisi wetu tofaut na hao wa Kenya.. huku wanapiga kama wanataka kukuua.

Kwa impact hiyo ya Kenya na kifo ni mtu mmoja tu ingekuwa hapa Tz aisee wangeshakufa hata 50.

Pia Watanzania wengi hawajitambui.. Kenya wameiwahi hiyo ishu mapema kabisa maana ikipita tuu tyr wameingia ktk mtego ambao kujitoa si rahisi ni heri mapema izuiwe.
 
Wasalam wanajumui wa Afrika mashariki,

Swala la raia vijana wa Kenya kusimama kwa umoja wao bila kuchoka na kukataa wachache kuwaamulia ndivyo sivyo juu ya maisha yao, kimezua mitazamo tofauti katika ulimwengu.


Mitazamo hio imetokana na mlengo wa muhusika anatokea wapi, maeneo mbalimbali duniani hasa afrika viongozi walio madaraka kwa nafasi zao wamekua upande wa rais Ruto kwakusapoti kua ni sahihi serikali kukazia ukusanyaji wa kodi kama njia ya kujipatia kipato na wasisikilize raia... kwa Tanzania wengi ni viongozi wa ccm na kwa uganda ni rais wao mzee Yoeri Museven ambaye ameenda mbali kabisa kudai ni watetezi wa mambo ya ushoga kupitia mtandao usiolipa hata kodi wa tiktok ndio walioandaa haya maandamano.


Vijana hao wanaofahamika kwa kwa jina la Gen Z wemeenda mbali kushinikiza wabunge wao kukataa mswaada huo na kuamua kuwaweka hadharani wote waliopigia kura ya ndio mswada huo dhalimu. Picha zao zinaenea mitandaoni na kushawishiana washughulikiwe kwa namna yeyote kutokana na usaliti huo kwao, wabunge weng maarufa wameanguka kwenye mtego huo na kuweka rehani kukubalika kwao.


Watu maarufu dunian wamekua wakiwaunga mkono vijana wa Kenya Gen Z kwa maandamano hayo na hata kufikia kupewa HESHIMA ya juu kama vijana wanaojitambua duniani, mitandao mingi raia wa Afrika wamekua wakiona wivu swala hilo wakitamani nao wangeungana kuamsha matapeli na majizi ya kisiasa nchini kwao (inaskitisha isipokua vijana wa Tz)


Hata hivyo mpaka sasa vijana kadhaa wamejeruiwa na mmoja kuawa na askari aliyevaa kiraia ambaye raia wanatafuta sura yake washughulike nae.

Pia askari mmoja amepoteza sehemu ya mikono yake kwakulipukiwa na bomu la machozi alilokua akitupia waandamanaji.

Pia farasi kadhaa wa askari walichukuliwa na raia na mmoja kuchinjwa na wandamanaji hao


Watanzania tuna mengi ya kujifunza hapa la sivyo mali zetu zitamalizwa na mama na watoto wake.
 
Safi..

Tanzania hatuwezi hata ROBO kufikia hiyo level.. why? Approach ya Polisi wetu tofaut na hao wa Kenya.. huku wanapiga kama wanataka kukuua.

Kwa impact hiyo ya Kenya na kifo ni mtu mmoja tu ingekuwa hapa Tz aisee wangeshakufa hata 50.

Pia Watanzania wengi hawajitambui.. Kenya wameiwahi hiyo ishu mapema kabisa maana ikipita tuu tyr wameingia ktk mtego ambao kujitoa si rahisi ni heri mapema izuiwe.
Usijidanganye. Kuna askari makatili kama wa Kenya? Ni hivi: hao askari wanajua kuwa vijana wa Kenya siyo waoga na pia wanajua wakiua wengi itakuwa hatari zaidi kwao.
 
Nasimama na vijana wa Kenya 💪 Hiko kibabu Museveni, kingekaa kimya, anadhani wakenya ni kama raia wake anaowafuga, kama mifugo yake.

Ukombozi wa haya majizi ya Afrika Mashariki, utaanzia Kenya. Ipo siku vyama vya maharamia, vitaanguka vyote. Tutakuwa na EA mpya ya maendeleo. Ipo siku 🙏
 
Wasalam wanajumui wa Afrika mashariki,

Swala la raia vijana wa Kenya kusimama kwa umoja wao bila kuchoka na kukataa wachache kuwaamulia ndivyo sivyo juu ya maisha yao, kimezua mitazamo tofauti katika ulimwengu.


Mitazamo hio imetokana na mlengo wa muhusika anatokea wapi, maeneo mbalimbali duniani hasa afrika viongozi walio madaraka kwa nafasi zao wamekua upande wa rais Ruto kwakusapoti kua ni sahihi serikali kukazia ukusanyaji wa kodi kama njia ya kujipatia kipato na wasisikilize raia... kwa Tanzania wengi ni viongozi wa ccm na kwa uganda ni rais wao mzee Yoeri Museven ambaye ameenda mbali kabisa kudai ni watetezi wa mambo ya ushoga kupitia mtandao usiolipa hata kodi wa tiktok ndio walioandaa haya maandamano.


Vijana hao wanaofahamika kwa kwa jina la Gen Z wemeenda mbali kushinikiza wabunge wao kukataa mswaada huo na kuamua kuwaweka hadharani wote waliopigia kura ya ndio mswada huo dhalimu. Picha zao zinaenea mitandaoni na kushawishiana washughulikiwe kwa namna yeyote kutokana na usaliti huo kwao, wabunge weng maarufa wameanguka kwenye mtego huo na kuweka rehani kukubalika kwao.


Watu maarufu dunian wamekua wakiwaunga mkono vijana wa Kenya Gen Z kwa maandamano hayo na hata kufikia kupewa HESHIMA ya juu kama vijana wanaojitambua duniani, mitandao mingi raia wa Afrika wamekua wakiona wivu swala hilo wakitamani nao wangeungana kuamsha matapeli na majizi ya kisiasa nchini kwao (inaskitisha isipokua vijana wa Tz)


Hata hivyo mpaka sasa vijana kadhaa wamejeruiwa na mmoja kuawa na askari aliyevaa kiraia ambaye raia wanatafuta sura yake washughulike nae.

Pia askari mmoja amepoteza sehemu ya mikono yake kwakulipukiwa na bomu la machozi alilokua akitupia waandamanaji.

Pia farasi kadhaa wa askari walichukuliwa na raia na mmoja kuchinjwa na wandamanaji hao


1000220846.jpg
 
Usijidanganye. Kuna askari makatili kama wa Kenya? Ni hivi: hao askari wanajua kuwa vijana wa Kenya siyo waoga na pia wanajua wakiua wengi itakuwa hatari zaidi kwao.
Hapana kwa sasa katiba yao inawasaidia kutokana na mauaji mengi kutokea kwenye harakati za maandamano kipindi icho... so hamna polis mzuri wala mbaya ni sheria tuu
 
Ndugu zetu waajabu sana, yaani wabunge wao wapo bungeni wanaendelea na mjadala wao wanahamasishana vurugu na hatimaye mmoja amepoteza uhai!!!!
Ujinga mtupu.
Mmewachagua wabunge kwa kazi gani?? Fikisheni malalamiko yenu kwa wabunge wenu sio kufanya vurugu.
 
Ndugu zetu waajabu sana, yaani wabunge wao wapo bungeni wanaendelea na mjadala wao wanahamasishana vurugu na hatimaye mmoja amepoteza uhai!!!!
Ujinga mtupu.
Mmewachagua wabunge kwa kazi gani?? Fikisheni malalamiko yenu kwa wabunge wenu sio kufanya vurugu.
Wabunge wako wameongeza kodi 0.5% kwenye Railway Development Levy harafu upo busy unawaona Wakenya hawapo sawa..
 
Wabunge wako wameongeza kodi 0.5% kwenye Railway Development Levy harafu upo busy unawaona Wakenya hawapo sawa..
ninacho washauri ndugu zetu wa kenya watumie wabunge wao kuwasilisha hoja zao sio kufanya vurugu barabarani.
 
Back
Top Bottom