bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Nabi nmemkubali kwa Morrison na Azizi K hana kupindisha maneno
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu.Nabi nmemkubali kwa Morrison na Azizi K hana kupindisha maneno
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwan josee morinyo hajawahi kufukuzwa lakini ubora wake upo pale paleHizo pombe ulizolewa umenunua mwenyewe au umenunuliwa na mchepuko wa dadako. Yani kibadeni ni bora kuliko huyo mwarabi aliyefukuzwa kazi almereki sababu ya kufungwa na simba
Mbona kama wewe ndio mlevi, kocha kufukuzwa ni ajabu?Hizo pombe ulizolewa umenunua mwenyewe au umenunuliwa na mchepuko wa dadako. Yani kibadeni ni bora kuliko huyo mwarabi aliyefukuzwa kazi almereki sababu ya kufungwa na simba
Unampa ubora uliopitiliza kwa misimu miwili?Kwan josee morinyo hajawahi kufukuzwa lakini ubora wake upo pale pale
Kwa hiyo kufukuzwa kocha haimaanishi kuwa Hana uwezo
Huna fact ila unajibu kishabiki sana.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaani misimu miwili unampa ubora uliopitiliza kocha?Mbona kama wewe ndio mlevi, kocha kufukuzwa ni ajabu?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Misimu miwili inatosha kabisa kujua ubora au ubovu wa kochaYaani misimu miwili unampa ubora uliopitiliza kocha?
Yanga bhn Mafanikio gan Nabi ameyapata?? Au ya kushiriki kombe la walio fel kwen nimafanikioKachukua kombe la ligi, ngao Mara mbili na Fa, si mwingine ni Yule Yule mwamba kutoka Tunisia hakika huyu ni kocha wa mpira hapa yanga wamelamba dume.
Ipo hivi mpira wetu wa bongo, wachezaji wamegawanyika katika pande mbili yaani hili halina ubishi na ndiyo kikwazo kikubwa sana kwa makocha wa kigeni wanaokuja kufundisha hapa Tanzania.
Tena hili lipo sana katika vilabu vyetu kongwe vya simba na yanga kwa maana ndiyo mashabiki wengi na ndiyo hugawa wachezaji nakuanza kuwapa kazi ngumu.
Wachezaji wamegawanyika katika pande mbili nazo ni (1) wachezaji wa kocha na (2) wachezaji wa mashabiki.
Kama nitakua nakosea "prove me wrong" Sasa hawa wachezaji wa kocha ni wale ambao wanakwenda sawa na mfumo wa wa kocha Ina maana hata mazoezini anawaona wapo vizuri na mfumo wake
Wachezaji wa mashabiki ni wale wachezaji ambao wanabahati yakupwendwa na mashabiki hao hata Kama kwenye gemu hawapo sawa wakifanyiwa sub tu, utasikia "huyu kocha hatumuelewi"
Kama kocha atashindwa kusimamia professional yake na kuwa na msimamo juu ya kile anachokiona mazoezini hakika lazima atumbukie kwenye shimo la hewa nakupotezwa na kelele za mashabiki.
Lakini mwamba kutoka Tunisia kocha wa ball Pro Nabi, alivunja minyororo hiyo nakuprove ule msemo unaosemwa kuwa "hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya timu"
Mpaka Sasa yanga hakuna mchezaji mkubwa mbele ya Prof Nabi kila mtu anatimiza wajibu wake atakapo pewa majukumu na kocha wake Hilo nabi kafanikiwa kulidhibiti hata mashabiki mpaka Sasa nwanashangazwa na kikosi Cha Nabi kinapopangwa na kinaleta matokeo mazuri tu.
Mfano halisi tu kwa upande wa pili mashabiki na viongozi wanapiga makelele kuwa chama ni Bora wakati walishakuja makocha professional kabisa toka nje nakusema chama Hana ubora na Hilo lipo wazi lakini kwa kuwa ni kipenzi Cha mashabiki makelele yakawa mengi mpaka kocha akaacha professional yake nakuanza kufuata mfumo wa mashabiki.
Makocha wazawa wanalakujifunza kutoka kwa kocha wa mpira Prof Nabi kuwa "ukisimamia professional yako na siyo kelele za mashabiki au viongozi wa timu lazima timu isonge mbele la sivyo utatumbukia kwenye shimo la hewa"
NALIA NGWENA the great thinker nimeandika Kama mdau wa mpira na mwenye mapenzi makubwa sana na mpira wetu huu usonge mbele mashabiki na viongozi wa timu tusipangie makocha nakuwaingilia professional zao nakujifanya tunajua wakati hata danadana kumi kupiga huwezi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
sio professional yake ni profession yakeKachukua kombe la ligi, ngao Mara mbili na Fa, si mwingine ni Yule Yule mwamba kutoka Tunisia hakika huyu ni kocha wa mpira hapa yanga wamelamba dume.
Ipo hivi mpira wetu wa bongo, wachezaji wamegawanyika katika pande mbili yaani hili halina ubishi na ndiyo kikwazo kikubwa sana kwa makocha wa kigeni wanaokuja kufundisha hapa Tanzania.
Tena hili lipo sana katika vilabu vyetu kongwe vya simba na yanga kwa maana ndiyo mashabiki wengi na ndiyo hugawa wachezaji nakuanza kuwapa kazi ngumu.
Wachezaji wamegawanyika katika pande mbili nazo ni (1) wachezaji wa kocha na (2) wachezaji wa mashabiki.
Kama nitakua nakosea "prove me wrong" Sasa hawa wachezaji wa kocha ni wale ambao wanakwenda sawa na mfumo wa wa kocha Ina maana hata mazoezini anawaona wapo vizuri na mfumo wake
Wachezaji wa mashabiki ni wale wachezaji ambao wanabahati yakupwendwa na mashabiki hao hata Kama kwenye gemu hawapo sawa wakifanyiwa sub tu, utasikia "huyu kocha hatumuelewi"
Kama kocha atashindwa kusimamia professional yake na kuwa na msimamo juu ya kile anachokiona mazoezini hakika lazima atumbukie kwenye shimo la hewa nakupotezwa na kelele za mashabiki.
Lakini mwamba kutoka Tunisia kocha wa ball Pro Nabi, alivunja minyororo hiyo nakuprove ule msemo unaosemwa kuwa "hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya timu"
Mpaka Sasa yanga hakuna mchezaji mkubwa mbele ya Prof Nabi kila mtu anatimiza wajibu wake atakapo pewa majukumu na kocha wake Hilo nabi kafanikiwa kulidhibiti hata mashabiki mpaka Sasa nwanashangazwa na kikosi Cha Nabi kinapopangwa na kinaleta matokeo mazuri tu.
Mfano halisi tu kwa upande wa pili mashabiki na viongozi wanapiga makelele kuwa chama ni Bora wakati walishakuja makocha professional kabisa toka nje nakusema chama Hana ubora na Hilo lipo wazi lakini kwa kuwa ni kipenzi Cha mashabiki makelele yakawa mengi mpaka kocha akaacha professional yake nakuanza kufuata mfumo wa mashabiki.
Makocha wazawa wanalakujifunza kutoka kwa kocha wa mpira Prof Nabi kuwa "ukisimamia professional yako na siyo kelele za mashabiki au viongozi wa timu lazima timu isonge mbele la sivyo utatumbukia kwenye shimo la hewa"
NALIA NGWENA the great thinker nimeandika Kama mdau wa mpira na mwenye mapenzi makubwa sana na mpira wetu huu usonge mbele mashabiki na viongozi wa timu tusipangie makocha nakuwaingilia professional zao nakujifanya tunajua wakati hata danadana kumi kupiga huwezi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hilo kombe wewe unalo kabatini???Yanga bhn Mafanikio gan Nabi ameyapata?? Au ya kushiriki kombe la walio fel kwen nimafanikio
Asante mkuu kwa kunisahihisha.sio professional yake ni profession yake
Nyinyi mmefukuza makocha Mara ngapiYaani misimu miwili unampa ubora uliopitiliza kocha?
Mbona hamjawapa hata misimu minne .Misimu miwili inatosha kabisa kujua ubora au ubovu wa kocha
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kombe La malooser, simba kalichukua Mara ngapi ???Ila kocha wa ball yupo kombe la ma looser Africa, atakuwa kocha wa NDONDO
Ila yupo kombe la ma looser anazidiwa na mgunda aliipeleka Simba makundi nabi yeye mzee wa looserKombe La malooser, simba kalichukua Mara ngapi ???
Hakuna kocha Kama nabi kwa Sasa kaa kwa kutulia.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa mgunda kapeleka simba makundi mpeni timu awe kocha mkuu kwa Nini bado mmeamua kuleta wazungu paleIla yupo kombe la ma looser anazidiwa na mgunda aliipeleka Simba makundi nabi yeye mzee wa looser
Hiyo nayo pointNa kusikiliza benchi la ufundi