Mpyena
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 981
- 1,243
Huna uzalendo kabisaPolisi unamuonaje sio mnyonge au ni tajiri kualama inapochelewa lazima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna uzalendo kabisaPolisi unamuonaje sio mnyonge au ni tajiri kualama inapochelewa lazima.
Ni kazi ya mzazi wangu au uzalendo unao wewe labdaHuna uzalendo kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahWalimu na polisi ni hirizi za ccm....
Kiukweli posho mnazopewa na alizo zianzisha /kuziongeza magufuli ni kwamba ni mzigo mzito sana kwa serikali na sidhani kama serikali itaendelea kuzimudu? Kama sikosei ilitoka150,000/ mpaka 300,000/ ni ongezeko kubwa mno mno.
Mbaya zaidi akakurupuka akafunga maduka ya barracks na kutoa sh 100,000/ ya pombe! Aisee ni mzigo mzito mno kwa serikali.
Kiukweli Yale maduka itabidi yarudi na posho ya 100,000/ iondolewe serikali imezidiwa? Pia maduka ya rudi ili na sisi tusio na posho tuje tunywe hizo bia za buku buku?
Asante afande kwa kusoma ujumbe wangu!!! Mwambie mkeo apunguze presha posho inakuja?
Wewe ndio yule mama wa juzi bungeni eh???
Tunakuchora tu, ukiona umetekwa na kufanyiwa madhira ya aina yoyote basi jua aliyekutuma ukaseme vile ndio kakuponza.
Unakosa uchungu na mabilioni mnayolipwa kwa kukalisha mattako tu hapo kila siku, ila hizi mbili tatu za hao askari!!!
Polisi mi naona hata msipopewa ni sawa tu huwa mnatumika na wanasiasa sana hamjui kaz yenu. Ni kulinda katiba co kutetea mwanasiasa mfano: askari alojbshana na mbowe,pia hua mnaonea wananchi wanapotafuta haki zaoPolisi unamuonaje sio mnyonge au ni tajiri kualama inapochelewa lazima.
Wanasiasa wanawapa hao pesa ili wawatumie kudhulumu haki za wananchi , mfano polisi kumuua aquilina , kupga wananch wakiandamana kudai haki, ni mara mia posho wapew walimu upo sahihiSiku nikiwa Rais,posho za Maaskri Polisi nitazihamisha nitawapa Waalimu.Waalimu wana mazingira magumu sana bora Madaktati na manesi mwenyewe sana allowances. Tena Mara 100 mapolisi wanapokea rushwa kibao
Hahaaa afande mmepaki ya posho ikichelewa siku moja tuu mpaka wasio na kazi huku jamii forum wanajua posha imechelewa !?? Pole sana jipange mzeee!!?? Si unajua mnavofukuzwa kazi kama mbwa!?? Jipange mzee !! Tutakupumulia kisogoni !! Wewe cheza nasisi tuWewe ndio yule mama wa juzi bungeni eh???
Tunakuchora tu, ukiona umetekwa na kufanyiwa madhira ya aina yoyote basi jua aliyekutuma ukaseme vile ndio kakuponza.
Unakosa uchungu na mabilioni mnayolipwa kwa kukalisha mattako tu hapo kila siku, ila hizi mbili tatu za hao askari!!!
Ndio maana wakifukuzwa kazi wanafirika kitaa!!!! Yana njaa kishenzi haya....watu wa ajabu sana ninyi. Mambo ya posho ni siri yako na mwajiri. Kuyaleta hadharani ndio nini? Ukisikia kakosa weledi ndio huku. Hamjui hata kutunza vyenu vya ndani? Mishahara na posho zenu kabla hamjapokea, kila mtu ashajua mtaani. Mnatia jibu. Hebu staarabikeni !
Wote wanachukua hiyo mbwa haoIkulu
Ngome
Magereza
Police laki 300,000/= kodi ya msamaha wa vinywaji 100,000=hii ni kwa mapoti wenye vigezo muhimu na sio ngumbaru mlinda get na gobore
Halafu ni mabingwa wa kuomba kupiga mizinga mtaani " utasikia hebu lipa bia mbili kaunta""" paka hawaMaaskari wa laana sio bure wana mishahara,posho kwa mwezi lakini unakuta wamerundikana kwenye vile viduku hata bila aibu.
Si unakataa tu mkuu!Halafu ni mabingwa wa kuomba kupiga mizinga mtaani " utasikia hebu lipa bia mbili kaunta""" paka hawa
Sasa kama ni hivyo kati ya magufuli na jk nani alipandisha posho kubwaAcha uongo bana, kikwete anaondoka na mabegi kwao msoga.
Kaacha mambo ya ndani 180k,ulinzi 275k