Kinachomponza Mbowe na genge lake ni kukosa elimu na kukariri kuwa siasa ni harakati

Kinachomponza Mbowe na genge lake ni kukosa elimu na kukariri kuwa siasa ni harakati

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Sio kila siku ni Jumamosi au sio kila zama zitabakia kuwa hivyo hivyo.

Awamu ya nne chini ya Jakaya Chadema walifanya siasa za harakati kiasi cha kumtisha Jakaya kuwa hawezi kutawala nchi.

Maandamano na operasheni zilitawala kiasi cha kumtikisa Jakaya. Pamoja na hayo kwa kiasi fulani harakati za maandamano na kudandia matukio ya kifisadi yalifanya Mbowe na genge lake wapate umaarufu kupitia Dk Slaa.

Leo hii baada ya miaka takribani kumi Mbowe amekemariri kuwa siasa ni harakati na kutaka kuwini watu wampe sapoti .

Inaingia akilini kwa Tanzania ya Leo kuwa genge la Mbowe litawini watu?

Haya ngoja tuone maana kinachoendelea leo hii sidhani kama kitajirudia kama ilivyokuwa awamu ya nne
 
Mtoa hoja relax mkuu, bila shaka wewe ni matunda ya wazee wenu walioifikisha nchi hapa ilipo, 50 yrs ya uhuru wa bendera huku Lingusenguse hakuna maji salama au shule zinazotoa elimu bora,mahospitali yote yamekua sio sehemu ya kutibu but vurugu tupu,Mr.Mbowe hatawali hii nchi kinachokuwasha ni nini?

Mr.Mbowe usimfanye ndio sababu ya kuifanya nchi hii kuwa masikini,ccm na hasa middle class uchwara muelewe hii nchi it belongs kwa watanzania wote regardless utofauti wao wa kiitikadi,na ni matusi kusema eti na genge lake na wakijibu mapigo mnalalama na kukimbilia dola na mmoja wa mwenyekiti wenu alitamka hili ccm msitegemee polisi kusawazisha uzembe wenu,kwangu mimi mtoa mada hii ni mpumbavu.
 
Unajishugulishaje na MTU mwenye siasa za magenge?
Mwache na magenge yake yawezekana yanatija
 
Sio kila siku ni jumamosi au sio kila zama zitabakia kuwa hivyo hivyo.

Awamu ya nne chini ya Jakaya Chadema walifanya siasa za harakati kiasi cha kumtisha Jakaya kuwa hawezi kutawala nchi.

Maandamano na operasheni zilitawala kiasi cha kumtikisa Jakaya. Pamoja na hayo kwa kiasi fulani harakati za maandamano na kudandia matukio ya kifisadi yalifanya Mbowe na genge lake wapate umaarufu kupitia Dk Slaa.

Leo hii baada ya miaka takribani kumi Mbowe amekemariri kuwa siasa ni harakati na kutaka kuwini watu wampe sapoti .

Inaingia akilini kwa Tanzania ya Leo kuwa genge la Mbowe litawini watu?

Haya ngoja tuone maana kinachoendelea leo hii sidhani kama kitajirudia kama ilivyokuwa awamu ya nne
Atawapata aliowapata mkuu, subiri mvua za kejeli na kashfa zikumiminikie toka kwa aliowapata
 
Mbowe sio kama Magufuli au Samia ukilijuwa ilo utamuheshimu sana ila kama unaleta ushabiki maandazi huwezi muelewa labda mpaka ukazaliwe kwa mara ya pili pale Hai
 
Chadema ni chama cha kufarijiana paspo kufika waendako
 
Nyie mataga pori si mlishasema kuwa mmekiua hichi chama, kulikoni tena mmeanza kurusha miguu?
 
Mbowe ni mtoto wa mjini. Kila anayejaribu kupambana naye huwa anaishia kupoteza maisha ama umaarufu.

Huyu maushungi atafubaa na kuchakaa kuliko hata choo cha stendi.
 
Back
Top Bottom