Kinachojiri Kenya maandamano yakukataa Bajeti mpya 2024- 2025 katika picha

Kinachojiri Kenya maandamano yakukataa Bajeti mpya 2024- 2025 katika picha

ninacho washauri ndugu zetu wa kenya watumie wabunge wao kuwasilisha hoja zao sio kufanya vurugu barabarani.
Upo sahihi hao wabunge wako wewe si kama wa kwao tu wanaopitisha Tozo za hovyo unaweza kuwashauri nini mimi mwenyewe sihitaji hizo fujo ila swala la ushauri hilo halipo mkuu tukataze fujo tu maana yanayotokea huko na hapa kwetu yapo hakuna kitu kitabadilika..
 
Back
Top Bottom